ukihitaji namba yangu ya cm ni-pm tafadhali
wewe utakua una tatizo la akili, naona shughuli zako zimekushinda unaanza kutapatapa unachokisema ni irrelevant na huna hoja ya kujibiwa. Nashauri tafuta kazi za kufanya kuliko kuropoka kama juhaSasa Mama Chacha hivo viwanja si niliskia vya sumaye? Au mzee chacha kanunua kwa sumaye? Je mnauza hadi kwenye lile dimbwi la maji au kule juu karibia na kanisani? Je jirani yenu mmasai ana taarifa kama mnauza hadi eneo lake? Isije ikatokea kama kule tegeta mzee chacha alivyoleta mabaunsa wakapigwa mapanga wakauliwa!
ufafanuzi plz!!
wewe janja weed wa wapi? Ukisikia kigamboni unajua kote kuna master plan. Umewahi kufika toangoma kigamboni kwenye viwanja vya serikali? au mikwambe? Au kwa kua mdomo hulipii kodi umeamua tu kuropoka? Nakushauri kwa umri wako fikiri kabla ya kusema wanayoyajua mambo wanakudharaukuna master plan huko inakuja.... Hata ukinunua unanyimwa title, jaribuni muone
wewe utakua una tatizo la akili, naona shughuli zako zimekushinda unaanza kutapatapa unachokisema ni irrelevant na huna hoja ya kujibiwa. Nashauri tafuta kazi za kufanya kuliko kuropoka kama juha
eti umesikia are u sereous wewe king kong? unaonaje huyo aliyekwambia akudhibitishie na doc uzi-scan utuwekee humu kwa faida na manufaa ya wote? Nakushauri acha kukaa vibaradhani na kupost habari za kizushi utavalishwa dila mwanaume mzima aibu ikushikeSasa Mama Chacha hivo viwanja si niliskia vya sumaye? Au mzee chacha kanunua kwa sumaye? Je mnauza hadi kwenye lile dimbwi la maji au kule juu karibia na kanisani? Je jirani yenu mmasai ana taarifa kama mnauza hadi eneo lake? Isije ikatokea kama kule tegeta mzee chacha alivyoleta mabaunsa wakapigwa mapanga wakauliwa!
ufafanuzi plz!!