Ukosefu wa ajira ni changamoto inayoikabili jamii hasa mtoto wa kike

qeentar

Member
May 20, 2011
24
1
Wanawake walio wengi nchini hali yao kiuchumi ni mbaya ukilinganisha na mchango wao katika jamii, hali hii imechangia wanawake wachache kufikia nafasi za juu kabisa katika taaluma,siasa, na biasahara.

Na pia wamekuwa ni mfano wa kuigwa kwa wanawake wengine nchini.
 
Back
Top Bottom