Hakuna anayeishi kwa ajili yake
“Mungu wangu, mungu wangu mbona umeniacha”, hii ni kauli ya Yesu alipokuwa msalabani anakaribia kufa, na muda mchache baadaye Yesu alikufa, kumbuka kama yasemavyo maandiko, 'Ndani yake yeye sisi tunaishi, tunajimudu, na tuko".
Mungu sio Mungu wa wafu ni Mungu wa...
BINADAMU ALIPOTEZA KILA KITU ALIPO ASI
Binadamu alipoamua kuasi, alipoteza uwezo wote wa asili alio kuwanao, binadamu alikuwa mtawala wa kweli katika USO wa dunia, lakini alipoteza uweza wake kwa kuasi, ule Mti wa ujuzi wa mema na mabaya (kama unavyotajwa ujuzi) haukuwa mti wa kujipatia hekima...
Umetokewa na nn tena MTU wetu ww hata ukushtuka aliposema Mungu na shetani wakiungana uleta amani sasa uyo jini kashasema Mungu na shetani awajaungana kimawazo huoni kuwa ilo lijamaa n lishetani maana linaongea pumba nyingi eti mawazo ya Mungu na shetani yakiungana ... Ww jamaa shtuka...
Nchi nyingi za kiafrika huwa zinapokea mikopo na misaada kutoka nje ya afrika, ila mikopo hii na misaada inaonekana kuto wanufaisha waafrika kiujumla ila zaidi inawaweka katika mzigo Wa madeni na mtego Wa masharti kandamizi, hapa panaitaji umakini zaidi na ndio maana nimeandika ili angalau tuone...
Habarini ndugu zangu, jina langu naitwa Monica ni msichana mwenye umri wa miaka 25 sijaolewa bado.
Ni miezi mitatu tangu nimpate mtu ambaye niliona ni sahihi kwangu ni mtu ambaye alikuwa huru namm sana pia ni mtu ambaye naweza ishi nae kama rafiki na mume pia na nikiwa nae ananifanya niwe mtu...
Freemasonry nilichokiona hapa nikutoa mafundisho ya nayowapa wanachama wao faraja kuwa wapo salama kwamba mungu wakike atawaokoa ila kizaazaa watakiona wakifa, lengo kuu LA shetani nikusema uongo ili wanachamawake wasiingiwe na hofu ila kwenye mafundisho haya mtawapata malofa tu, maana uyo mungu...
Jana nimeona kwenye BBC ugaidi unaofanywa na Palestine kurusha makombora kwa raia na kwenye nyumba za ibada, matisho kwa raia Wa kiyahudi yakuwa chungu mzima, serikali ya Israel sasa hamkwepi lawama kwenye hili.
Haiwezekani nchi kama Palestine isiyo na jeshi ila vikundi vya kigaidi inatesa...
Msabato kwenye ubora wake mnamtaja mpinga kristo wakati ndio nyie wenyewe ao wengine mnawapakaza damu mseme wameumia kumbe ni damu zenu wenyewe...Ellen alianzisha nyie malizieni kutoa kashfa
Waambie wanazani nilikuwa najifurahisha nilipomkataa Mandela unajua baazi ya watanzania wanaushabiki wakifala sana umeuliza maswali hakuna aliejibu hawa bwana akili zao zina njaa sana ujifanya wajuaji kumbe malofa hakuna wakijuacho kuhusu afrika kusini
Leta hoja yako kama umeshindwa Basi..maana najua watu wajamii yako mpo wengi sana nanafahamu huwa mnaongea nini kwenye hoja zenu maana hamna point zamaana ila mnakawaida ya kuegemea kwenye dini zenu na ndio maana niliandika kwa mfumo wakuzuia watu kama wewe na kundi lako
Nimesema ukweli hata sija hukumu. Wala sijatishia ila nilichosema nikweli. Kuamini niuamuzi wako MTU binafsi nakama unadhani mtuakisema ukishika moto utaungua kama utahisi nivitisho wewe shika hapa lazima ukweli tuambiane bila haya
Usipo mjua Yesu mbingu anza kujenga yako tena mjiunge kakikundi kabisa.. Ila ukimuamini Basi mbingu yakwako..hushauriwi kuwa mwovu ila ukiwamwisho Wa uhai ukatubu na kukiri Yesu Basi umeponea chupuchupu kuingia motoni ila nje ya hapo kwny msiba waasie amini itabidi wachungaji au mapadre...
Ukifa mambo ya mwili haya kuhusu na hauwi katika mwili..shangazi na wanao ni binadamu na sio roho. Kwani watu awauliwi au awateseki kwani Mungu hayupo? roho zote ufanya sawa sawa na asili yao ya roho
Wewe ndio wale wale embu fikiria kilicho zaliwa kwa mwili ni mwili na kilicho zaliwa kwa roho ni roho.. Mungu ni hai naye ni Roho ..kwanza nikuambie kwanini Roho ya Mungu huwa herufi kubwa..nikwasababu yeye ni asiri ya roho zote..hii inamaana kuwa chanzo cha uhai wakila kiumbe ni Roho ambaye ni...
Unaruhusa kamili ya kuchangia maoni yako ila sio umuelekeze MTU Fulani na nimetoa mada hiyo kuwa eleza ukweli ulivyo kuepukka false doctrine za wapotoshaji..
Acha kujisemea mambo ya hatari maana kufa bila kuweka mambo sawa na Mungu nimajanga hayo..tuombe wakati wakifo tufanye upatanisho kwanza maana vngnevyo huwezi kuuona USO Wa Mungu..
MTU anaishi baada ya kufa?
Mara nyingi kume kuwa na mafundisho mengi ya upotoshaji, nazaidi wengi wao wakifanya kama alivyo Fanya shetani kutumia maandiko matakatifu kumjaribu Yesu mwanawa Mungu. Tumeona na kusikia habari mbali mbali juu ya nini utokea baada ya kifo.
Mara nyingi tumesikia MTU...
Kuna habari inatembea sasa ikimwonesha mvuvi anayedaiwa kuvua samaki mwenye thamani ya pesa za Tanzania billion 6 na anadaiwa baada ya kumvua alimla na wanakijiji wenzie. Kwa haraka haraka hakuna anayeweza kumlaumu jamaa maana angejuaje kama thamani yake ndio hiyo.
Ila swali nikuwa huyu jamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.