Search results

  1. Per Diem

    Bendera ya Kenya jengo la Burj Khalifa iliwekwa 2019, ni nani amemuongopea Rais wetu kuwa imewekwa karibuni?

    Leo na mimi acha niwaseme washauri wa raisi, imekuwa ipi wanamueleza raisi kuwa bendera imewekwa hivi karibuni wakati bendera ya Kenya iliwekwa 2019?? Raisi amesema sisi tunalumbana huku jirani wenzetu nao wameenda huko na bendera ikawekwa kama sisi tulivyowekwa. Ni nani wamemueleza bendera...
  2. Per Diem

    Kada ya Ualimu(Walimu) ni watu ambao hawana exposure? Walimu ni watu ambao hawafatilii chochote?

    Sikuwa na nia ya kuweka uzi, lakini imenibidi niweke ili kutoa hili sikitiko langu. Nimepigwa mshangao kuona majibu ya walimu kwenye baadhi ya mada. Walimu wanashangaa kuona kuwa kuna mitihani kwenye interview, wao wanajua interview ni mahojiaano tu ya ana kwa ana(oral interview). Hajui kabisa...
  3. Per Diem

    Wivu kwa Pep Guardiola unatokana na nini?

    Nimegundua watu wengi wana wivu mkubwa sana na Pep, hawataki kukubali. Wameshikilia msimamo wao kuwa anasajili wachezaji wazuri, hapohapo timu zao nao zinasajili wazuri lakini mafanikio hakuna. Ukiangalia hapo kwenye takwimu, toka Pep aende uingereza Man Utd. na Chelsea wametumia pesa nyingi...
  4. Per Diem

    Tundu Lissu: Tumeuzwa na Rais Samia. Mkataba wa DP WORLD na Serikali ni Mkataba wa ovyo

    Nimemsikiliza Lissu vizuri, anasema tumeuzwa na Raisi, kazi iendelee. Nilikuwa mmoja wa watu ambao nilimpinga Lissu kipindi kile kwenye yale mambo ya makinikia. Mwisho Lissu ameibuka mshindi Hili la leo mnaweza kumpinga tena, lakini akaibuka mshindi. Kwa historia yake ya nyuma kwenye masuala...
  5. Per Diem

    Mbowe anasema mkataba ni zaidi ya miaka 100, hauna ukomo. Ni life time

    Nilikua namsikilizambowe anasema mkataba hauna ukomo. Anasema yupo tayari kuamsha nchi nzima Kama bunge litapitisha Leo nimeona ameongea kwa hisia sana. --- "Watu wengine wanasema mkataba ni wa miaka 100, kwa mujibu wa mkataba huu unaweza kuwa miaka 200, huu mkataba hauna mpaka. Waliosema...
  6. Per Diem

    Viongozi na wanasiasa acheni timu ipumue, yanga ni bora kabla ya hamasa

    Kuna tatizo kubwa mno kwenye nchi yetu, hasa kutoka kwa viongozi na wanasiasa. Wanapenda kupitia na kila upepo ulio mbele yao. Nimeona waziri wa michezo akiongea na wachezaji kwa muda mrefu kuwapa sijui hamasa, nimeona pia waziri wa michezo kutoka Zanzibar nae kaongea na wachezaji kuwapa...
  7. Per Diem

    Bashe anapaswa kujibu hili, amefeli kwenye kilimo. Hili la mbolea limeumbua, angalia idadi

    Kuna nguvu ilitumika sana kwenye suala la mbolea mwaka jana, nyimbo zilitungwa na sifa ziliimbwa kwa waziri bashe kuhusu mbolea ya ruzuku. Bashe akasema anataka kumuinua mkulima ndio maana anasaidia wakulima wote wapate mbolea ya ruzuku. Hafla ya mbolea ya ruzuku kwa wakulima ilifanyika mbeya...
  8. Per Diem

    Swali kwa Waziri Bashe: Kilimo gani Kitarudisha Hizi Gharama (Heka 1 milioni 17)?

    Nimeona mipango ya waziri bashe, mipango imejaa maneno matamu na porojo nyingi. Bahati mbaya wengi hupenda hizi porojo kuliko uhalisia. Bashe kwenye mipango yake kufikia 2025 wizara imepanga kuwapatia vijana heka milioni 1. Katika hesabu zake bashe anasema kuhudumia heka 1 itagharimu mil 16.7...
  9. Per Diem

    Niliwakomesha manka wanne. kamwe hawatanisahau

    Kumeibuka mijadala kuhusu wanawake wa kaskazini na mambo yao katika mahusiano au ndoa. nachoweza kusema yote au mengi ni kweli kabisa........................ Natoa ushuhuda ambavyo imewahi kutokea kwangu. baada ya kusepa bongo, kwenye mishe na magroup ya whatsapp ambayo mengi ni ya shule na...
  10. Per Diem

    Tumeshindwa kumfunga Sabaya, Hatutaweza kiongozi mwingine yeyote

    Makosa ya Sabaya yalikuwa wazi sana kiasi ambacho ilikuwa rahisi kabisa kumfunga kwa kesi yoyote ile iwe ya kutumia madaraka vibaya, uhujumu uchumi, kutumia silaha. Maswali nayojiuliza ikiwa haya yote yalikuwa wazi na tumeshindwa kumfunga Sabaya mwisho ameachiwa huru, je tutaweza kumfunga...
  11. Per Diem

    Kumchafua Magufuli ni jambo gumu, kazi ngumu ambayo haiwezekani

    Kumchafua Magufuli ni jambo gumu sana ambalo limefanywa kwa nguvu kubwa miaka miwili sasa na hakuna mafanikio. Kazi hiyo wamepewa watu wa aina tofauti wenye ushawishi lakini bado imekuwa ngumu. Magufuli alikuwa wazi kwenye sera zake na wala hakuwa mnafki kama alichukia jambo basi alilionyesha...
  12. Per Diem

    Nimerudi Bongo kutoka Norway, nimejipa likizo ya mwezi mmoja. Ikiisha naenda US, halafu Norway

    Waungwana eeeh hatimaye nimerudi bongo from Norway kwa kujipa likizo ya mwezi mmoja. Hapa katikaki mambo kidogo yalitaka kuwa magumu huko sababu ya Vita hivi vya UA vs RU, Ila nilipambana na kila kitu kikaa sawa. Baada ya mihangaiko na kuijua vizuri Europe(Norway) na kufanya kila nilichopanga...
  13. Per Diem

    Maisha ya Norway yamesababisha nitengane na mpenzi wangu, wanawake muwe wavumilivu. Rasmi nipo Single, inaniuma

    Wengi nadhani sio wageni na mimi Per Diem maana kwenye jukwaa la Hoja na Habari mchanganyiko nimekua nikiweka post nyingi za mimi nilivyokuja Norway, maisha ya huku na mambo mengine mbalimbali. Ila leo hapa navyoandika mada hii ninaumia sana kuona nimetengana rasmi na mpenzi wangu wa muda mrefu...
  14. Per Diem

    Nitaendelea kuwajuza ndugu zangu kuhusu Norway

    Ni miezi imepita kidogo toka niwe nawajuza kuhusu Norway, hii ni kutokana na nilikuwa nasoma short course ya mambo ya Ship Surveying, nashukuru nimemaliza. Kazi za bandari ndio nyingi huku, hivyo ilinibidi kujiongeza ili kujiweka sehemu nzuri zaidi na sio kila mara kuwa kibarua. Japo najua...
  15. Per Diem

    Back in Norway: Nina furaha kwa nilichopata. Uliza swali lolote

    Moja ga jambo kubwa nililojifunza tokea nije huku ni kuwa na nidhamu ya kazi. Watu wengi wana nidhamu kubwa ya kazi. Mimi pia tokea nipo bongo nilikuwa nna same character kama za watu wa huku hivyo ndio maana inakuwa rahisi kwangu kuishi kwa raha. Tuachane na hayo, nimerudi Norway nikitokea...
  16. Per Diem

    Karibuni tupambane huku Malmö, Sweden. Malipo si mabaya

    Wiki iliyopita nilileta habari ya kutoka Norway na kuja Malmo kwenye kazi. Wapo waliofurahi na kuniombea heri na wapo ambao walikasirika na kunitukana. Yote sawa. Nipo huku kwa kazi kama zile nazofanya Norway, vibarua vya bandarini. Nilipewa huu mchongo, faster tu wala sikutaka kujiuliza mara...
  17. Per Diem

    Maisha ni uvumilivu, njia zikianza kufunguka utafurahia maisha. Nimefika Malmo

    Nimekuwa nikiwapa motisha watu wafanye kazi kwa bidii sana, hakuna maajabu katika maisha kama kujituma. Tokea nimefika huku Norway nimejifunza vitu vingi sana na naendelea kujifunza, naomba watu wasikate tamaa. Nimekuja Malmo, huku napo ni kikazi zaidi na hii nj kutokana na kujichanganya kwenye...
  18. Per Diem

    Norway kazi za risk zina pesa nyingi, tusiogope risk katika maisha

    Nimeona watu wengi sana wakiogopa kazi ambazo ni risk. Lakini wanashindwa kuelewa kuwa kazi ambazo zina risk kubwa ndio zenye pesa nyingi. Simaanishi huku Norway kazi ambazo hazina risk hazina pesa, hapana. Kwanza kazi zenye pesa ni zile za wale skilled ambazo kwa mhamiaji huwezi kupata...
  19. Per Diem

    Kwa mnaotaka kuja Norway, ujipange kwa vyakula na vinywaji

    Moja ya swali ambalo nimeulizwa Sana na wadau humu Ni kuhusu chakula. Imenibidi nijibu hili kwa kuweka post maana Kuna Mtu amesema yeye amefanya kila aliwezalo kuja na amefanikiwa kwa 90%(anajua mwenyewe kafanyaje) maana yeye ni Mtu anayependa kula na kupiga gambe. Mimi mwanzo kabisa...
  20. Per Diem

    Maisha ya Ulaya hasa Norway ni mazuri sana, Bongo bado sana

    Moja ya vitu ambavyo sikuwahi kukubaliana navyo ni ile dhana ya kusema eti maisha ya Europe ni ya upweke. Upweke unautengeneza mwenyewe tu, ila ukweli ni kuwa maisha ya Ulaya ni mazuri Sana hasa Norway. Bongo bado Sana, tusiongopeane na kujipa moyo. Anayeweza kuja aje ashuhudie. Na inapaswa...
Back
Top Bottom