Hai: DC Sabaya aagiza wamiliki wa mabasi kukamatwa kwa tuhuma za kuhujumu miundombinu ya Reli Dar-Moshi

Tatizo huyu Sabaya Magufuli alimtoa kwenye vijiwe vya wavuta bhangi. Yani huyu jamaa huwa anavutaga bhangi kama sigara na marafiki zake wakuu ni madereva wa tours. Kwa ufupi ni kiokote wa mtaani na ndiyo maana amekaa kijinga jinga kwenye uongozi. Mtu anapuliza bhangi kama vile anavuta misokoto ya sigara eti naye ni DC na alikuwa ni mtu wa vijiweni usipime.
 
Slowly,
Jamaa kaanza kuvuta bhangi akiwa shule ya msingi. Kwa sasa huwa anavuta bhangi kama vile sigara. Yani akimaliza msokoto hapo hapo anawasha mwingine na anaweza piga misokoto mitatu non stop!
 
the truecaller,
Mkuu shida sio uhalifu tumesikia juzi tu Jaji Mkuu anakemea kesi kupelekwa na DPP mahakamani bila ushahidi wa kutosha. Sasa sabaya alishindwa nni kuwaita kiofisi na sio mbele ya camera?? Mtuhumiwa anakamatwa jumapili ili tu asipate dhamana na ikithibitika hana makosa brand yake itasafishwa vipi??

Kufanya kazi sio mpaka media wahujumu uchumi wengi tu wana kesi ila kuna taratibu za kimahakama. Mkamate fungua kesi mwaga ushahidi sio unakamata ndio ssa muanze kutafuta ushahidi.....

Biashara moja ya basi inatoa ajira direct na indirect ya watu zaidi ya 20 ssa ukivuruga chain ndio uchumi unakufa taratibu.... Haya maamuzi ya kisiasa yaangalie implication za kiuchumi sio kutafuta sifa tu mitandaoni.

Ndio maana list ya madawa yule kamanda mpya aliondoka na file akawa anawafuatilia taratibuu sio kwa kelele za media kama RC wa Dar.
 
jd41,

Kwa kasi ya huyu jamaa, na kutofikiria ni lipi limpasalo kufanya, kuna siku atatoa amri MUNGU afike kituo cha polisi kujibu shitaka la kuruhusu mvua kunyesha na kuaribi makazi, miundombinu na kusababisha vifo.

NB:
Kama ana ushauri husiokuwa na shaka, basi hao watu wachukuliwe hatua stahiki.
 
Sabaya alishawah nipiga ngumi ya taya tukiwa Ikizu secondary , mi nilikuwa form two yeye form four, tukiwa form one tulichoma shule , Baba yake sabaya alikuwa Mkuu wa wilaya alikuja kututimua pale Kwa amri ya kijeshi, nakumbuka pia na mim nilimdhulumu kitabu mpak leo , alikuwa ananitafuta
dom najificha , jamaa alikuwa mbabe Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndivyo mkubwa anataka nchi iendeshwe. Roho mbaya imewajaa walio kwa system. Wao walivyokua wamelala wenzao walikua wanatafuta pesa. Sasa hivi wanaonekana ni wezi! Usishangae wanaweza kupewa kesi ya uhujumu uchumi kisa wao ni matajiri. Hawa watu ni kwa vile tu wanatoka kijiji kimoja na Freeman ndo maana wananyanyaswa. Matajiri wenye mabasi ni wengi tu, kwa nini awasumbue hawa wanaotoka kijiji kimoja na Mbowe?
 
Ni hujuma za wafanyabiashara ya mabasi ndio ziliua huduma ya reli ambayo leo serikali inatumia fedha nyingi kuifufua, nawashauri ndugu zangu tusiwe wepesi kukanusha hizi taarifa, tuiwache serikali ifanye kazi yake
Wacha kutupumbaza wewe, mtanzania wa sasa siyo wa kumdanganya unataka kutwambia hata yale mafuriko ya kilosa yanayo sombaga reli yanaletwa na wafanya biashara?
Ebu tumia akili kidogo angalau basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni hujuma za wafanyabiashara ya mabasi ndio ziliua huduma ya reli ambayo leo serikali inatumia fedha nyingi kuifufua, nawashauri ndugu zangu tusiwe wepesi kukanusha hizi taarifa, tuiwache serikali ifanye kazi yake
Kuna ushahidi kuwa hao wamehusika? Na Kama hawajahusika je watalipwa gharama za kuchafuliwa majina yao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom