Per Diem
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 2,191
- 3,711
Leo na mimi acha niwaseme washauri wa raisi, imekuwa ipi wanamueleza raisi kuwa bendera imewekwa hivi karibuni wakati bendera ya Kenya iliwekwa 2019??
Raisi amesema sisi tunalumbana huku jirani wenzetu nao wameenda huko na bendera ikawekwa kama sisi tulivyowekwa.
Ni nani wamemueleza bendera imewekwa hivi karibuni? Mmechukua spinning na utani wa mtandaoni wakiwatania wakenya mkahisi ni ya hivi karibuni?
Naamini hili suala kuna waliomshauri mama aligusie bila kujua hili ni la miaka imepita
Raisi amesema sisi tunalumbana huku jirani wenzetu nao wameenda huko na bendera ikawekwa kama sisi tulivyowekwa.
Ni nani wamemueleza bendera imewekwa hivi karibuni? Mmechukua spinning na utani wa mtandaoni wakiwatania wakenya mkahisi ni ya hivi karibuni?
Naamini hili suala kuna waliomshauri mama aligusie bila kujua hili ni la miaka imepita