Wiki iliyopita nilikuwa nafuatalia mjadala wa mswada wa uundwaji wa katiba mpya ya amuhuri ya muungano wa Tanzania, uliojadiliwa bungeni kwa zaidi ya vikao vitatu mfululizo. Baada ya upinzani hasa peeeples na NCCR kuona ni usanii na kuamua kuususia mjadala wabunge wa chama kile pamoja na...
siku chache zilizopita waziri mkuu alisikika akiongelea suala la kupanda bei kwa sukari na mazao mengine kama mchele, mahindi na maharage kuwa sababu kubwa ni biashara ya magendo inayofanywa na wafanya biashara haramu, wanavusha biashara hii nje ya nchi. Waziri aliagiza jeshi la polisi...
Mpendwa hawa jamaa wameishiwa, ukweli ni kwamba ukiangalia umati unaowasikiliza utawahurumia. Ndo maana hata wanaogopa kuonyesha umati wa chadema. wanaonyesha sehemu ya jukwaa na mahali walipo watoto. Sina imani km ITV inapaswa kuitwa media institution
TAARIFA YA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA
Kila mwaka tarehe 16/6 watoto wote Afrika huadhimisha siku ya mtoto wa afrika ikiwa ni Sehemu ya kumbukumbu ya kuwakumbuka watoto wenzetu waliouawa kikatiri huko Soweto Afrika kusini walipokuwa wakiandamana kwa amani kupinga utawala wa kibaguzi uliokuwa...
Huu mwenge naona hauzungushwi kwa lia ya kuhamasisha maendeleo bali ni sehemu ya chama tawala kuendelea kujitafutia umaarufu kwa watu ili wawatafutie ajira zisizo rasmi. Jiulize ni mamilioni mangapi yanaenda kwenye posho na mafuta ya watembeza mwenge kama hiyo pesa ingechangishwa na kubaki ndani...
Wale alioambatana nao wawe makini make wanaweza kuumbuka kwani anaweza kuingiza sera za CCJ badala ya zile zilizopitwa na wakati za CCM, make anaonekana kutotulia kama anapeleka agenda za CDM badala ya kuwaambia wananchi ilani na mwelekeo wa chama chake.
kwa wale waliofuatilia mchakato wa cha chama chao wa kujivua gamba na kuzaliwa upya ulioambatana na vikao muhimu viwili yaani CC na NEC ambapo tulishuhudia secretariet ya chama chao iliamua kujuuzulu.
Wakati katibu mkuu wa chama hicho bwana yusufu makamba alipokubali kuachia ngoma hiyo ambayo...
Pamoja na kuwepo watu kiduchu waliohudhuria mkutano wa waziri mkuu uliofanyika wiki iliyopita kwenye viwanja vya uhuru platform mjini Bukoba, maarufu kama mayunga, Bwana pinda alishindwa kutoa tamko la serikali kuhusu bei halisi ya sukari. Wananchi wakiwa wapweke na kuonekana kama wako sehemu ya...
Big Up Man, man bado tuko pamoja nawewe. Tunamiss mavitus yako majukwaani ndo maana tunakuandikia umuhimu wa kuwepo kwako majukwaani. We hope your mother will improve soon. Tuko pamoja na wewe na majibu yako yanatia matumaini kuwa tuko pamoja
Uguza pole kamanda kamanda. we expect much from you. lakini mama akipona basi tuunge mkono kwenye ziara zijazo ili ufute rumous ya kuwa wewe ni kibaraka wa chama cha wenyewe. any we still have trust in you man keep it up. peeeeeeeepleeeeeeeeeeees
Baada ya watanzania kuelekea kukombolewa na CHADEMA basi wapambe na wapambanaji wenye tambala jeusi machoni, wameanza kusema eti CHADEMA inataka kuleta vita na kuvunji amani. Kuna kosa gani wananchi kujua vitendo viovu na ukandamizaji hasa kwa wanyonge unaofanywa na serikali ikiwemo kupanda kwa...
Hakika saa ya ukombozi ni sasa. Aliyekuwepo jana uwanja wa uhuru ameona kuwa sasa kilichobaki ni kuanza kuchimba kaburi na kukizika chanma cha majambazi. peeeeeeeeeeeeeeeepleeeeeeeeeeeeeeeeees?
Nisikuite bwana mdogo make sijui umri wako, lakini ni kuite bwana mdogo kwa sababu inaonekana ubongo wako bado ni mchanga wa fikra. kunmbuka jamii forum ni mtandao wa ma interigensia.
Kabla ya kuweka wazo lako hili kwenye mtandao ungejiuliza logic ya kikwete kuingia kwenye kikao cha CC...
mzee mi naona hapa la kufanya ni kusaport bunge kwa kuandamana wakati hoja bungeni ikiendelea ili kuweza kulipa suala hili uzito, vinginevyo itakuwa kama Richimond tusipoonyesha hisia kwa vitendo. watanzania tuamke jamani tuwape moyo watetezi wetu
Kwa habari zisizo rasmi sana ni kwamba waliambiwa kuwa ajira zinaanza kutoka mwezi wa pili lakini aliye fail atapewa muda kusafisha cheti ila ajira atapata. Na kwa kuthitisha nina mdogo wangu aliyekuwa kwenye mkumbo huo ameitwa kuriport tarehe 1, February wilaya ya kwimba mkoa wa mwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.