Zehoes
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 503
- 331
Wakuu nimependa kushare nanyi hili jambo kuhusu chuo kikuu cha Dodoma....
Kwa walio multiple udom naona ni dhahiri wamekuwa confirmed automatically hata kama uliconfirm chuo kingine wao wameshaconfirm tayari huko kwenye account zenu....
Lkn wameongeza kitu kinaitwa unconfirm kwenye dash boards....
My take hapa ukikuta MTU alishaconfirm chuo kingine tofauti na udom maana yake jina lake lipo vyuo viwili,(udom,na hicho kingine)....huu ndiyo mwanzo Wa MTU kukosa mkopo maana BODI watashindwa kuelewa MTU Huyo yuko chuo kipi...?
Hivyo basi wakuu kwa wale ambao hawahitaji kujiunga na udom ingieni mfanye unconfirmation ili kuepuka hii SHIDA ya kukosa mkopo
Kwa walio multiple udom naona ni dhahiri wamekuwa confirmed automatically hata kama uliconfirm chuo kingine wao wameshaconfirm tayari huko kwenye account zenu....
Lkn wameongeza kitu kinaitwa unconfirm kwenye dash boards....
My take hapa ukikuta MTU alishaconfirm chuo kingine tofauti na udom maana yake jina lake lipo vyuo viwili,(udom,na hicho kingine)....huu ndiyo mwanzo Wa MTU kukosa mkopo maana BODI watashindwa kuelewa MTU Huyo yuko chuo kipi...?
Hivyo basi wakuu kwa wale ambao hawahitaji kujiunga na udom ingieni mfanye unconfirmation ili kuepuka hii SHIDA ya kukosa mkopo