Mhe. Tundu Lissu, wewe ni mgombea wa urais. Sote tunatambua ya kuwa urais ni taasisi. Hivyo ni muhimu sana kwa wewe kujijenga kitaasisi ukiwa mgombea. Kwa jinsi ninavyoshuhudia katika kampeni zako wewe umekuwa ndo kila kitu yaani wewe ndo msemaji wewe ndo Katibu wa chama.
Sioni haja ya wewe...
Hi Jf,
Ni miezi mitatu imepita toka niachane na huyu X-girlfriend. Mwanzo wa kuachana alionekana kunichukia sana lakini mimi nilimchukulia kama rafiki wa kawaida tu.
Nimekuwa nikiongea naye friendly but periodically sana kwani nimekwisha move on na namtreat kawaida tu.
Cha ajabu two weeks...
Niliamini alinipenda kwa dhati, but siamini kile anachoniambia sasa, "TUACHANE" ndo kauli yake ya mwisho.
Chanzo cha hili ni hv mara baada ya
Misimu ya sikukuu kuingia aliniomba hela ya shopping.
Kiukweli nilikuwa nimepigika sana coz mi ni mwanafunzi wa chuo na by that time boom...
Kwa aliye download PDF ya selected applicants IFM anisaidie kujua kama kuna la LEONARD SAMWEL in information technology. Niko kijijini jamani sina access ya mtandao kabisa ila kuna jamaa leo kanipigia simu anadai kacheki jina langu kwenye gazeti.
Kuna mdada ambaye nimetokea kumpenda sana, at first hakuonekana kuniaccept akanishauri kusaka girl friend.
Niliufuata ushauri wake na kweli nakabahatika kumnasa mdada mwingine. Cha ajabu huyu mdada sikumpenda ila nilimtamani tu.
Nilimfahamisha yote hayo huyu mdada ambaye nilimpenda sana. Baada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.