Mandela alijipatia uhuru binafsi na sio Waafrika Kusini

Ghost boss

Member
May 3, 2019
33
57
Kikawaida na imezoeleka hivyo Mandela kuonwa kama shujaa wakiafrika ila ukweli makabulu wanacheka sana, katika hili shirika la kijasusi la kikaburu boss limeonekana shirika bora kwakuweza kulinda Mali na hali kwawatu wazungu wakikabulu, wameweza kuihadaa afrika kwakuwa wao walijua kuwa haitawezekana kuitawala afrika ya kusini kibabe zaidi, hii nikutokana na mabadiliko ya kidunia hivyo ikabidi wazungu wakikabulu waje na wazo jipya linaloendana na wakati, kama mara zote rais Botha alivyokuwa akisema watu weupe ni watu bora hivyo wakaamua kuonyesha ubora wao kwa kutumia akili ya wakati wote, walifikiri na walijua shida ya waafrika sio Uhuru ni rangi hivyo wakaona kwakuwa rais ni kabulu mweupe Basi waafrika hawatakuwa na furaha hivyo chamsingi aatafutwe MTU mweusi atakaye waaminisha weusi kuwa sasa wamepata Uhuru lakini ukweli ni kuwa bado watakuwa wanatawaliwa kwa kila kitu ila ili wajione huru Basi tuwatambue na kuwashirikisha ila bado wakiwa wamekaa chini ya kutawaliwa, wakabulu waliona mbali sana na waliwaza kuwa kunao shujaa wakiafrika huyo ametiwa kifungoni kwa muda Wa miaka 27 ila kama atarubuniwa na kukubali kuwa rais mweusi na kuilinda hali ya wakaburu Basi ataachiwa huru na atakuwa rais,.hivyo wakaenda gerezani na kuzungumza kwa muda na mandela kisha wakafikiana na mwishowe Mandela akawa rais wakwanza mweusi afrika kusini kisha makabulu wakaitangazia dunia kuwa eti waafrika kusini wapo huru, wakati uchumi na kila kitu bado kinamilikiwa na wazungu adi muda huu na mbaya zaidi watu weusi wanaambiwa kuwa uchumi wao unachukuliwa na wageni weusi wauza pipi na biscuit barabarani na mwisho watu weusi kuwaua weusi wenzao, Julius malema anamsemo kuwa ilo rungu ambalo MTU Wa afrika kusini anatumia kumpiga MTU mweusi mwenzake Basi akabadilisha uelekeo na kumpiga MTU mzungu Basiasubuhih ataamka ardhi ikiwa mikononi mwake na ataitawala nchi yake, lakini bado wazungu wamekuwa wajanja sana wanajua hata kama maisha ya weusi yakiwa magumu wao watampigia kelele rais wao mweusi na kuua wageni na kuwasahau wao, kwailo wazungu walicheza poa sana na Mandela Mungu anajua tu alichowafanyia ndugu zake waafrika na waafrika kusini
 
Zitabaki kuwa hisia tu unless atokee wa ku prove.
All in all kama humuheshimu Mandela heshimu kifungo cha miaka 27 gerezani hadi mkewe mpendwa kulala na mtu mwingine hivyo kulazimika kumuacha bila kupenda...atleast heshimu maumivu yake.
 
Kikawaida na imezoeleka hivyo Mandela kuonwa kama shujaa wakiafrika ila ukweli makabulu wanacheka sana, katika hili shirika la kijasusi la kikaburu boss limeonekana shirika bora kwakuweza kulinda Mali na hali kwawatu wazungu wakikabulu, wameweza kuihadaa afrika kwakuwa wao walijua kuwa haitawezekana kuitawala afrika ya kusini kibabe zaidi, hii nikutokana na mabadiliko ya kidunia hivyo ikabidi wazungu wakikabulu waje na wazo jipya linaloendana na wakati, kama mara zote rais Botha alivyokuwa akisema watu weupe ni watu bora hivyo wakaamua kuonyesha ubora wao kwa kutumia akili ya wakati wote, walifikiri na walijua shida ya waafrika sio Uhuru ni rangi hivyo wakaona kwakuwa rais ni kabulu mweupe Basi waafrika hawatakuwa na furaha hivyo chamsingi aatafutwe MTU mweusi atakaye waaminisha weusi kuwa sasa wamepata Uhuru lakini ukweli ni kuwa bado watakuwa wanatawaliwa kwa kila kitu ila ili wajione huru Basi tuwatambue na kuwashirikisha ila bado wakiwa wamekaa chini ya kutawaliwa, wakabulu waliona mbali sana na waliwaza kuwa kunao shujaa wakiafrika huyo ametiwa kifungoni kwa muda Wa miaka 27 ila kama atarubuniwa na kukubali kuwa rais mweusi na kuilinda hali ya wakaburu Basi ataachiwa huru na atakuwa rais,.hivyo wakaenda gerezani na kuzungumza kwa muda na mandela kisha wakafikiana na mwishowe Mandela akawa rais wakwanza mweusi afrika kusini kisha makabulu wakaitangazia dunia kuwa eti waafrika kusini wapo huru, wakati uchumi na kila kitu bado kinamilikiwa na wazungu adi muda huu na mbaya zaidi watu weusi wanaambiwa kuwa uchumi wao unachukuliwa na wageni weusi wauza pipi na biscuit barabarani na mwisho watu weusi kuwaua weusi wenzao, Julius malema anamsemo kuwa ilo rungu ambalo MTU Wa afrika kusini anatumia kumpiga MTU mweusi mwenzake Basi akabadilisha uelekeo na kumpiga MTU mzungu Basiasubuhih ataamka ardhi ikiwa mikononi mwake na ataitawala nchi yake, lakini bado wazungu wamekuwa wajanja sana wanajua hata kama maisha ya weusi yakiwa magumu wao watampigia kelele rais wao mweusi na kuua wageni na kuwasahau wao, kwailo wazungu walicheza poa sana na Mandela Mungu anajua tu alichowafanyia ndugu zake waafrika na waafrika kusini
Naona wakati wa Mandela wazazi wako hawakuwa na mpango wa kukutafuta uje Duniani, kwani hata mwandiko wako unaonesha shule hujaenda, sasa sijui hao makabulu wangetutawala sisi ungeandika nini?
huwa nashangaa heshima anayopewa huyu mzee Naoma haimstahili
tafuta Hisoria ya Mandela tangia miaka ya 1963 akitokea Dar na kukubali kwenda Afrika kusini ili tu akanyongwe kwa uasi alioufanya
 
Unawezaje kuandika kirefu hivyo uzi uliojaa mambo ya hovyo hovyo tu
 
Naona wakati wa Mandela wazazi wako hawakuwa na mpango wa kukutafuta uje Duniani, kwani hata mwandiko wako unaonesha shule hujaenda, sasa sijui hao makabulu wangetutawala sisi ungeandika nini?

tafuta Hisoria ya Mandela tangia miaka ya 1963 akitokea Dar na kukubali kwenda Afrika kusini ili tu akanyongwe kwa uasi alioufanya
Eti anakubali kwenda kunyongwa kwa uasi alioufanya hapa ndipo tunapodanganywa ulikuwa ni mpango tu huo yeye na makaburu
 
Je utaendelea kusimulia ili tupate prof ya unachotaka kutuaminisha au ndyo ushamaliza
 
Eti anakubali kwenda kunyongwa kwa uasi alioufanya hapa ndipo tunapodanganywa ulikuwa ni mpango tu huo yeye na makaburu
Bora wewe umetumia akili, maana hakuna mtu anayeweza kukubali kunyongwa kizembe zembe tu tena na wakoloni. Huyu jamaa kadanganywa na hataki kubadili mawazo haya kutumia akili kuhoji ila anavyo amini uongo utasema labda ni mambo ya kidini
 
Je utaendelea kusimulia ili tupate prof ya unachotaka kutuaminisha au ndyo ushamaliza
Sio labda kuwa kipofu alioni jua basi nikweli jua alipo, au kwa vile kiziwi asikii mziki basi nikweli mziki haupo, ila nawewe kama huamini wala usijali kutaka kuamini maana sio kwa vile uamini basi ichokitu akipo, tumia akili yako tu hivi kinachowafanya watu weusi Wa afrika kusini kuua na kupora Wa amiaji ninini? Jibu lako liulize sababu ninini? Kisha ukipata jibu amua kuamini nilichoandika au vipi.
 
Haya mambo ni mepesi tu kwa kuyasema ukiwa kwako chumbani au kitandani au sebleni. Lakini ukihitajika japo ujitoe mhanga kwa watu wako kama Mandela hutaweza asilani. Tumpe tu heshima yake huyu Mzee, na apumzike kwa amani.
Tumpe heshima asiyostahili?, kwa kuwa tu alikaa jela miaka 27,baadae akawasaliti waafrika kusini,!!??, mandela hana lolote alilofanya,shujaa wa afrika ni nyerere tu,tafuta hatuba ya mandela akiwa chuo kikuu cha mahtima gandhi nchini india,alikataa kuitwa baba wa afrika,hakuna chochote alichokomboa,yeye alikombolewa,hakuna chochote alichopigania,ila yeye ndie kapiganiwa,akasema hakuna mandela bira nyerere,
 
Tumpe heshima asiyostahili?, kwa kuwa tu alikaa jela miaka 27,baadae akawasaliti waafrika kusini,!!??, mandela hana lolote alilofanya,shujaa wa afrika ni nyerere tu,tafuta hatuba ya mandela akiwa chuo kikuu cha mahtima gandhi nchini india,alikataa kuitwa baba wa afrika,hakuna chochote alichokomboa,yeye alikombolewa,hakuna chochote alichopigania,ila yeye ndie kapiganiwa,akasema hakuna mandela bira nyerere,
Umesema kweli kuwa hatuna haja ya kutoa heshima kwa MTU asiye staili. Sawa sawa na uchumi unavyodai kuwa MTU asiye zalisha bidhaa au kutoa Huduma Fulani hapaswi kuwa na pesa.
 
Tumpe heshima asiyostahili?, kwa kuwa tu alikaa jela miaka 27,baadae akawasaliti waafrika kusini,!!??, mandela hana lolote alilofanya,shujaa wa afrika ni nyerere tu,tafuta hatuba ya mandela akiwa chuo kikuu cha mahtima gandhi nchini india,alikataa kuitwa baba wa afrika,hakuna chochote alichokomboa,yeye alikombolewa,hakuna chochote alichopigania,ila yeye ndie kapiganiwa,akasema hakuna mandela bira nyerere,
huwa najiulizaga sana kwann Nyerere hapewi sifa yake ipasavyo tofaauti na Mandela ....Mandela ni mkombozi wa South Africa lakini Nyerere ni mkombozi wa Africa
 
Salute kwa mzee Madiba, Mandela ni kiongozi na shujaa wa Africa kusini na dunia ni modal. Anaheshimika kwa kusimamia maamuzi ya hekima kipindi cha mpito.Angeweza shawishi Bunge la weusi wengi kupitisha sheria kandamizi Kwa wachache wazungu kulipiza kisasi, ila alivusha taifa lake salama.Shida iliyopo ni uhuru wa uchumi, itachukua muda ila habari njema wapo weusi wengi matajiri wanamiliki viwanda nk,rejea kiongozi soka CAF 2021.
 
Salute kwa mzee Madiba, Mandela ni kiongozi na shujaa wa Africa kusini na dunia ni modal. Anaheshimika kwa kusimamia maamuzi ya hekima kipindi cha mpito.Angeweza shawishi Bunge la weusi wengi kupitisha sheria kandamizi Kwa wachache wazungu kulipiza kisasi, ila alivusha taifa lake salama.Shida iliyopo ni uhuru wa uchumi, itachukua muda ila habari njema wapo weusi wengi matajiri wanamiliki viwanda nk,rejea kiongozi soka CAF 2021.
Njoo leo hapa afrika kusini ili ujionee namna waafrika kusini walivyo watumwa ndani ya nchi yao,alichopigania mandela ni uhuru wake binafsi,lkn waafrika kusini mpk leo hawako huru,
 
Njoo leo hapa afrika kusini ili ujionee namna waafrika kusini walivyo watumwa ndani ya nchi yao,alichopigania mandela ni uhuru wake binafsi,lkn waafrika kusini mpk leo hawako huru,
Waambie wanazani nilikuwa najifurahisha nilipomkataa Mandela unajua baazi ya watanzania wanaushabiki wakifala sana umeuliza maswali hakuna aliejibu hawa bwana akili zao zina njaa sana ujifanya wajuaji kumbe malofa hakuna wakijuacho kuhusu afrika kusini
 
Back
Top Bottom