Wakuu,
Nipo Dar es Salaam, kwa anayeuza au kujua wauzaji wa laptops used au refurbished. Nahitaji mzigo mmoja wa laptop aina ya HP kuanzia Core i3 generation ya 5
🙏🙏
Wakuu habari...
Siku hizi kama tunavojua kuna biashara nyingi sana za online huku ukifanyiwa delivery either free or malipo kidogo.
Japo ni rahisi kushawishika kwa ubora wa bidhaa wanazouza kulingana na uhitaji wako, kuna wauzaji wengine si waaminifu ni matapeli watakuaminisha ulipie nusu ya...
Samahani wakuu,
Kwa anayefahamu au alishawahi kununua bidhaa kwa kutumia Sunsky naomba anisaidie kuhusu shipping yao ni ndani ya siku ngapi, na vipi unaletewa mzigo wako mpaka nyumbani au na wao mpaka ukachukue mzigo Posta?
Naombeni mnisaidie
Mimi pia ni mmojawapo waliopo kwenye list "BC not certified by Rita" kwa hiyo naweka Cheti kilichohakikiwa na Rita basi au mpk na muhuri mahakama uwepo?
Msaada tafadhali
Heslb wametoa majina ya wanafunz ambao hawajakidhi vigezo vya kupata mkopo..
Mimi pia ni mhanga naambiwa "BC not certified by Rita" ila nilihakiki. sasa Kwenye kuthibitisha( kurekebisha makosa) naweka copy ya cheti kilichohakikiwa chenye muhuri wa rita au kile original...
Msaada tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.