UDOM TUMIENI USTAARABU KIDOGO

jarbuni Mara nying na Mimi nilkua na tatizo hilo hilo ila Ku un-confirm ni mpk uweke confirmation code
 
Ki msingi nchi kama nchi iko kwenye mchakato wa kuhamia Dodoma. Ofisi nyingi zikiwemo zile pale karibu na IFM zimehamia Dodoma.

Hivyo sio ajabu mwanafunzi wa IFM akahamishiwa Dodoma
 
Mimi milichaguliwa multiple selection udom na ifm na nikaconfirm ifm lakini cha kushangaza nmeingia kwenye account yang ya udom nmekuta napo washaconfirm sa nfanyaje jmn
Hata udsm walikua wanafanya the same
 
Mimi milichaguliwa multiple selection udom na ifm na nikaconfirm ifm lakini cha kushangaza nmeingia kwenye account yang ya udom nmekuta napo washaconfirm sa nfanyaje jmn
Udom ya saa ivi so kama tuliyosoma zaman kuna jamaa angu anachukua masters pale anadai mambo yamechange sana....achana na historia nenda shule bwana mdogo
 
Back
Top Bottom