hakuna umeme wala maji as wote wakazi wa huku 2nachimba vicma virefu. Barabara hadi shambaniNi shamba au kiwanja?
Umbali gani kutoka Kongowe Road?
Miundombinu ya Umeme, barabara, maji n.k ikoje?
Jamani, master plan imeshatoka?
Jamani, master plan imeshatoka?
kuhusu master plan cna uhakika since yale yalikua mapori na 2linunua kwa bei ndogo kama mpango wa serikali ya kijiji kupunguza mapori, eneo lipo kituo cha mwembe mtengu 3km frm main road ya kongowe karibuni.
nusu eka sh 5mil. Ni umbali wa km 18 kutoka ferry kigamboni. Sereous buyer pm
Mimi nina 3 Miillion tu unasemaje kama nikiisha kamilisha kukichunguza hicho kiwanja au shamba?
kuhusu master plan cna uhakika since yale yalikua mapori na 2linunua kwa bei ndogo kama mpango wa serikali ya kijiji kupunguza mapori, eneo lipo kituo cha mwembe mtengu 3km frm main road ya kongowe karibuni.