Freemasons katika siasa na dini

5. Ktk biblia ni wapi imeandikwa kuwa Mnyama wa kwanza wa Ufunuo anayepewa Nguvu na kiti cha enzi na yule Joka ni Rumi? Maana tujuavyo sasa hatuna utawala wa rumi unaotawala dunia.
Katika Danieli 7 wametajwa “wanyama wanne” ambao wanawakilisha falme nne. Kumbuka mmyama wa 4 aliyetajwa katika Danieli 7 ndiye mnyama aliyetajwa katika kitabu chote cha Ufunuo. Hivyo hapa tutaangalia sifa za mnyama wa nne wa kitabu cha Danieli, na mnyama wa kitabu cha Ufunuo, kisha tutaangalia ni wapi hapa duniani ambapo sifa za mnyama zinatimizwa kikamilifu.

1. Mnyama atakuwa na uwezo wa kisiasa na kidini (kanisa na serikali).

Ufunuo 17:3 “Akanichukua katika Roho hata jangwani, nikaona MWANAMKE, AMEKETI JUU YA MNYAMA mwekundu sana, mwenye kujaa majina ya makufuru, mwenye vichwa saba na pembe kumi.”

Mwanamke au bibi-arusi katika unabii huwakilisha kanisa.

Ufunuo 21:2 “…Yerusalemu mpya…umewekwa tayari, kama bibi-arusi aliyekwisha kupambwa kwa mumewe.”

Ufunuo 21:9 “…Njoo huku, nami nitakuonyesha yule Bibi-arusi, mke wa Mwana-Kondoo.”

Mnyama huwakilisha taifa au ufalme

2. Mnyama atakuwa na kanisa & serikali vimekaa juu ya milima 7.

Ufunuo 17:3 “Akanichukua katika Roho hata jangwani, nikaona mwanamke, ameketi juu ya mnyama mwekundu sana…mwenye VICHWA SABA na pembe kumi.”

Vichwa saba katika unabii vinawakilisha milima saba.

Ufunuo 17:9 “Hapo ndipo penye akili zenye hekima. Vile vichwa saba ni milima saba anayokalia mwanamke huyo.”

Je hapa duniani kuna kanisa na serikali vimekaa juu ya milima saba?

“Ni ndani ya mji wa Roma, uitwao Mji wa vilima saba, hivyo eneo lote la Serikali ya Vatican limewekewa mpaka kikamilifu.” –The Catholic Encyclopedia, p 529.

“Je vilima saba vya Roma ni nini?

Roma inajulikana kuwa imejengwa juu ya vilima saba. Roma ilisemwa imepatikana wakati Romulus na Remus, wana mapacha wa Mars, walifika katika futi ya kilima Palatine na wakauanzisha mji, Vilima sita vingine ni Capitoline (kiti cha serikali), Quirinal, Viminal, Esquiline, Caelian, na Aventine.” –Geography.about.com

Kwa hiyo unabii huu wa Ufunuo 17:3, unaonyesha wazi kuwa mwanamke aliyeketi juu ya mnyama, amekaa juu ya vilima saba vya mji wa Roma. Kwa vyovyote, ni Vaticani na kanisa la Romani Katoliki ambavyo vimekaa juu ya milima saba, na kutimiza unabii huu. Danieli 7:23 inasema mnyama wa mwisho (Roma) anatofautiana na wanyama wengine watatu waliopita. Kwa hakika hakuna taifa wala ufalme mwingine ambao una kanisa na serikali, harafu kwa wakati huo huo umekaa juu ya milima saba. Ila ni kanisa la Romani Katoliki pekee.

3. Mnyama atatoka baharini

Ufunuo 13:1 “Kisha nikaona mnyama AKITOKA KATIKA BAHARI, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru.”

Bahari katika unabii huwakilisha watu/jamaa, mataifa, lugha.

Ufunuo 17:15 “Kisha akaniambia, Yale maji uliyoyaona, hapo aketipo yule kahaba, ni jamaa na makutano na mataifa na lugha.”

Ukatoliki wa Romani ulitokea ulaya ya magharibi pamoja na makutano ya “watu/jamaa, mataifa, na lugha.” Na kwa wakati huu kanisa la Romani Katoliki lina idadi kubwa ya “watu, mataifa, na lugha,” kuliko kanisa jingine lolote duniani mwote. Na sasa, baada ya kuanzishwa kanisa moja duniani, Juni 26, 2000, Papa alichaguliwa kama kiongozi wa makanisa yote ambayo yameungana na lake. Hii ilifanya kanisa liongezeke mara mbili. Na hivi karibuni, makanisa yote pamoja na yasiyo ya Kikristo yatatangaza kwamba Papa ni kiongozi wao mwema.

Na Juni, 2008 mataifa 174 katika mataifa 192 duniani, yana serikali zao zikiwakilisha Vatican. Hivyo, kanisa la Romani Katoliki linatimiza unabii huu kwa ukamilifu.

4. Mnyama atatawala miaka 1260. (kabla hajapata jeraha la mauti).

Danieli 7:25 “Naye atanena maneno kinyume chake aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataadhimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake KWA WAKATI, NA NYAKATI MBILI, NA NUSU WAKATI.”

Ufunuo 12:6 “Yule mwanamke akakimbilia nyikani, ambapo ana mahali palipotengenezwa na Mungu, ili wamlishe huko mda wa SIKU ELFU NA MIA MBILI NA SITINI.”

Danieli 7:25 inaonyesha muda ambao angetawala mnyama, kama wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati. Ufunuo 13:5 inauonyesha mda huu wa utawala wa mnyama, kama miezi 42, miezi 42 = miaka 3 na 1/2. Hivyo, ukiangalia kwa makini hapa utaona kuwa, wakati = mwaka 1, na nyakati mbili = miaka 2, na nusu wakati = nusu mwaka.

Kwa hiyo, wakati nyakati mbili nusu wakati = miaka 3 na nusu ya Danieli 7:25, au miezi 42 ya Ufunuo 13:5, au siku 1260. Mahesabu haya yanathibitishwa katika Ufunuo 12:6 ambapo inasema, “Yule mwanamke (kanisa) akakimbilia nyikani…wamlishe huko mda wa siku 1260.” Kwa hiyo miaka 3 na 1/2 = miezi 42 au siku 1260 ambazo mnyama angetawala kabla hajapata jeraha la mauti.

Bado, wengine watakataa na kusema, hapana, miezi 42 haiwezi kuwa sawa na siku 1260, kwa sababu miezi mingine haina siku 30. Lakini katika unabii mwezi 1 = siku 30. Mwanzo 7:11 inasema, mvua za garika zilianza siku ya 17 ya mwezi wa pili, na Mwanzo 8:3, 4. inasema kuwa maji yakapunguka mwishoni mwa siku 150, harafu safina ikatua siku ya 17 ya mwezi wa saba. Hizo ni miezi 5 tangu mvua zilipoanza. Kama ukigawanya siku 150, kwa miezi 5, utapata siku 30 kwa kila mwezi. Hivyo, miezi 42 ikizidishwa kwa 30 jibu litakuwa 1260. Kwa hiyo wakati, nyakati mbili, na nusu wakati, ni sawa na miaka 3 na nusu, au miezi 42, au siku 1260. Kwa hakika, Ufunuo 12:6 inathibitisha mahesabu haya inaposema kuwa watoto wa Mungu watakimbilia nyikani kwa muda wa siku 1260 wakati wa utawala wa mnyama (upapa).

Katika unabii siku 1 ni sawa na mwaka 1,

Ezekieli 4:6 “…siku arobaini, siku moja kwa mwaka mmoja, nimekuagiza.”

Kwanza kabisa tunatakiwa kujua ni lini kanisa la Romani Katoliki lilipata nguvu zote za kutawala kama “mwanamke juu ya mnyama” (kanisa na serikali), na kutawala kisiasa na kidini kwa wakati mmoja kama Ufunuo 17:3 inavyosema.

“Vigillius…alikalia kiti cha upapa (538 B.K.) chini ya ulinzi wa jeshi la Belisarius.” –History of the Christian Church, Vol. 3, p. 327

Hiistoria inathibitisha kuwa upapa umeanza utawala wake kama “kanisa na serikali” mwaka 538 B.K. juu ya amri ya mfalme Jastinian, na chini ya ulinzi wa jeshi la Belisarius. Na unabii unasema mnyama (upapa) atatawala miaka 1260 kabla haujapata jeraha la mauti.


NAOMBA NIISHIE HAPA
 
6. Freemason, illuminat vimetajwa wapi ktk biblia?? Umeongeza mwenyewe au?
Katika kitabu cha Ufunuo, Mungu anatufunuliwa wahusika au mawakala watano
ambao ni:
1—Mnyama mwekundu wa Ufunuo 12—Shetani mwenyewe
2—Mnyama mfano wa chui wa Ufunuo 13—Rumi ya kidini
3—Mnyama mfano wa mwana kondoo wa Ufunuo 13:11—Taifa la Marekani
4—Sanamu ya Mnyama Ufunuo 13—Umoja wa makanisa —WCC
5—Mnyama wa rangi nyekundu sana na mwanamke wa Ufunuo 17—-Illuminati,
freemason wakiwa wameungana na kanisa la Rumi..

TWENDE SASA TUWAONE FREEMASON NA ILLUMINAT KWENYE UFUNUO


Wengi hawakuwa wanatofautisha wanyama hao lakini utakapojifunza kwa undani
zaidi utagundua kwamba mnyama wa Ufunuo 17 ambaye ni mwekundu sana mwenye
pembe kumi na vichwa saba ambaye amembeba mwanamke inamaanisha muungano wa
Illuminati wakiwa wameunda majimbo kumi katika dunia nzima pamoja na kanisa la
Rumi likiwa na watawala saba tangu kuanza kazi yake baada ya kupata jeraha la mauti.

Biblia inapotumia neno mwanamke kiunabii humaanisha kanisa (Ufunuo 21:2) na neno
‘kichwa’ humaanisha kiongozi wa kanisa ambapo kwa kanisa la Mungu, kichwa ni Kristo
lakini kwa kanisa la uongo, kichwa ni mwanadamu aliyechukua nafasi ya Yesu duniani,
(Wakolosai 1:18; 2Wathesalonike 2:4).

Biblia kamwe haijawahi kutumia neno ‘kichwa’ kumaanisha kiongozi wa kiserikali ila hutumia neno ‘watawala au wafalme’. Ndio maana vichwa saba inamaanisha vipindi saba .

Ufunuo 17:8 anasema kwamba mnyama huyo yuko tayari kupanda kutoka kuzimu na
katika

Ufunuo 9:11 tunasoma kwamba “Na juu yao wanaye mfalme, naye ni malaika wa
kuzimu…”.


Aya zote hizo zinamaanisha umizimu (spiritualism) ambayo ni imani
ya Illuminati. Imani hii inamfanya muumini aamini kwamba hakuna kifo na mtu
anapokufa anakuwa amebadilisha mahali kwa kuhama duniani na kwenda mahali pengine
akiendelea kuishi na kwamba hiyo ndiyo mbingu yake maana hawaamini kama kuna
ufufuo.

Chanzo cha fundisho hili ni Shetani alipomfundisha Hawa kwamba “Hakika
hamtakufa” Mwanzo 3:4.


Hivyo tutajifunza na kuona ukweli huu wa Illuminati kwa
kujiunga na kanisa ili kutimiza malengo yao.

wahusika wa hayo wamekuwa wakifanya kazi zao kwa siri kubwa kiasi cha kuwafanya watu
mamilioni wasielewe kinachoendelea

“The great strength of our order lies in its concealment,” yaani “nguvu kubwa ya
utaratibu wetu iko katika kuficha na kufanya kazi zetu kwa siri kubwa” ni maneno ya
Adam Weishaupt, mwanzilishi wa Illuminati mwaka 1776. Akaendelea kusema, “Let it
never appear in any place in its own name, but always covered by another name and
another occupation” yaani “Hebu isionekane mahali popote kwa jina lake, lakini daima
ifanyike kwa jina lingine na kwa namna nyingine.” (Kutoka kwa Robin’s Proofs of a
Conspiracy, p. 195.)
 
Katika Danieli 7 wametajwa “wanyama wanne” ambao wanawakilisha falme nne. Kumbuka mmyama wa 4 aliyetajwa katika Danieli 7 ndiye mnyama aliyetajwa katika kitabu chote cha Ufunuo. Hivyo hapa tutaangalia sifa za mnyama wa nne wa kitabu cha Danieli, na mnyama wa kitabu cha Ufunuo, kisha tutaangalia ni wapi hapa duniani ambapo sifa za mnyama zinatimizwa kikamilifu.

1. Mnyama atakuwa na uwezo wa kisiasa na kidini (kanisa na serikali).

Ufunuo 17:3 “Akanichukua katika Roho hata jangwani, nikaona MWANAMKE, AMEKETI JUU YA MNYAMA mwekundu sana, mwenye kujaa majina ya makufuru, mwenye vichwa saba na pembe kumi.”

Mwanamke au bibi-arusi katika unabii huwakilisha kanisa.

Ufunuo 21:2 “…Yerusalemu mpya…umewekwa tayari, kama bibi-arusi aliyekwisha kupambwa kwa mumewe.”

Ufunuo 21:9 “…Njoo huku, nami nitakuonyesha yule Bibi-arusi, mke wa Mwana-Kondoo.”

Mnyama huwakilisha taifa au ufalme

2. Mnyama atakuwa na kanisa & serikali vimekaa juu ya milima 7.

Ufunuo 17:3 “Akanichukua katika Roho hata jangwani, nikaona mwanamke, ameketi juu ya mnyama mwekundu sana…mwenye VICHWA SABA na pembe kumi.”

Vichwa saba katika unabii vinawakilisha milima saba.

Ufunuo 17:9 “Hapo ndipo penye akili zenye hekima. Vile vichwa saba ni milima saba anayokalia mwanamke huyo.”

Je hapa duniani kuna kanisa na serikali vimekaa juu ya milima saba?

“Ni ndani ya mji wa Roma, uitwao Mji wa vilima saba, hivyo eneo lote la Serikali ya Vatican limewekewa mpaka kikamilifu.” –The Catholic Encyclopedia, p 529.

“Je vilima saba vya Roma ni nini?

Roma inajulikana kuwa imejengwa juu ya vilima saba. Roma ilisemwa imepatikana wakati Romulus na Remus, wana mapacha wa Mars, walifika katika futi ya kilima Palatine na wakauanzisha mji, Vilima sita vingine ni Capitoline (kiti cha serikali), Quirinal, Viminal, Esquiline, Caelian, na Aventine.” –Geography.about.com

Kwa hiyo unabii huu wa Ufunuo 17:3, unaonyesha wazi kuwa mwanamke aliyeketi juu ya mnyama, amekaa juu ya vilima saba vya mji wa Roma. Kwa vyovyote, ni Vaticani na kanisa la Romani Katoliki ambavyo vimekaa juu ya milima saba, na kutimiza unabii huu. Danieli 7:23 inasema mnyama wa mwisho (Roma) anatofautiana na wanyama wengine watatu waliopita. Kwa hakika hakuna taifa wala ufalme mwingine ambao una kanisa na serikali, harafu kwa wakati huo huo umekaa juu ya milima saba. Ila ni kanisa la Romani Katoliki pekee.

3. Mnyama atatoka baharini

Ufunuo 13:1 “Kisha nikaona mnyama AKITOKA KATIKA BAHARI, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru.”

Bahari katika unabii huwakilisha watu/jamaa, mataifa, lugha.

Ufunuo 17:15 “Kisha akaniambia, Yale maji uliyoyaona, hapo aketipo yule kahaba, ni jamaa na makutano na mataifa na lugha.”

Ukatoliki wa Romani ulitokea ulaya ya magharibi pamoja na makutano ya “watu/jamaa, mataifa, na lugha.” Na kwa wakati huu kanisa la Romani Katoliki lina idadi kubwa ya “watu, mataifa, na lugha,” kuliko kanisa jingine lolote duniani mwote. Na sasa, baada ya kuanzishwa kanisa moja duniani, Juni 26, 2000, Papa alichaguliwa kama kiongozi wa makanisa yote ambayo yameungana na lake. Hii ilifanya kanisa liongezeke mara mbili. Na hivi karibuni, makanisa yote pamoja na yasiyo ya Kikristo yatatangaza kwamba Papa ni kiongozi wao mwema.

Na Juni, 2008 mataifa 174 katika mataifa 192 duniani, yana serikali zao zikiwakilisha Vatican. Hivyo, kanisa la Romani Katoliki linatimiza unabii huu kwa ukamilifu.

4. Mnyama atatawala miaka 1260. (kabla hajapata jeraha la mauti).

Danieli 7:25 “Naye atanena maneno kinyume chake aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataadhimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake KWA WAKATI, NA NYAKATI MBILI, NA NUSU WAKATI.”

Ufunuo 12:6 “Yule mwanamke akakimbilia nyikani, ambapo ana mahali palipotengenezwa na Mungu, ili wamlishe huko mda wa SIKU ELFU NA MIA MBILI NA SITINI.”

Danieli 7:25 inaonyesha muda ambao angetawala mnyama, kama wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati. Ufunuo 13:5 inauonyesha mda huu wa utawala wa mnyama, kama miezi 42, miezi 42 = miaka 3 na 1/2. Hivyo, ukiangalia kwa makini hapa utaona kuwa, wakati = mwaka 1, na nyakati mbili = miaka 2, na nusu wakati = nusu mwaka.

Kwa hiyo, wakati nyakati mbili nusu wakati = miaka 3 na nusu ya Danieli 7:25, au miezi 42 ya Ufunuo 13:5, au siku 1260. Mahesabu haya yanathibitishwa katika Ufunuo 12:6 ambapo inasema, “Yule mwanamke (kanisa) akakimbilia nyikani…wamlishe huko mda wa siku 1260.” Kwa hiyo miaka 3 na 1/2 = miezi 42 au siku 1260 ambazo mnyama angetawala kabla hajapata jeraha la mauti.

Bado, wengine watakataa na kusema, hapana, miezi 42 haiwezi kuwa sawa na siku 1260, kwa sababu miezi mingine haina siku 30. Lakini katika unabii mwezi 1 = siku 30. Mwanzo 7:11 inasema, mvua za garika zilianza siku ya 17 ya mwezi wa pili, na Mwanzo 8:3, 4. inasema kuwa maji yakapunguka mwishoni mwa siku 150, harafu safina ikatua siku ya 17 ya mwezi wa saba. Hizo ni miezi 5 tangu mvua zilipoanza. Kama ukigawanya siku 150, kwa miezi 5, utapata siku 30 kwa kila mwezi. Hivyo, miezi 42 ikizidishwa kwa 30 jibu litakuwa 1260. Kwa hiyo wakati, nyakati mbili, na nusu wakati, ni sawa na miaka 3 na nusu, au miezi 42, au siku 1260. Kwa hakika, Ufunuo 12:6 inathibitisha mahesabu haya inaposema kuwa watoto wa Mungu watakimbilia nyikani kwa muda wa siku 1260 wakati wa utawala wa mnyama (upapa).

Katika unabii siku 1 ni sawa na mwaka 1,

Ezekieli 4:6 “…siku arobaini, siku moja kwa mwaka mmoja, nimekuagiza.”

Kwanza kabisa tunatakiwa kujua ni lini kanisa la Romani Katoliki lilipata nguvu zote za kutawala kama “mwanamke juu ya mnyama” (kanisa na serikali), na kutawala kisiasa na kidini kwa wakati mmoja kama Ufunuo 17:3 inavyosema.

“Vigillius…alikalia kiti cha upapa (538 B.K.) chini ya ulinzi wa jeshi la Belisarius.” –History of the Christian Church, Vol. 3, p. 327

Hiistoria inathibitisha kuwa upapa umeanza utawala wake kama “kanisa na serikali” mwaka 538 B.K. juu ya amri ya mfalme Jastinian, na chini ya ulinzi wa jeshi la Belisarius. Na unabii unasema mnyama (upapa) atatawala miaka 1260 kabla haujapata jeraha la mauti.


NAOMBA NIISHIE HAPA
Nashukuru Sana kwa ufafanuzi mzuri ngoja pakuche ndio nipitie tena. Wasi wasi wangu ni kwanini biblia haitaji moja kwa moja majinw haya kiasi kwamba Msomaji analazimika kusoma historia ya dunia na jiogragi kali tena ya ndani sana ili kuelewa huo unabii? Je hili halitoi mwanya kwa wasomaji wenginr kutafsiri kadri wanavyoona wao kama ulivyofanya?
 
Nashukuru Sana kwa ufafanuzi mzuri ngoja pakuche ndio nipitie tena. Wasi wasi wangu ni kwanini biblia haitaji moja kwa moja majinw haya kiasi kwamba Msomaji analazimika kusoma historia ya dunia na jiogragi kali tena ya ndani sana ili kuelewa huo unabii? Je hili halitoi mwanya kwa wasomaji wenginr kutafsiri kadri wanavyoona wao kama ulivyofanya?
KESHO NITAKUELEZA KWANINI DANIEL NA UFUNUO VIMEANDIKWA KWA CODE
 
ZILE TAWALA NNE KUTOKA BABELI HADI RUMI YA KIPAGANI ZILIPITA, LAKINI KUMBUKA BAADA YA RUMI YA KIPAGANI INATOKEA KATIKATI YAKE PEMBE NDOGO AMBAYO NDIYO RUMI YA KIDINI.... BAADA YA HAPO UFALME WA MWISHO KABISA NI UFALME WA YESU AMBAO DANIELI ALIONA JIWE LISILOFANYWA KWA MIKONO LINASAMBARATISHA FALME ZOTE

View attachment 1765984


View attachment 1765983

KUJUA TUPO KIPINDI GANI ITAKUBIDI USOME Ufunuo 17:7-18

Hapa pia tunaona Yohana anaonyeshwa siri ya yule mnyama ambaye ndio yule yule aliyeonyeshwa katika ile sura ya 13 ambaye ana vichwa 7 na pembe 10, isipokuwa hapa zile pembe 10 zinaonanekana hazina vilemba ikiwa na maana hazijapokea ufalme bado, na ndio maana tukisoma mstari wa 12 inasema watakuja kupokea ufalme(yaani kuvikwa vilemba) saa moja na yule mnyama.

Kumbuka vile vichwa saba, ni FALME 7, ambazo shetani alizikalia kuutesa au kutaka kuungamiza kabisa uzao wa Mungu, ambazo ni 1) MISRI 2)ASHURU 3)BABELI 4)UMEDI & UAJEMI 5) UYUNANI 6) RUMI-ya-KIPAGANI 7) RUMI-ya KIPAPA...



Lakini tunaona hapo wakati Yohana anaonyeshwa maono hayo aliona watano wameshakwisha anguka, na mmoja yupo na mwingine hajaja bado. Kumbuka wakati ule Yohana anapewa haya maono AD 90 ,utawala uliokuwa unaitawala dunia wakati ule ni RUMI ya kipagani, kwahiyo zile tawala tano za kwanza zilikuwa zimeshapita yaani Misri, Ashuru, Babeli, Umedi&uajemi pamoja na Uyunani. Hivyo ule wa Urumi ndio uliokuwepo na ndio ule uliomsulibisha KRISTO.

Na kama alivyoambiwa mmoja bado hajaja(ambaye ni wa 7), Na kwamba atakapokuja itampasa akae muda mchache, sasa huo si mwingine bali ni ule utawala wa RUMI ya kidini chini ya upapa ulioongoza dunia nzima kuanzia kile kipindi cha karne ya 4, ni ule ule tu wa RUMI sema hapa umegeuka ukawa wa kidini chini ya upapa.

Tukiendelea kusoma mstari wa 11 inasema.." Na yule mnyama aliyekuwako naye hayuko, yeye ndiye wa nane, naye ni mmoja wa wale saba, naye aenenda kwenye uharibifu.".Hivyo tunaona mnyama mwingine wa 8 anajitokeza hapo, lakini biblia inasema huyu wa 8 ndio yule yule wa 7, hii ikiwa na maana kuwa ni kile kile kichwa cha saba isipokuwa kimebadilisha taswira, kwasababu yule mnyama tayari anavyo vichwa saba hawezi akawa tena na vichwa nane,

Na huyu mnyama wa 8 biblia inasema ambaye alikuwako naye hayupo naye anaenda kwenye uharibifu, tukirudi kwenye historia tunamwona huyu mnyama (ambaye ndio kile kichwa cha 7 -Rumi ya kidini chini ya Upapa wa Kanisa Katoliki) ulikuwa na nguvu kipindi kile cha utawala wake, lakini baadaye ulikuja kutiwa jeraha la mauti na wale wanamatengezo, hivyo nguvu zake za kutawala dunia nzima zilikufa, lakini tunaona lile jeraha lilianza kupona tena, kuanzia kile kipindi cha vita vya pili vya dunia mpaka leo linaendelea kupona, utakapofika wakati atakaporejeshewa nguvu zake tena alizopoteza ndipo atakapoingia katika UHARIBIFU, naye ataitawala dunia kwa kipindi kifupi cha miaka mitatu na nusu ndio kile kipindi cha dhiki kuu, ndio maana biblia inasema alikuwepo naye hayupo, naye anajiandaa kwenda kwenye uharibifu. Kwasababu hapo mwanzo alishawahi kutawala na atakuja kutawala tena.

Sasa Zile pembe 10 za yule mnyama ambayo ni yale mataifa 10 ya ULAYA(EU), Biblia inasema yatakuja kupata nguvu wakati mmoja na yule mnyama. Na haya ndiyo mpinga-kristo PAPA atakayoyatumia kuwatesa wale ambao hawataipokea chapa ya mnyama katika kile kipindi cha dhiki kuu.

Lakini mstari 16 tunaona jambo lingine.." Na zile pembe kumi ulizoziona, na huyo mnyama, hao watamchukia yule kahaba, nao watamfanya kuwa mkiwa na uchi, watamla nyama yake, watamteketeza kabisa kwa moto."

Mwisho wa yote baada ya dhiki kuu kukaribia kuisha yale mataifa 10 ya Ulaya yatagundua kuwa utawala wa mpinga-kristo(PAPA) Chini ya kanisa katoliki hauna manufaa yoyote wala haujasaidia chochote kutimiza matakwa yao, na suluhu zao za AMANI, sasa kwa pamoja yatamchukia yule mwanamke(yaani PAPA) na Makao yake VATICAN na kumwangamiza kabisa, hiyo ndio HUKUMU ya YULE KAHABA MKUU kama mstari wa kwanza unavyosema.
Duuh shule ngumu sana hii. Ngoja nitulize kichwa kwanza. Anyway hata hivyo mimi ni mfuasi wako kule youtube masomo yako ni haya haya.
 
Freemason sio mfumo wa nguvu za giza na haulingani kwa namna yoyote na uganga wa kienyeji
Freemason ni mfumo Tu wa nguvu za Giza uliopo ulaya , huku tuna mfumo wetu wa waganga wa kienyeji, mmiliki Yule Yule kaya tofauti , na waliostarabika zaidi basi freemason wanachukua nafasi , Dunia ni ya Mungu Ila shetani ndo mkuu wa dunia hii .....
 
Nondo tupu ila Freemasons au wajenzi huru hawajiusishi na siasa wala dini yoyote,ni moja kati ya torati zao.
Pasipo mfumo wa siasa itakuwa njia ndefu wao kufanikisha hazima yao, unapaswa kujua hii siasa wanaitumia kufikia lengo la kuja kutawala dunia...
 
Nataka kusema kwamba, Ulaya wameitawala Libya,wanajua utamu wa utajiri wake wa mafuta. Ulaya na Marekani ndiyo wenye makampuni makubwa, “Supermajors” ya mafuta hapa duniani. Utawala wa Gaddafi ulitaka kubinafsisha mafuta yote yawe kwa maslahi ya Walibya, ooh…wakamkosea Mzungu.

Freemasons wanatafuta kumiliki chumi za dunia nzima na mafuta ni ‘damu’ inayobeba uhai wa dunia na mataifa yao. Sasa, twajua kwa nini Freemasons waliingiza Libya katika Mhimili wa Uovu(The Axis of Evil) wapate kuishambulia na kumuulia mbali Gaddafi na wapinzani wa sera zao. Na kwa misingi hii hii tujue kwa nini Iran itashambuliwa na Marekani ikileta ubishi wowote. Uingereza, Ujerumani, Hispania, Ufaransa, Italia, Ureno, Uswisi hawa ni vichwa saba katika mnyama wa Ufunuo 13, ufunuo 17, Danieli 7.

Marekani, ni mwanakondoo wa Ufunuo 13:11-18 na hawa wote wanahaha kuhakikisha wanafanya kampeni kali na propaganda kupitia mashirika yao ya habari yenye nguvu duniani, kuwapaka matope watu wasiopendwa,ili wapinduliwe kijeshi na AJENDA YAO YA SIRI itekelezwe.

Katika unabii wa Biblia, katika kitabu cha Danieli 2:43 mataifa haya ya Ulaya yameoneshwa yakiwa yanabebwa na historia ya iliyokuwa Dola ya RUMI. Mataifa haya hufananishwa na vidole vya sanamu ya Nebuchadnezzar, katika sura ya Pili ya Danieli. Ni sawa na pembe 10 za mnyama wa ajabu ambaye ni Rumi katika Danieli 7:7.

Hizi dola 10 za Ulaya, zilizoinuka baada ya dola ya Rumi, zina tabia ile ya Rumi ya Washenzi wa kale(Danieli 7:24). Pembe ndogo(Danieli 7:24,25) ni nguvu isiyo mamlaka ya kisiasa ambayo ilizifukuza Ulaya tawala tatu za Wavandali, Waheruli na Ostrogoths. Nguvu hii ilianza kuitawala Dunia mwaka 538 AD. Huu ndiyo utawala uliohuishwa baadaye na utaitawala dunia nzima na kulazimisha watu kuuabudu(Danieli 7:24,25).

Utawala huu utapewa mamlaka na shetani na mawakala wake,Freemasons,Illuminati,Marekani na washirika wake wa Magharibi, wataunganisha siasa na dini, watalazimisha Mfalme aabudiwe, watakaokataa watawekewa vikwazo vya kiuchumi, watafungwa jela ama kuuliwa. Sasa, demokrasia wanayojidai kueneza iko wapi? Kama watu watalazimishwa kuabudu dini moja, wakikataa wanafungwa, mtu kwa kuwa ni mtawala anajiita Mungu(Danieli 7:25 na Ufunuo 13:1-10) ndiyo demokrasia gani hii? Utawala uliozuka baada ya dola ya Rumi kusambaratishwa na washenzi wa Kaskazini, ukafukuza dola tatu za Wavandali(mwaka 454 AD),Heruli(493 AD) na Ostrogoths(538 AD) na kuanza kutawala dunia kwa jumla ya miaka 1260.

“Pembe Ndogo” yenye macho kama mtu mwanaume, huwakilisha mamlaka itakayoongoza serikali ya Dini na Siasa- Religio-Political Power. Mtawala huyu anaitwa, ‘Mpinga Kristo’ ama Chukizo la Uharibifu lililonenwa na Nabii Danieli(Mathayo 24:15). Katika Ufunuo wa Yohana 17: 5 upo mfano wa utawala huu wenye nguvu na wa ina yake unaoandaliwa kuitawala dunia,kidini,kiuchumi,utamaduni na kila nyanja.

Yohana wa Ufunuo wa Yohana 17:5 ,katika mwaka 96 AD alioneshwa utawala huu wa mseto wa dini na siasa. Akaoneshwa Jiji liitwalo “Babeli ya Siri” likiwa limebebwa na mamlaka(mnyama) za serikali za Ulaya na Marekani. Babeli, ni Jiji la kale sana, zama za Dikteta Nebuchadnezzar, mwaka 6060 BC. Siku hizi, Babeli ni moja ya Maajabu saba ya Dunia,kutokana na utajiri wake wa dhahabu ulioporwa katika mahali walikopindua na kuua, bustani zenye kuning’inia katika kuta ndefu zenye futi za mraba 400.
View attachment 1764275

Bustani hizi zilikuwa juu kutani kiasi cha futi 75 kutoka ardhini. Hii ni nchi ya Wakaldayo wa zamani waliokula nguruwe na kunywa mvinyo kwa wingi. Na kabla ya kula vyakula hivi vya kitajiri, walivitoa sadaka kwa miungu yao mikuu, Bel na Murdoch.

Danieli na vijana wenzake wa Kiebrania waligoma kula chakula hiki na pombe zilizotolewa dhabihu kwa miungu kabla ya kuliwa eti ili kumfanya mlaji awe na nguvu za miungu hii mwilini mwake! Wakasema, kula nguruwe hizi na kunywa pombe ilikuwa kujitia unajisi na chakula cha Mfalme(Danieli 1:1-8).

Babeli, mabaki yake yangalipo hata leo huko kando ya Mito miwili ya Tigris na Euphrates, mchangani-na unaweza kufika kwa treni, ni eneo la utalii siku hizi, sasa ni makao ya mashetani na ndege wachafu kama popo, bundi n.k
View attachment 1764277View attachment 1764278

Jiji hili la siri hufananishwa na mwanamke, katika Ufunuo wa Yohana 17:5-9. Hata jiji la Mwanza, huitwa, “Jiji-Dada” la Wurzburgh, Ujerumani. Kumbe mji hupewa heshima ya mwanamke? Babeli wa mafumbo katika Ufunuo 17:5-9 ni Jiji la Siri, litakalobebwa na Ulaya siku za karibuni,ili kuua watu watakaokataa kumsujudia shetani na Freemasons-ndiye mtawala atakayefuata baada ya Marekani na washirika kuitiisha dunia.

Mwanamke huyu, “Babeli” ndani yake kuna waabuduo sanamu, wala nguruwe,walevi, waabudu jua na mfumo wa sayari zote, wenye imani za kuongea na mizimu(spiritualism) n.k Mwanamke huyu, amezaa watoto, anaitwa ‘MAMA WA MAKAHABA’ na machukizo ya nchi.

Katika Biblia, ukahaba ni pale watu wa Mungu wanapo anza kuungana na waabudu sanamu na miungu,ulevi, ibada ya mizimu na uongo na kuacha usafi na kicho kwa Mungu muumbaji(Hosea 1:2) ‘Uzinzi’ ni kumwacha Mungu na kuabudu sanamu na miungu(Hosea 1:2).

Mji huu Babeli, katika Ufunuo 17:3-11 unabebwa na Ulaya na Marekani, “SUPER POWERS” zenye nyuklia na uchumi mkubwa na wana sera moja. Iran watapigwa na Marekani, Israeli na Ulaya kwa sababu wakiachwa, wakawa na Nyuklia,watapinga kuibeba Babeli hii!! Mji huu Babeli wa siri una ‘Meya’ wake anajiita Mungu duniani na ahera, huwakilisha nambari 666. Mji dada wa Babeli umebeba kikombe cha ulevi wa mafundisho, ndiyo propaganda za uongo duniani ni uchafu katika imani ya kidini, Kiislam, Kiyahudi ama Kikristo.

View attachment 1764280View attachment 1764281
Mji huu Babeli uliua wapinzani wake,maana ulikuwepo zamani,mwaka 538-1798 AD.Ulikoma Feburuari 10 mwaka 1798 baada ya miaka 1260 ukawa mwisho wa Dark Ages. Mwanamke huyu ambaye ni ‘Mji Dada’wa Babeli ya kale, wakati wa Nabii Yohana akiandika kitabu cha Ufunuo(mwaka 96 AD) haukuwepo, na ukafufuka toka kuzimu Feburuari 11 mwaka 1929 AD.(Ufunuo 17:8-9) Mji dada wa Babeli uko juu ya milima saba. Mji ulikoko katika vilima saba Ulaya! Tazama Ufunuo 17:9 UONE SIRI hii, na milima saba pia huwakilisha falme saba za kale, Babeli, Wamedi na Waajemi katika serikali ya mseto, Wagiriki, Rumi ya kipagani, Rumi ya Kikristo, Pembe Ndogo na Serikali Mpya duniani yenye Dini na siasa(Ufunuo 17:9-11)

View attachment 1764283

Naam, Marekani na washirika wanajiandaa kuleta duniani dini mpya ya muungano wa Freemasons,Illuminati n.k Ni mfumo wa dini(system of religion) ambao ni bandia.
Bidhaa bandia(counterfeit) zinaigiza zile bidhaa halisi.Bidhaa feki hufanana na feki, lakini ubora wake ni duni na utazitambua kwa alama yake ya biashara-trade mark- kwa mfano bidhaa feki za Panasonic huitwa,Panasoanic,hukosa ubora wa Panasonic,tujihadhari! Dini counterfeit ina alama(ALAMA YA MNYAMA) mnyama ni mpinga Kristo yaani utawala bandia wa Kristo Duniani.(2Wathesalonike 2:3-4).

Mnyama yaani Mpinga Kristo ni mtawala bandia wa dunia hii(2 Thesalonike 2:3-4) Mpinga Kristo anajifanya Mkristo(1Yohana 2:18,19)Wapinga Kristo hutokea miongoni mwa wakristo, na wana tabia kama za Babeli ya zamani,ulevi, ibada ya sanamu,ulaji wa nguruwe,kiu ya utawala duniani, ibada ya jua nyota na sayari n.k Wapinga Kristo wameacha Injili na kuhubiri siasa makanisani,ili kuwapindua viongozi waliopo kote duniani-wanajidai kuhamasisha demokrasia, na hujihusisha sana na ushoga,ulawiti na ufisadi wa kiroho,ingawa wao hukazania sana watu waache ufisadi!!

Mpinga Kristo ndiye Pembe Ndogo ya Danieli 7:25 na ni mnyama wa Ufunuo 13:1-10. Mfumo wa Ibada bandia, humbeba Mpinga Kristo wa Ufunuo 13,17 Danieli 7:25 na 2Thesalonike 2:2-4.

ubarikiwe kwa kusoma

View attachment 1764282
Msabato kwenye ubora wake mnamtaja mpinga kristo wakati ndio nyie wenyewe ao wengine mnawapakaza damu mseme wameumia kumbe ni damu zenu wenyewe...Ellen alianzisha nyie malizieni kutoa kashfa
 
Nataka kusema kwamba, Ulaya wameitawala Libya,wanajua utamu wa utajiri wake wa mafuta. Ulaya na Marekani ndiyo wenye makampuni makubwa, “Supermajors” ya mafuta hapa duniani. Utawala wa Gaddafi ulitaka kubinafsisha mafuta yote yawe kwa maslahi ya Walibya, ooh…wakamkosea Mzungu.

Freemasons wanatafuta kumiliki chumi za dunia nzima na mafuta ni ‘damu’ inayobeba uhai wa dunia na mataifa yao. Sasa, twajua kwa nini Freemasons waliingiza Libya katika Mhimili wa Uovu(The Axis of Evil) wapate kuishambulia na kumuulia mbali Gaddafi na wapinzani wa sera zao. Na kwa misingi hii hii tujue kwa nini Iran itashambuliwa na Marekani ikileta ubishi wowote. Uingereza, Ujerumani, Hispania, Ufaransa, Italia, Ureno, Uswisi hawa ni vichwa saba katika mnyama wa Ufunuo 13, ufunuo 17, Danieli 7.

Marekani, ni mwanakondoo wa Ufunuo 13:11-18 na hawa wote wanahaha kuhakikisha wanafanya kampeni kali na propaganda kupitia mashirika yao ya habari yenye nguvu duniani, kuwapaka matope watu wasiopendwa,ili wapinduliwe kijeshi na AJENDA YAO YA SIRI itekelezwe.

Katika unabii wa Biblia, katika kitabu cha Danieli 2:43 mataifa haya ya Ulaya yameoneshwa yakiwa yanabebwa na historia ya iliyokuwa Dola ya RUMI. Mataifa haya hufananishwa na vidole vya sanamu ya Nebuchadnezzar, katika sura ya Pili ya Danieli. Ni sawa na pembe 10 za mnyama wa ajabu ambaye ni Rumi katika Danieli 7:7.

Hizi dola 10 za Ulaya, zilizoinuka baada ya dola ya Rumi, zina tabia ile ya Rumi ya Washenzi wa kale(Danieli 7:24). Pembe ndogo(Danieli 7:24,25) ni nguvu isiyo mamlaka ya kisiasa ambayo ilizifukuza Ulaya tawala tatu za Wavandali, Waheruli na Ostrogoths. Nguvu hii ilianza kuitawala Dunia mwaka 538 AD. Huu ndiyo utawala uliohuishwa baadaye na utaitawala dunia nzima na kulazimisha watu kuuabudu(Danieli 7:24,25).

Utawala huu utapewa mamlaka na shetani na mawakala wake,Freemasons,Illuminati,Marekani na washirika wake wa Magharibi, wataunganisha siasa na dini, watalazimisha Mfalme aabudiwe, watakaokataa watawekewa vikwazo vya kiuchumi, watafungwa jela ama kuuliwa. Sasa, demokrasia wanayojidai kueneza iko wapi? Kama watu watalazimishwa kuabudu dini moja, wakikataa wanafungwa, mtu kwa kuwa ni mtawala anajiita Mungu(Danieli 7:25 na Ufunuo 13:1-10) ndiyo demokrasia gani hii? Utawala uliozuka baada ya dola ya Rumi kusambaratishwa na washenzi wa Kaskazini, ukafukuza dola tatu za Wavandali(mwaka 454 AD),Heruli(493 AD) na Ostrogoths(538 AD) na kuanza kutawala dunia kwa jumla ya miaka 1260.

“Pembe Ndogo” yenye macho kama mtu mwanaume, huwakilisha mamlaka itakayoongoza serikali ya Dini na Siasa- Religio-Political Power. Mtawala huyu anaitwa, ‘Mpinga Kristo’ ama Chukizo la Uharibifu lililonenwa na Nabii Danieli(Mathayo 24:15). Katika Ufunuo wa Yohana 17: 5 upo mfano wa utawala huu wenye nguvu na wa ina yake unaoandaliwa kuitawala dunia,kidini,kiuchumi,utamaduni na kila nyanja.

Yohana wa Ufunuo wa Yohana 17:5 ,katika mwaka 96 AD alioneshwa utawala huu wa mseto wa dini na siasa. Akaoneshwa Jiji liitwalo “Babeli ya Siri” likiwa limebebwa na mamlaka(mnyama) za serikali za Ulaya na Marekani. Babeli, ni Jiji la kale sana, zama za Dikteta Nebuchadnezzar, mwaka 6060 BC. Siku hizi, Babeli ni moja ya Maajabu saba ya Dunia,kutokana na utajiri wake wa dhahabu ulioporwa katika mahali walikopindua na kuua, bustani zenye kuning’inia katika kuta ndefu zenye futi za mraba 400.
View attachment 1764275

Bustani hizi zilikuwa juu kutani kiasi cha futi 75 kutoka ardhini. Hii ni nchi ya Wakaldayo wa zamani waliokula nguruwe na kunywa mvinyo kwa wingi. Na kabla ya kula vyakula hivi vya kitajiri, walivitoa sadaka kwa miungu yao mikuu, Bel na Murdoch.

Danieli na vijana wenzake wa Kiebrania waligoma kula chakula hiki na pombe zilizotolewa dhabihu kwa miungu kabla ya kuliwa eti ili kumfanya mlaji awe na nguvu za miungu hii mwilini mwake! Wakasema, kula nguruwe hizi na kunywa pombe ilikuwa kujitia unajisi na chakula cha Mfalme(Danieli 1:1-8).

Babeli, mabaki yake yangalipo hata leo huko kando ya Mito miwili ya Tigris na Euphrates, mchangani-na unaweza kufika kwa treni, ni eneo la utalii siku hizi, sasa ni makao ya mashetani na ndege wachafu kama popo, bundi n.k
View attachment 1764277View attachment 1764278

Jiji hili la siri hufananishwa na mwanamke, katika Ufunuo wa Yohana 17:5-9. Hata jiji la Mwanza, huitwa, “Jiji-Dada” la Wurzburgh, Ujerumani. Kumbe mji hupewa heshima ya mwanamke? Babeli wa mafumbo katika Ufunuo 17:5-9 ni Jiji la Siri, litakalobebwa na Ulaya siku za karibuni,ili kuua watu watakaokataa kumsujudia shetani na Freemasons-ndiye mtawala atakayefuata baada ya Marekani na washirika kuitiisha dunia.

Mwanamke huyu, “Babeli” ndani yake kuna waabuduo sanamu, wala nguruwe,walevi, waabudu jua na mfumo wa sayari zote, wenye imani za kuongea na mizimu(spiritualism) n.k Mwanamke huyu, amezaa watoto, anaitwa ‘MAMA WA MAKAHABA’ na machukizo ya nchi.

Katika Biblia, ukahaba ni pale watu wa Mungu wanapo anza kuungana na waabudu sanamu na miungu,ulevi, ibada ya mizimu na uongo na kuacha usafi na kicho kwa Mungu muumbaji(Hosea 1:2) ‘Uzinzi’ ni kumwacha Mungu na kuabudu sanamu na miungu(Hosea 1:2).

Mji huu Babeli, katika Ufunuo 17:3-11 unabebwa na Ulaya na Marekani, “SUPER POWERS” zenye nyuklia na uchumi mkubwa na wana sera moja. Iran watapigwa na Marekani, Israeli na Ulaya kwa sababu wakiachwa, wakawa na Nyuklia,watapinga kuibeba Babeli hii!! Mji huu Babeli wa siri una ‘Meya’ wake anajiita Mungu duniani na ahera, huwakilisha nambari 666. Mji dada wa Babeli umebeba kikombe cha ulevi wa mafundisho, ndiyo propaganda za uongo duniani ni uchafu katika imani ya kidini, Kiislam, Kiyahudi ama Kikristo.

View attachment 1764280View attachment 1764281
Mji huu Babeli uliua wapinzani wake,maana ulikuwepo zamani,mwaka 538-1798 AD.Ulikoma Feburuari 10 mwaka 1798 baada ya miaka 1260 ukawa mwisho wa Dark Ages. Mwanamke huyu ambaye ni ‘Mji Dada’wa Babeli ya kale, wakati wa Nabii Yohana akiandika kitabu cha Ufunuo(mwaka 96 AD) haukuwepo, na ukafufuka toka kuzimu Feburuari 11 mwaka 1929 AD.(Ufunuo 17:8-9) Mji dada wa Babeli uko juu ya milima saba. Mji ulikoko katika vilima saba Ulaya! Tazama Ufunuo 17:9 UONE SIRI hii, na milima saba pia huwakilisha falme saba za kale, Babeli, Wamedi na Waajemi katika serikali ya mseto, Wagiriki, Rumi ya kipagani, Rumi ya Kikristo, Pembe Ndogo na Serikali Mpya duniani yenye Dini na siasa(Ufunuo 17:9-11)

View attachment 1764283

Naam, Marekani na washirika wanajiandaa kuleta duniani dini mpya ya muungano wa Freemasons,Illuminati n.k Ni mfumo wa dini(system of religion) ambao ni bandia.
Bidhaa bandia(counterfeit) zinaigiza zile bidhaa halisi.Bidhaa feki hufanana na feki, lakini ubora wake ni duni na utazitambua kwa alama yake ya biashara-trade mark- kwa mfano bidhaa feki za Panasonic huitwa,Panasoanic,hukosa ubora wa Panasonic,tujihadhari! Dini counterfeit ina alama(ALAMA YA MNYAMA) mnyama ni mpinga Kristo yaani utawala bandia wa Kristo Duniani.(2Wathesalonike 2:3-4).

Mnyama yaani Mpinga Kristo ni mtawala bandia wa dunia hii(2 Thesalonike 2:3-4) Mpinga Kristo anajifanya Mkristo(1Yohana 2:18,19)Wapinga Kristo hutokea miongoni mwa wakristo, na wana tabia kama za Babeli ya zamani,ulevi, ibada ya sanamu,ulaji wa nguruwe,kiu ya utawala duniani, ibada ya jua nyota na sayari n.k Wapinga Kristo wameacha Injili na kuhubiri siasa makanisani,ili kuwapindua viongozi waliopo kote duniani-wanajidai kuhamasisha demokrasia, na hujihusisha sana na ushoga,ulawiti na ufisadi wa kiroho,ingawa wao hukazania sana watu waache ufisadi!!

Mpinga Kristo ndiye Pembe Ndogo ya Danieli 7:25 na ni mnyama wa Ufunuo 13:1-10. Mfumo wa Ibada bandia, humbeba Mpinga Kristo wa Ufunuo 13,17 Danieli 7:25 na 2Thesalonike 2:2-4.

ubarikiwe kwa kusoma

View attachment 1764282

Usabato Ni laana kwa ulimwengu
 
wanakwepaje ikiwa upagani wote wa ROMAN EMPIRE wameurithi na kuuingiza kanisani

View attachment 1764450

View attachment 1764451
View attachment 1764452

IMG_0063.jpg
 
Asante kwa Mada nzito

Ktk hoja za unabii biblia inajitafsiri yenyewe. Naomba majibu ya maswali yangu

1. Mnyama mana yake ni utawala au dola, Pembe ni mfalme je na Kichwa ni nini? Kwanini unataja vichwa saba ktk yulr mnyama wa Ufunuo kama tawala za ulaya? Je kichwa maana yake ni utawala?

2. Yule mnyama afananae na Mwanakondoo,anayeinuka kutoka ktk nchi ..niambie ni wapi katika biblia imeandikwa kwamba ni Marekani?? Kwani nini isiwe Djibout au Ethiopia.

3. Kwa sasa nyakati hizi yunazoishi sisi tuko ktk utawala upi wa dunia? Yaani mnyama yupi kati ya Simba, Dubu, chui na huyo mwingine anayetodautiana na wengine wote mwenye meno kama ya chuma na nguvu nyingi?

5. Ktk biblia ni wapi imeandikwa kuwa Mnyama wa kwanza wa Ufunuo anayepewa Nguvu na kiti cha enzi na yule Joka ni Rumi? Maana tujuavyo sasa hatuna utawala wa rumi unaotawala dunia.

6. Freemason, illuminat vimetajwa wapi ktk biblia?? Umeongeza mwenyewe au?

7. Huyu Nabii wa uongo anayetajwa kuunda sanamu ya mnyama na kuipulizia pumzi hadi ikanena; kauli hii ina maana gani? Kwamba sanamu kweli itaundwa na Nabii wa uongo?

8. Mnyama wa kwnza ktk ufunuo ni mtu au ufalme? Nabii wa uongo ni Mtu au ufalme?
Mnyama wa ufunuo mwenye vichwa Saba ni rumi, ufunuo ni muendelezo wa kitabu Cha Daniel mnyama wa nne wa Daniel mwenye pembe 10, na mnyama wa ufunuo mwenye pembe 10 na vichwa 7 ambazo ni milima Saba ulipojengwa mji wa Roma.

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
Mnyama wa ufunuo mwenye vichwa Saba ni rumi, ufunuo ni muendelezo wa kitabu Cha Daniel mnyama wa nne wa Daniel mwenye pembe 10, na mnyama wa ufunuo mwenye pembe 10 na vichwa 7 ambazo ni milima Saba ulipojengwa mji wa Roma.

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
mimi kinachonitatiza hiyo milima saba imeandikqa wapi kwenye ufunuo? isiwe ikawa ni binadamu tunaongeza maneno na tafsi zetu maana Biblia inatakiwa ijitafsiri yenyewe.
 
Back
Top Bottom