Ghost boss
Member
- May 3, 2019
- 33
- 57
MTU anaishi baada ya kufa?
Mara nyingi kume kuwa na mafundisho mengi ya upotoshaji, nazaidi wengi wao wakifanya kama alivyo Fanya shetani kutumia maandiko matakatifu kumjaribu Yesu mwanawa Mungu. Tumeona na kusikia habari mbali mbali juu ya nini utokea baada ya kifo.
Mara nyingi tumesikia MTU aliyekufa hajui lolote wengine ukifananisha kifo na usingizi.. Sasa tujiulize nini kinatoa uhai yaani kipi kinachofanya mwili uwe na utendaji? Imeandikwa Mungu baada ya kuumba mwili aliupulizia pumzi ya uhai. pumzi ya uhai ninini? Pumzi ya uhai ni roho... roho ndio itiayo uzima na roho ndio uhai kamili.
MTU hufa kwa sababu roho inapofika kikomo cha kuendelea kukaa ndani ya mwili dhaifu.. Roho inauhai na haina udhaifu ila mwili sio hai na nidhaifu.
Mwili unapokuwa umechoka sana na hauwezi kufanya tena Kazi zinazo amriwa na roho... Hapo roho utoka ndani ya mwili na kifo ndio hutokea... Baada ya roho kutoka katika mwili uendelea kuishi kwa nyakati zote kwakua Mungu alipotuumba tu alitupa umilele kwa kutujalia roho isiyo kufa... Pale bustanini kulikuwa na mti Wa uhai na kifo...
Mti Wa kifo ulikuwa maalumu ya kuharibu utdndaji Kazi Wa mwili na hivyo kulelekea mwili kushindwa kuendelea na utendaji na kupelekea kifo.. Ukiwa msomaji mzuri Wa biblia utaungana nami mkono pale Yesu aliposema roho ilazi lakini mwili ni dhaifu.. Alielezea jinsi gani mwili na roho vilivyovitu viwili tofauti
Roho ndio uhai..asiye elewa ajiulize. Nini kinafanya MTU aongee? Na nini ninafanya ashindwe kuongea au nini kinafanya MTU apumue na kipi kinafanya ashindwe? Kwa maana MTU hufa na hewa ikiwa imezunguka eneo lake lakini kwanini anakufa? Ndio maana nasema MTU hufa pale mwili unaposhindwa kutekeleza kile roho inachotaka kifanyike.
Je! Kuna uhai baada ya kifo....? Jibu ni ndio duniani mwili aupo ila roho IPO... Ushawahi kujiuliza kwanini wanaita mwili Wa .... Nasio Fulani? Jiulize mwenye mwili yupo wapi? Ukweli ni kuwa yupo mahali Fulani amekaa anaangalia na anaishi ila hana Kazi tena na mwili wake maana hauwezi tena...
Ndio maana tunaambiwa baada ya kufufuliwa tutapewa miili mipya isiyo na udhaifu ili isijeikashindwa Kazi roho ikaiacha tena..
Tunakufa kwakuwa mwili hauwezi kitu hapa ndio pale msemo Wa wafu awajui lolote unakuja..ishu ya wafu ni mwili ila roho ambaye ni Mimi nitasikia kwa wanadamu na eidha kwa wenzangu Wa roho eti kuwa nimekufa ila kimsingi nipo hai ila bila mwili..Leo tuishie hapa tupate mmeng'enyo wayale tuliyosoma
Mara nyingi kume kuwa na mafundisho mengi ya upotoshaji, nazaidi wengi wao wakifanya kama alivyo Fanya shetani kutumia maandiko matakatifu kumjaribu Yesu mwanawa Mungu. Tumeona na kusikia habari mbali mbali juu ya nini utokea baada ya kifo.
Mara nyingi tumesikia MTU aliyekufa hajui lolote wengine ukifananisha kifo na usingizi.. Sasa tujiulize nini kinatoa uhai yaani kipi kinachofanya mwili uwe na utendaji? Imeandikwa Mungu baada ya kuumba mwili aliupulizia pumzi ya uhai. pumzi ya uhai ninini? Pumzi ya uhai ni roho... roho ndio itiayo uzima na roho ndio uhai kamili.
MTU hufa kwa sababu roho inapofika kikomo cha kuendelea kukaa ndani ya mwili dhaifu.. Roho inauhai na haina udhaifu ila mwili sio hai na nidhaifu.
Mwili unapokuwa umechoka sana na hauwezi kufanya tena Kazi zinazo amriwa na roho... Hapo roho utoka ndani ya mwili na kifo ndio hutokea... Baada ya roho kutoka katika mwili uendelea kuishi kwa nyakati zote kwakua Mungu alipotuumba tu alitupa umilele kwa kutujalia roho isiyo kufa... Pale bustanini kulikuwa na mti Wa uhai na kifo...
Mti Wa kifo ulikuwa maalumu ya kuharibu utdndaji Kazi Wa mwili na hivyo kulelekea mwili kushindwa kuendelea na utendaji na kupelekea kifo.. Ukiwa msomaji mzuri Wa biblia utaungana nami mkono pale Yesu aliposema roho ilazi lakini mwili ni dhaifu.. Alielezea jinsi gani mwili na roho vilivyovitu viwili tofauti
Roho ndio uhai..asiye elewa ajiulize. Nini kinafanya MTU aongee? Na nini ninafanya ashindwe kuongea au nini kinafanya MTU apumue na kipi kinafanya ashindwe? Kwa maana MTU hufa na hewa ikiwa imezunguka eneo lake lakini kwanini anakufa? Ndio maana nasema MTU hufa pale mwili unaposhindwa kutekeleza kile roho inachotaka kifanyike.
Je! Kuna uhai baada ya kifo....? Jibu ni ndio duniani mwili aupo ila roho IPO... Ushawahi kujiuliza kwanini wanaita mwili Wa .... Nasio Fulani? Jiulize mwenye mwili yupo wapi? Ukweli ni kuwa yupo mahali Fulani amekaa anaangalia na anaishi ila hana Kazi tena na mwili wake maana hauwezi tena...
Ndio maana tunaambiwa baada ya kufufuliwa tutapewa miili mipya isiyo na udhaifu ili isijeikashindwa Kazi roho ikaiacha tena..
Tunakufa kwakuwa mwili hauwezi kitu hapa ndio pale msemo Wa wafu awajui lolote unakuja..ishu ya wafu ni mwili ila roho ambaye ni Mimi nitasikia kwa wanadamu na eidha kwa wenzangu Wa roho eti kuwa nimekufa ila kimsingi nipo hai ila bila mwili..Leo tuishie hapa tupate mmeng'enyo wayale tuliyosoma