Bryce mziba
Member
- Jul 20, 2018
- 22
- 8
Heslb wametoa majina ya wanafunz ambao hawajakidhi vigezo vya kupata mkopo..
Mimi pia ni mhanga naambiwa "BC not certified by Rita" ila nilihakiki. sasa Kwenye kuthibitisha( kurekebisha makosa) naweka copy ya cheti kilichohakikiwa chenye muhuri wa rita au kile original...
Msaada tafadhali
Mimi pia ni mhanga naambiwa "BC not certified by Rita" ila nilihakiki. sasa Kwenye kuthibitisha( kurekebisha makosa) naweka copy ya cheti kilichohakikiwa chenye muhuri wa rita au kile original...
Msaada tafadhali