Mnyonge Mnyongeni, haki yake mpeni.
Mtu akijitahidi bwana sifa yake mpeni, acheni uchoyo.
Wanyonge wamesaidika maana migogoro ya ardhi inatatuliwa bila rushwa.
Pia ardhi ambayo haijaendelezwa, itarudishwa wizarani iwe landbank ya serikali.
Pia wananchi wameambiwa wajiandikishe wakapewe...
Nikiwa kama Mtanzania mzalendo, nampongeza Mh. Lukuvi katika ardhi..
Haijawahi kutokea Waziri katika Wizara ya ardhi na Makazi kama Mh. Lukuvi.
Waziri katika RADIO ONE DAKIKA 45 ameongelea makosa mengi na mbinu mbali mbali wanazotumia watendaji.
Baadhi ya maafisa ardhi wasio waaminifu na...
Travel Agent from Russia looking for Hunting safari packages
7 days Package
14 days Package
21 days Package
All inclusive
Am a Business Development Expert and Online Marketing Expert.
The Travel Agent is interested to work with Local Hunting companies with its own Hunting safari License...
naomba kujua hawa watu wenye mablog au website jinsi wanavyoweza kufaidi na Google adsense.
Kama mtu ana website yenye google PR 2, PR 3 and PR 4, je anawezaje kugenerate income through google adsense.
Sole propietaship ni nini?
Partnership ni nini?
Ltd ni nini
Je baada ya kukubaliwa Jina na BRELA, hatua gani inafuata?
MOU and Association of artcles inatakiwa katika hatua gani?
Kuandikisha kampuni ya Utalii (tour Operator) au Travel Agent ni hatua zipi?
Je kuandikisha NGO ni same process...
Nina wazo la kuanzisha NGO ya mazingira.
Nataka ifanye kazi wilaya moja, baadae mkoa mzima.
Vipi taratibu ni zipi?
Unaandikishaje kwa serikali ili kupata kibali?
Ndugu wana JF, Wasalaam!
naomba kupata ushauri kuhusu kuagiza gari Japan ama kununua mkononi kwa mtu.
-SBT Japan
-TRADECAR VIEW
-YUASA
-JAPANESE CARS
Subaru Forester 4WD Forester - Turbo
Used car made from 2003 onwards
Mileage km not more than 100,000 kms
Aina za Subaru Forester ni
XT...
Alijenga viwanda katika kila mkoa hapa Tanzania
Mwatex
Mara Milk
KOIL Mwanza
Sunguratex
ZZK MBEYA
Machine tools Moshi
Arusha General Tyre
Kilitex
EMKO Soap
Maries Biscuits
Peremende
Ongezeeni vingine wadau
Alisomesha watanzania bure kuanzia chekechea mpaka Chuo kikuu
Alikataa Rushwa kwa...
Wapi Dar es salaam naweza kupata wataalamu wa kuandika MOU & Articles of Association
Je itachukua siku ngapi mpaka kuandikisha BRELA na kupata Leseni?
Kuandika MOU & Articles of Association ni itachukua muda gani na ni Bei Gani?
Je naweza kuandika MOU na AA kwa ajili ya Kampuni moja halafu...
Last year we noticed Mount Kilimanjaro rated among 14 best finalists for New 7 new wonders though we didn't make it to New 7 wonders. We could make it more but we lack promotion, it could be state or individual promotion.
Tanzania Tourism standard is growing high how ever we need more effort to...
Ndugu wana Jf.
Salaams na heri ya Mwaka Mpya?
Jf imekuwa mwanga na ufunguo kwa watu kuwasiliana na kupeana mawazo ya maendeleo.
Kichwa cha habari hapo kinahusika. Kuna wawekezaji wanataka kuja kuwekeza kwenye kuchimba dhahabu.
Wao wana vifaa vya kisasa vya kuchimba, ambapo watavileta na...
Mimi ni Mtanzania.
Nina mawasiliano na wawekezaji kutoka Nje ya Nchi.
Wanataka kuleta modern mining equipments na pia kununua gold.
Natafuta wachimba madini wadogo wadogo au makampuni ya wazawa yanayochimba madini.
Nitawaunganisha na wawekezaji hao ili iwe win win situation. Wao walete vifaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.