Mseriandy
Member
- Mar 27, 2011
- 35
- 6
Mimi ni Mtanzania.
Nina mawasiliano na wawekezaji kutoka Nje ya Nchi.
Wanataka kuleta modern mining equipments na pia kununua gold.
Natafuta wachimba madini wadogo wadogo au makampuni ya wazawa yanayochimba madini.
Nitawaunganisha na wawekezaji hao ili iwe win win situation. Wao walete vifaa vya kisasa vya kuchimba dhahabu na pia watanunua dhahabu.
Naomba address zao na contact people.
Nina mawasiliano na wawekezaji kutoka Nje ya Nchi.
Wanataka kuleta modern mining equipments na pia kununua gold.
Natafuta wachimba madini wadogo wadogo au makampuni ya wazawa yanayochimba madini.
Nitawaunganisha na wawekezaji hao ili iwe win win situation. Wao walete vifaa vya kisasa vya kuchimba dhahabu na pia watanunua dhahabu.
Naomba address zao na contact people.