Wivu kwa Pep Guardiola unatokana na nini?

Per Diem

JF-Expert Member
Mar 28, 2018
2,191
3,711
Nimegundua watu wengi wana wivu mkubwa sana na Pep, hawataki kukubali. Wameshikilia msimamo wao kuwa anasajili wachezaji wazuri, hapohapo timu zao nao zinasajili wazuri lakini mafanikio hakuna.

Ukiangalia hapo kwenye takwimu, toka Pep aende uingereza Man Utd. na Chelsea wametumia pesa nyingi kuliko Man city. Man City pesa waliyotumia inafanana na Arsenal, lakini Pep na City yake wanaambiwa kwa sababu wanatumia pesa nyingi kusajili.

Thomas Partey alikuwa mchezaji muhimu kwa Atletico Madrid kuliko Rodri, leo hii Arsenal wanaachana na Partey. Huku Rodri akizidi kuwa bora. Ingekua vice versa, Pep kamchukua Partey halafu Arsenal wakamchukua Rodri bado kuna watu wangesema Pep anachukua walio bora.

Man Utd wameenda kutumia pesa nyingi kumnunua Maguire, City wanaenda kumnunua Ruben Dias. Hadi hapa shida sio pesa.

Chelsea wametumia pesa nyingi kuwanunua Enzo, Mudryk, Joao Felix. Hawa wote wame-flop, lakini hawa hawa angewapata Pep naamini wasingeflop na story ingebadilika kuwa Pep anachukua wachezaji walio wazuri.

20230514_204210.jpg
 
Pep angepewa timu kama Arsenal yenye Ufinyu wa bajeti kwenye matumizi yake - basi angekuwa kocha wa kawaida kama Roberto De Zebri.

Anabahatika kufanya kazi katika nyakati ambazo oil money inawekezwa kwenye soka.

Kimsingi kwangu sioni kama ni kocha bora kuliko Sir Alex Farguson au Arsene Wenger. (These guys wali uheshimisha mpira wa miguu pasi na kutumia oil money, ndio maana ni makocha pekee kuwa inducted kwenye EPL hall of fame).
View attachment 2663734
 
Mishahara yao je?

Hakuna timu Pep kaenda ambayo haikushinda makombe miaka 3 kabla na baada ya Pep. Man city was on the way up hata kabla ya ujio wa Pep. Ni kama Steve Karr na GSW.

Mou alishinda UCL na Porto na aliposepa Porto imepoteana kabisa, vile vile Inter imebaki kuhangaika tu Serie A.

Fergie alifanya hadi Anderson a-shine wakati hata Tukuyu stars angekosa namba.

Wenger literally built Arsenal na kushinda invincible.

Pep is good but not the best. Fergie, Wenger, Mou ni bora zaidi in their prime.
 
Mishahara yao je?

Hakuna timu Pep kaenda ambayo haikushinda makombe miaka 3 kabla na baada ya Pep. Man city was on the way up hata kabla ya ujio wa Pep. Ni kama Steve Karr na GSW.

Mou alishinda UCL na Porto na aliposepa Porto imepoteana kabisa, vile vile Inter imebaki kuhangaika tu Serie A.

Fergie alifanya hadi Anderson a-shine wakati hata Tukuyu stars angekosa namba.

Wenger literally built Arsenal na kushinda invincible.

Pep is good but not the best. Fergie, Wenger, Mou ni bora zaidi in their prime.
Mou kafundisha madrid, timu iliyokua na pesa na kila aina ya mchezaji. Mou alikua na wachezaji hawa: Ronaldo, Kaka, Ozil, Di Maria, Benzema, Higuain, Ramos, Pepe, Carvalho, Marcelo, Xabi Alonso. Mbona hakushinda makombe matatu?

Ferguson alifanya Anderson ashine? Kwani pep kawatoa vijana wangapi? Tena kwa kuwapa majukumu mazito na wakawa bora:
 
Pep angepewa timu kama Arsenal yenye Ufinyu wa bajeti kwenye matumizi yake - basi angekuwa kocha wa kawaida kama Roberto De Zebri.

Anabahatika kufanya kazi katika nyakati ambazo oil money inawekezwa kwenye soka.

Kimsingi kwangu sioni kama ni kocha bora kuliko Sir Alex Farguson au Arsene Wenger. (These guys wali uheshimisha mpira wa miguu pasi na kutumia oil money, ndio maana ni makocha pekee kuwa inducted kwenye EPL hall of fame).
View attachment 2663734
Arsenal Ina ufinyu gani wa bajeti?
Angalia hapa pesa walizotumia arsenal kununua wachezaji tokea 2016, alafu linganisha na alizotia pep
20230514_204210.jpg
 
Mou kafundisha madrid, timu iliyokua na pesa na kila aina ya mchezaji. Mou alikua na wachezaji hawa: Ronaldo, Kaka, Ozil, Di Maria, Benzema, Higuain, Ramos, Pepe, Carvalho, Marcelo, Xabi Alonso. Mbona hakushinda makombe matatu?

Ferguson alifanya Anderson ashine? Kwani pep kawatoa vijana wangapi? Tena kwa kuwapa majukumu mazito na wakawa bora:

Mou alishinda la Liga RM wakati huo RM washapoteana la Liga. Nevertheless, Mou hapimwi akiwa RM, Ubora wa Mou unaonekana Porto, inter, manyu aliipa Europa wakati ishapoteana na spurs kaifikisha final. Aliifufua Chelsea as well. Pep kafufua timu gani?

Angalia maendeleo ya Porto, inter, Manyu, Spurs baada ya Mou kuondoka afu angalia maendeleo ya timu za Pep baada ya Pep kuondoka.
 
Akanji £17million

Alvarez £15miilion

Halaand £60million

Jumla £92million

Hapo tumeuza zinchenko ,Jesus na sterling .....

Zinchenko alisajiliwa Kwa £1million ,kauzwa arsenal ..

Foden,palmer ,lewis ,Hawa wote ni academy

Kdb kasajiliwa na mancin £70million

Ake ,stone ,rodri ,walker ,Laporte ,gundo ,bernado silva ,ederson ....hao ni wachezaji ambao usajili wa kila mmoja haukufika hata £60 million ....

Kama huyo bernado silva mnayemuona katoka Monaco Kwa £40m

Hicho ndio kikosi cha man city .....

Lakin watu wanasema anatumia pesa nyingii

Nikasema unitajie top 15 player epl waliosajiliwa Kwa pesa nyingi ,utakutana na mchezaji mmoja tu wa man city grealish....ilaa Sasa united

Msimu tu umeoisha

Casemiro £80million

Antony £100million

Jumla £180m

Kama man city anatumia pesa kununua makombe basi united anatumia pesa kufelii

Ukifuatilia club kubwa yenye pesa ,sijui na vitu utatajuwa united ,ila ukija kwenye matumizi wanaisakizia man city

Katika top 10 ya wachezaji walionunuliwa Kwa bei kubwa epl huwezi kosa wachezaji wa united 4

Sancho £80 m

Antony £100m

Pogba £108m

Hayo yote ni magarasa ya united kutumia pesa nyingi huku wakitoka na zero trophies huwezi sikia wanasema ......

Msimu umeoisha chelsea katumia £600million kununua sterling,Enzo ,mud,cucurela ,fofana,madueke wameishia nafasi ya 12th kwenye league..,,,hayo magarasa yote hakuna yanachoisaidia timu ...hakuna mtu anayesema kuwa hizo ni pesa .....


United ni Moja ya timu inayotumua pesa lakin hakuna wanachoambulia zaidi ya kupoteza hela ,AKILI YA PESA HAWANA ndio maana wananunua wachezaji wa YouTube clip (Antony) Kwa pound million 100 lakin hakuna mtu anayeweza kukuambia .....ni Kwa sababu hayashindi kombe lolote ....

KAMA UNASEMA MAN CITY ANATUMIA PESA NYINGI NJOO NA DETAILS ZA HAYO MATUMIZI tubishane hoja Kwa hoja .....

Hakuna kocha ambaye hatumii pesa ,wala sijui kubana matumizi

Klopp aliwahi kusema "I will not spend £80millon for player " .....kamuulize NUNEZ kanunuliwa Kwa ngapi £100million ,,,,na hiyo ni Liverpool ambayo watu wanasema haitumii pesa lakin hawawezi kusema Hilo .......


Watu ni wajinga tu wanajificha kwenye kivuli cha pesa ,huyo mo hakuna timu yenye akili timamu inaweza mchukua morhno kuwa kocha ,ana mbinu za kizamani hataki kubadilika ,ndio maana hata Madrid hakuifikisha popote ....

Timu yeyote kubwa psg ,buyern ,Madrid , haziwezi sajili outdated kocha kama morhno kwenye modern football ambayo pep kashaibadilii .... respect to pep....anaenda na wakati ...hayupo kizamani kama mo muda wote ni kupark bus .....

Huyo Wenger mnayemsema hana CL hata Moja ,ila Bado mnamuweka kwenye anga Moja na pep wtf,,arsenal ya invisible imeshindwa kuchukua CL ,harafu mnasema ujinga gani ....


Huyo Alex farguson kapigwa final mbili za CL na pep ,mpaka mkono unatetemeka ,hivi nyie watu ni wajinga kiasi gan mpaka mnalinganisha farguson na pep .....

Farguson anajua moto wa pep ,kamuuliza , na pep Bado anatembeza fimbo mpaka Sasa balani ulaya Hao kina farguson washastafu na kawagonga mpaka wananyoosha mikono juu ,kama ni boxing basi farguson alipigwa ko na pep mpaka kustafu ngumi na kulazwa hospital mazima ....

Pep yupo dunia yake kwenye ulimwengu wa football....

Mnasema anatumia pesa ni kocha gani hahitaji pesa kupata mafanikio , Carlo alivokuwa Everton alifanya nin ,kaenda Madrid Tena yenye pesa na kila kitu umeona alichofanya ....
 
Natamani Gadiola apate timu ya Taifa kwani hadi sasa kwenye vilabu hadaiwi chochote. Wanaobisha kuwa si kocha bora ipo siku watakubali tu hasa akiweza kuchukua world cup maana ndiyo kikombe pekee kilichobakia mwamba anadaiwa...
 
Akanji £17million

Alvarez £15miilion

Halaand £60million

Jumla £92million

Hapo tumeuza zinchenko ,Jesus na sterling .....

Zinchenko alisajiliwa Kwa £1million ,kauzwa arsenal ..

Foden,palmer ,lewis ,Hawa wote ni academy

Kdb kasajiliwa na mancin £70million

Ake ,stone ,rodri ,walker ,Laporte ,gundo ,bernado silva ,ederson ....hao ni wachezaji ambao usajili wa kila mmoja haukufika hata £60 million ....

Kama huyo bernado silva mnayemuona katoka Monaco Kwa £40m

Hicho ndio kikosi cha man city .....

Lakin watu wanasema anatumia pesa nyingii

Nikasema unitajie top 15 player epl waliosajiliwa Kwa pesa nyingi ,utakutana na mchezaji mmoja tu wa man city grealish....ilaa Sasa united

Msimu tu umeoisha

Casemiro £80million

Antony £100million

Jumla £180m

Kama man city anatumia pesa kununua makombe basi united anatumia pesa kufelii

Ukifuatilia club kubwa yenye pesa ,sijui na vitu utatajuwa united ,ila ukija kwenye matumizi wanaisakizia man city

Katika top 10 ya wachezaji walionunuliwa Kwa bei kubwa epl huwezi kosa wachezaji wa united 4

Sancho £80 m

Antony £100m

Pogba £108m

Hayo yote ni magarasa ya united kutumia pesa nyingi huku wakitoka na zero trophies huwezi sikia wanasema ......

Msimu umeoisha chelsea katumia £600million kununua sterling,Enzo ,mud,cucurela ,fofana,madueke wameishia nafasi ya 12th kwenye league..,,,hayo magarasa yote hakuna yanachoisaidia timu ...hakuna mtu anayesema kuwa hizo ni pesa .....


United ni Moja ya timu inayotumua pesa lakin hakuna wanachoambulia zaidi ya kupoteza hela ,AKILI YA PESA HAWANA ndio maana wananunua wachezaji wa YouTube clip (Antony) Kwa pound million 100 lakin hakuna mtu anayeweza kukuambia .....ni Kwa sababu hayashindi kombe lolote ....

KAMA UNASEMA MAN CITY ANATUMIA PESA NYINGI NJOO NA DETAILS ZA HAYO MATUMIZI tubishane hoja Kwa hoja .....

Hakuna kocha ambaye hatumii pesa ,wala sijui kubana matumizi

Klopp aliwahi kusema "I will not spend £80millon for player " .....kamuulize NUNEZ kanunuliwa Kwa ngapi £100million ,,,,na hiyo ni Liverpool ambayo watu wanasema haitumii pesa lakin hawawezi kusema Hilo .......


Watu ni wajinga tu wanajificha kwenye kivuli cha pesa ,huyo mo hakuna timu yenye akili timamu inaweza mchukua morhno kuwa kocha ,ana mbinu za kizamani hataki kubadilika ,ndio maana hata Madrid hakuifikisha popote ....

Timu yeyote kubwa psg ,buyern ,Madrid , haziwezi sajili outdated kocha kama morhno kwenye modern football ambayo pep kashaibadilii .... respect to pep....anaenda na wakati ...hayupo kizamani kama mo muda wote ni kupark bus .....

Huyo Wenger mnayemsema hana CL hata Moja ,ila Bado mnamuweka kwenye anga Moja na pep wtf,,arsenal ya invisible imeshindwa kuchukua CL ,harafu mnasema ujinga gani ....


Huyo Alex farguson kapigwa final mbili za CL na pep ,mpaka mkono unatetemeka ,hivi nyie watu ni wajinga kiasi gan mpaka mnalinganisha farguson na pep .....

Farguson anajua moto wa pep ,kamuuliza , na pep Bado anatembeza fimbo mpaka Sasa balani ulaya Hao kina farguson washastafu na kawagonga mpaka wananyoosha mikono juu ,kama ni boxing basi farguson alipigwa ko na pep mpaka kustafu ngumi na kulazwa hospital mazima ....

Pep yupo dunia yake kwenye ulimwengu wa football....

Mnasema anatumia pesa ni kocha gani hahitaji pesa kupata mafanikio , Carlo alivokuwa Everton alifanya nin ,kaenda Madrid Tena yenye pesa na kila kitu umeona alichofanya ....
Raheem stering yeye pauni 67 million.
Kdb yeye ni pauni 68.4 million.
Dias,mahrez,cancelo wao jumla ni million 180..!

Grealish pauni 100 million
(Most expensive transfer in British history)

Jiulize why city wanachunguzwa?
 
Mou alishinda la Liga RM wakati huo RM washapoteana la Liga. Nevertheless, Mou hapimwi akiwa RM, Ubora wa Mou unaonekana Porto, inter, manyu aliipa Europa wakati ishapoteana na spurs kaifikisha final. Aliifufua Chelsea as well. Pep kafufua timu gani?

Angalia maendeleo ya Porto, inter, Manyu, Spurs baada ya Mou kuondoka afu angalia maendeleo ya timu za Pep baada ya Pep kuondoka.
Hapimwi akiwa RM? Si umesema pep anakuta timu ikiwa na wachezaji wazuri, ndio nimekutolea huo mfano yeye kakuta wazuri pale Madrid kafanya nini? Kuchukua la liga mara 1 ni mafanikio kwa muda aliokaa?


Aliifufua Chelsea? Kwa hiyo sio usajili wa abramovich?
 
Akanji £17million

Alvarez £15miilion

Halaand £60million

Jumla £92million

Hapo tumeuza zinchenko ,Jesus na sterling .....

Zinchenko alisajiliwa Kwa £1million ,kauzwa arsenal ..

Foden,palmer ,lewis ,Hawa wote ni academy

Kdb kasajiliwa na mancin £70million

Ake ,stone ,rodri ,walker ,Laporte ,gundo ,bernado silva ,ederson ....hao ni wachezaji ambao usajili wa kila mmoja haukufika hata £60 million ....

Kama huyo bernado silva mnayemuona katoka Monaco Kwa £40m

Hicho ndio kikosi cha man city .....

Lakin watu wanasema anatumia pesa nyingii

Nikasema unitajie top 15 player epl waliosajiliwa Kwa pesa nyingi ,utakutana na mchezaji mmoja tu wa man city grealish....ilaa Sasa united

Msimu tu umeoisha

Casemiro £80million

Antony £100million

Jumla £180m

Kama man city anatumia pesa kununua makombe basi united anatumia pesa kufelii

Ukifuatilia club kubwa yenye pesa ,sijui na vitu utatajuwa united ,ila ukija kwenye matumizi wanaisakizia man city

Katika top 10 ya wachezaji walionunuliwa Kwa bei kubwa epl huwezi kosa wachezaji wa united 4

Sancho £80 m

Antony £100m

Pogba £108m

Hayo yote ni magarasa ya united kutumia pesa nyingi huku wakitoka na zero trophies huwezi sikia wanasema ......

Msimu umeoisha chelsea katumia £600million kununua sterling,Enzo ,mud,cucurela ,fofana,madueke wameishia nafasi ya 12th kwenye league..,,,hayo magarasa yote hakuna yanachoisaidia timu ...hakuna mtu anayesema kuwa hizo ni pesa .....


United ni Moja ya timu inayotumua pesa lakin hakuna wanachoambulia zaidi ya kupoteza hela ,AKILI YA PESA HAWANA ndio maana wananunua wachezaji wa YouTube clip (Antony) Kwa pound million 100 lakin hakuna mtu anayeweza kukuambia .....ni Kwa sababu hayashindi kombe lolote ....

KAMA UNASEMA MAN CITY ANATUMIA PESA NYINGI NJOO NA DETAILS ZA HAYO MATUMIZI tubishane hoja Kwa hoja .....

Hakuna kocha ambaye hatumii pesa ,wala sijui kubana matumizi

Klopp aliwahi kusema "I will not spend £80millon for player " .....kamuulize NUNEZ kanunuliwa Kwa ngapi £100million ,,,,na hiyo ni Liverpool ambayo watu wanasema haitumii pesa lakin hawawezi kusema Hilo .......


Watu ni wajinga tu wanajificha kwenye kivuli cha pesa ,huyo mo hakuna timu yenye akili timamu inaweza mchukua morhno kuwa kocha ,ana mbinu za kizamani hataki kubadilika ,ndio maana hata Madrid hakuifikisha popote ....

Timu yeyote kubwa psg ,buyern ,Madrid , haziwezi sajili outdated kocha kama morhno kwenye modern football ambayo pep kashaibadilii .... respect to pep....anaenda na wakati ...hayupo kizamani kama mo muda wote ni kupark bus .....

Huyo Wenger mnayemsema hana CL hata Moja ,ila Bado mnamuweka kwenye anga Moja na pep wtf,,arsenal ya invisible imeshindwa kuchukua CL ,harafu mnasema ujinga gani ....


Huyo Alex farguson kapigwa final mbili za CL na pep ,mpaka mkono unatetemeka ,hivi nyie watu ni wajinga kiasi gan mpaka mnalinganisha farguson na pep .....

Farguson anajua moto wa pep ,kamuuliza , na pep Bado anatembeza fimbo mpaka Sasa balani ulaya Hao kina farguson washastafu na kawagonga mpaka wananyoosha mikono juu ,kama ni boxing basi farguson alipigwa ko na pep mpaka kustafu ngumi na kulazwa hospital mazima ....

Pep yupo dunia yake kwenye ulimwengu wa football....

Mnasema anatumia pesa ni kocha gani hahitaji pesa kupata mafanikio , Carlo alivokuwa Everton alifanya nin ,kaenda Madrid Tena yenye pesa na kila kitu umeona alichofanya ....
Kuna watu wanaumwa ugonjwa wa sonona
 
Raheem stering yeye pauni 67 million.
Kdb yeye ni pauni 68.4 million.
Dias,mahrez,cancelo wao jumla ni million 180..!

Grealish pauni 100 million
(Most expensive transfer in British history)

Jiulize why city wanachunguzwa?
Hujui mpira grealish ni most expensive transfer?

Unajua united alitumia shi ngapi kumsaini Pogba ?

Unajua lukaku alitua Chelsea Kwa shi ngapi


UEFA na epl walishaona ni upuuzi mtupu man city hakuna pesa anayotumia ...

ila ni kelele za kijinga tu za haters ambao hawajitambui ...
 
Hujui mpira grealish ni most expensive transfer?

Unajua united alitumia shi ngapi kumsaini Pogba ?

Unajua lukaku alitua Chelsea Kwa shi ngapi


UEFA na epl walishaona ni upuuzi mtupu man city hakuna pesa anayotumia ...

ila ni kelele za kijinga tu za haters ambao hawajitambui ...
Soma tena nadhani shule ulikimbia Mimi sio kosa langu soma mabano.

Pogba ni muingereza? Elimu
 
Hujui mpira grealish ni most expensive transfer?

Unajua united alitumia shi ngapi kumsaini Pogba ?

Unajua lukaku alitua Chelsea Kwa shi ngapi


UEFA na epl walishaona ni upuuzi mtupu man city hakuna pesa anayotumia ...

ila ni kelele za kijinga tu za haters ambao hawajitambui ...
Enzo ndio most expensive
 
Hujui kitu mtu unaambiwa mfungaji bora muda wote Tanzania unaanza kusema mayele umemuachia wapi?

Uzuri nakujua ulivyo andazi nimekushinda mpaka dhambi

Kasome shule ukuze ubongo Tanzania hakuna shabiki wa city labda umezaliwa 2012
Mkuu kabla hatujajubishana napenda kujua umri wako kwanza ..

Nisije kuwa najibishana na umri wa kina eddo kumwembe ,raisi wa arsenal ,yes anafaa kuwa raisi Kwa sababu anamiaka 46 maana yake kipindi cha 2003/2004 alikuwa na miaka 26 kipind arsenal anachukua invincible epl ...

Hiyo miaka 26 ndio ninayo mim saizi ,,miaka 10 mbele nitakuwa raisi wa man city hapa Tanzania ,kama kina eddo walivo maraisi wa arsenal ,najua wametoka mbali sana ,no dought ...

Wewe unashindana na nyakati ,wala sikushangai ,kama ulivokuwa unashabikia timu zako miaka ya 2000 the same here we celebrate our team Manchester city ....

Kwa hiyo wewe Babu tulia ,Lea watoto vzuri hukulazimishwa kuzaliwa miaka ya 80 huko
 
Shida man city wanapika vitabu ndo maana wanakabiliwa na kesi 115, hakuna mtu mjinga anaweza kuamini haaland alisajiliwa kwa £52M
Kabla hujasema man city anapika vitabu ,vip kuhusu Dortmund,Kwa hiyo Dortmund na yeye kakubali kuingia kwenye list ....

Haaland mnafikilia labda ni bahati mbaya kuja city ,....baba yake haaland ni man city damu damu , haaland Toka mdogo kakulia kwenye viunga vya Etihad ,baba yake haaland mji wa Manchester anajua vzuri haaland kakulia pale ...

Kama unavoona mtoto wa foden anavojivaragua dressing room ,uwanjan ,kila Kona baba yake alipo na yeye yupo ndivo hivo haaland alivokuwa ,usije kufikilia mtoto wa foden akiwa star kwenye mpira Kuna nguvu itatumika kumshawishi kuichezea city ...

Kumwambia haaland kucheza aman city ni sawa na kumwambia " oyaa mwanangu turudi zetu nyumbani " ...

So ilikuwa very simple ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom