Wakati wananchi wakiendelea kuwaita wabunge "waheshimiwa"baadhi yao wameendelea kuhoji ni kwa nini wanaiitwa waheshimiwa ukizingatia kwamba wanawakilisha wananchi,hivi hilo neno linaashiria hofu au heshima?mbona wakati wa kampeni wanajishusha sana,hata rais huwa anatumia neno mbunge anayegombea...
Sekta ya afya ni asilimia 8 mwaka huu ikilinganishwa na mwaka jana ambapo ilikuwa ni asilimia 11,ifikapo 2015 Tanzania inatakiwa kufikisha asilimia15 ili itimize azimio la abuja na nashindwa kuelewa kama kiasi cha fedha kilichotengwa kinaweza kuleta ufanisi na maendeleo wa afya ya mama na...
Wanawake walio wengi nchini hali yao kiuchumi ni mbaya ukilinganisha na mchango wao katika jamii, hali hii imechangia wanawake wachache kufikia nafasi za juu kabisa katika taaluma,siasa, na biasahara.
Na pia wamekuwa ni mfano wa kuigwa kwa wanawake wengine nchini.
Mtandao wa kijinsia tanzania (TGNP)unaandaa semina ya demokrasia na maendeleo,ardhi,nguvukazi,na maisha endelevu litakalofanyika tarehe13 hadi 16 septemba mwaka huu jijini Dar es salaam
tamasha litalenga zaidi harakati za kijamii na wanawake walioko pembezoni kuhakikisha wanapata fursa sawa za...
chapati zinazochomwa mtaani au kwenye vibanda ni bei rahisi lakini kutokana na vumbi lilokuwepo sasa hivi,ni vizuri mkatafuta hata vimeza vya kupikia au mbinu nyingine maana mnalisha watu uchafu na mkiambiwa mnakuwa wakali.
jamani sio fair wanavyowafukuza,tumechoka kuelezwa sipiyu wataifahamu lini?solution ni kujifunza kwa vitendo na ni haki yao kupata elimu bora sio bora elimu
msichana anayefanya kazi za ndani jana alifukuzwa na bosi wake baada ya kutoa siri za mke wa mtu,chanzo cha mkasa huo umesababishwa na mama mwenye nyumba ambaye anatabia ya kumdharau dada wa kazi.
baada ya kuona visa haviishi baina yake na mama mwenye nyumba ndipo alipoamua kumwambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.