Nauza viwanja gezaulole vyenye vocha kama doc zinavyoonyesha hapo chini hivi ni viwanja vya kupima , unachotokiwa ni kulipa gharama kama inavyoonyesha hiyo vocha na hela yangu ya udalali ni milioni mojo kwa kila kiwanja-0712769766
hivi ni viwanja vya kupima , unachotokiwa ni kulipa gharama kama inavyoonyesha hiyo vocha na hela yangu ya udalali ni milioni mojo kwa kila kiwanja-0712769766- viwanja hivi vimeshauzwa
Tecno T1, new dual SIM smartphone
Key Features:
· Android 2.3.5 Operating System
· Capacitive touch screen of 3.5-inch
· 3.0mp camera
· Sensor options
This gadget features an intelligent terminal that helps users to add value-added applications free...
Halina hati ya serikali kuu bali lina hati ya serikali ya mitaa/kijiji. barabara inafika hadi shambani. Eneo ni tambarare, inafaa kwa ujenzi na kilimo. napatikana jumamosi na jumapili tu, kwa sereous client nipigie 0785 769 766
Karibu
Halina hati ya serikali kuu bali lina hati ya serikali ya mitaa/kijiji. barabara inafika hadi shambani. Eneo ni tambarare, inafaa kwa ujenzi na kilimo. napatikana jumamosi na jumapili tu, kwa sereous client nipigie 0785 769 766
Karibu
karibu na funcity km 18 kutoka ferry. Eneo halifikiwi na mradi wa bush. Nakata kuanzia nusu eka mil 5. Eneo lipo tambalale na lina mchanga mzuri mweupe wa kujengea karibu upaone na ufurahie
kuna nusu eka mil 4 lipo km 5 kutoka main road ya kigambon kongowe kituo cha kwa pinda na km 18 kutoka ferry. Unapimiwa kadri mfuko utakuwezesha. Karibu
lipo katika kijiji cha lugwadu wilaya ya mkuranga. Ni km 6 kutoka barabara kuu ya kongowe kigamboni na km 24 kutoka ferry na km 8 kutoka kongowe. Shamba lina ninazi mikinda na mikorosho. Anayehitaji ani-pm
lipo km 7 kutoka mwembemtengu barabara kuu iendayo kongowe. kutoka kivukoni ferry hadi kwenye junction ya kuingia shambani ni km 20, na kutoka kongowe ni km 4. Pm for sereous buyer only
lipo lugwagu km 7 kutoka barabara ya lami iendayo kongowe kituo cha mwembe mtengu. Unaweza kupitia ferry ambo ni km 20 kutoka kivukoni hadi kwenye junction ya kuingia shambani na km 4 kutoka kongowe pm kwa sereous buyer
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.