Habari zenu wana jf.
Ninaomba msaada wapi naweza kupata fundi mzuri wa kurekebisha laptop yangu.
Hii laptop nimeletewa kutoka nje ni lenovo B570e nimeitumia kama week mbili hivi ila hivi sasa baadhi ya button hazifanyi kazi.
Nimeuliza kuna jamaa ananiambia inabidi nibadilishe key board...
Habari wakuu. Sisi tuliopata vyuo wengine tuliomba transfer na tayari profile zetu zimeonesha kwamba tayari tumeshahamishwa.
Nimekwenda kuripoti chuo kipya nilichopangiwa naambiwa jina halipo hivyo wanasubir tcu watume majina. Wiki ya pili sasa inakatika hayo majina hayajafika chuo mbaya zaidi...
Kwa mujibu wa nacte wenyewe form zitakua hewani katika website yao kuanzia kesho. Malipo ya elfu 30 yanahusika. Deadine yao sijui itakua lini zaidi ya yote juzi ijumaa walisema selections bado inaendelea so wasiopata vyuo wasiwe na hofu. Hawa ndio nacte aiseeeeee.........
Katika hali isiyoeleweka mpaka sasa mishahara haijatoka. hususani kwa kada ya ualimu kwa manispaa zote tatu hapa Dar Es Salaam na kwa hili nadhani hata mikoani hali ni hii hii.
Hii serikali mbona haieleweki iweje mishahara isitoke na hakuna maelezo yoyote, wahusika wapo kimya.
Wakuu.
Mm ni mtumishi wa umma idara ya elimu. Mpaka leo tar 31 mishahara haijaingia bank.
Inasemekana hela za mishahara wamelipwa watu wa Sensa mana waligoma na serikali haikua na hela.
Hivi hii haki kweli? Kwa nini serikali imeshindwa kulipa mishahara wakati muafaka? iweje mishahara ya...
Wana Jf.
Katika kuonesha kwamba walimu tumechoshwa na kupuuzwa na serikali sasa tumeamua kutumia Silaha ya mwisho ili matokeo yake iwe funzo kwa serikali hii dhaifu kama msg inavyosomeka hapa chini.
Ndugu mwalimu: Katika somo au masomo yako hakikisha humwandai mwanafunzi kupata A,B,C wala...
Habari zenu wakuu!
Nipo maeneo ya Manispaa Ilala varangati kubwa linaendelea walimu wapya wanadai mishahara yao.
Kama inavyozoeleka serikali hii ovu ya CCM mwaka huu imeamua kuwadhulumu kabisa walimu hawa mishahara yao ya mwezi wa pili.
Tayari walimu wameshaonana na afisa utumishi na majibu...
Wakuu nimepata taarifa zisizo rasmi kwamba huu ndio wakati wa zile hela za walimu za kujikimu ,nauli na hela za mizigo kuchakachuliwa.
Ushauri wangu kwenu walimu wapya ni kuwa makini na kutafuta waraka wa serikali kwenda kwa wakurugenzi hao unao onyesha malipo mnayostahili kupata kila...
Kwako Eng. Nsiande.
Pole na kazi.
Binafsi napenda uniweke sawa jambo hili linalonitatiza.
Ni muda mrefu sasa wananchi wa sehemu mbali mbali wanalalamika kwa mgao wa umeme.
Wakazi wa Mwanza na Arusha wamekua wakilalamika sana kuwa wanapewa mgao mkali zaidi kwa kuwa tu wanaongozwa na wabunge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.