KUDADADEKI!!! Ukisikia "wakijifanya bishoo we kuwa bisho zaidi yao ndio hii sasa!"Yaani upande wa serikali unakuwa na LUKUV, NCHIMBI, MWINYI? tuna safari ndefu hawa ni hamna kitu kabisa
na wewe ni chadema ama kweli akina shibunda wako wengi......Chadema aka CCM- C hatuwataki tena mnatuyumbisha wanachama mara hatumtambui Kikwete na serikali yake mara mnamtambua huo ni uroho wa madaraka Big up Slaa and Zito kwa kutokwenda IKULU. Mkiendelea hivyo tunawapiga chini tunaungana na Jembe letu Lowasa ambalo linakuja kwa kasi na kukubalika na Rai wa Bongo waliochoshwa na utawala wa JK na Maandamano ya CDM. Lowasa jipanga kamanda CDM wanaanguka na wewe utakuwa kimbilio la watanzania tuko pamoja nawe kwa niaba ya UVCCM na BAVICHA
Chadema aka CCM- C hatuwataki tena mnatuyumbisha wanachama mara hatumtambui Kikwete na serikali yake mara mnamtambua huo ni uroho wa madaraka Big up Slaa and Zito kwa kutokwenda IKULU. Mkiendelea hivyo tunawapiga chini tunaungana na Jembe letu Lowasa ambalo linakuja kwa kasi na kukubalika na Rai wa Bongo waliochoshwa na utawala wa JK na Maandamano ya CDM. Lowasa jipanga kamanda CDM wanaanguka na wewe utakuwa kimbilio la watanzania tuko pamoja nawe kwa niaba ya UVCCM na BAVICHA
Najua kuna wanaotamani vita kwanza na wanadhani CHADEMA ndio kimbilio lao kwamba watasababisha vurugu,
Sidhani, ila mjue busara zinapotawala huwa jambo jema pia, ila inaposhindikana ndio itabidi kuingia barabarani,
Kitu ambacho nawapendea hiki chama kipya cha CHADEMA nikuwa wako all weather,
barabarani, ofisini, kote wamejipanga, in amaana kuwa wako kwa malengo zaidi,
hivyo si rahisi kuyumbishwa
Wanaosema angeluwapo fulani au fulani, ni kweli, ila tukumbuke kuwa hiki ni chama kikubwa kina watu wengi tu, wazuri, wengi wao hopefully wako commited kwa maendeleo ya mtanzania/ mtanganyika included.
hivyo wasingeweza kwenda wote.
Mie binafsi nimependa uwakilishi wao,
nina imani hata kama watashindwa kwa hili, lakini ujumbe utakuwa umefika kwa namna bora sana.
bila mapambo ya magazeti au michujo ya TV na bias za wanasiasa wake.
Kuanzia hapa hatuwezi kusema rAIS ANADANGANYWA NA WAPAMBEWAKE
Labda alikuwa anahakikisha kale ka sumu kanamfikia mlengwa (utani) hata mie nimeipenda huyu rais hana makuu na ndio maana watu walitegemea mazuri toka kwake lakini cha ajabu imekuwa kinyeme sababu anaijua yeye vizuri kuliko mtu mwingine ni kwa nini hakukidhi matarajio ya watanzania wengi alipochaguliwa 2005nimefurahishwa na picha ya pili kutoka mwisho, kikwete alipogeuka kuwa muhudumu pale alipokuwa anampa juice kamanda mbowe.
sasa chadema kutafuta suluhisho na serikali ni ushujaa ila kwa CUF ilikuwa ni uccm B kwa kweli nyani haoni kundule
Nina maswali mawili kwa sasa.
1. Dr Slaa alitajwa kama mjumbe, mbona hakuwepo hapo?
2. Wananchi tunaweza kupata copy ya hayo makarabasha Chadema waliyompa rais ili tujue wanadai nini hasa?
Pamoja na uhuru wa kutoa mawazo,kama unaona kiwango chako ni cha chini (ufinyu wa mawazo) ni bora kutafuta makundi yenye akili size yako kisha ukabwabwaja upendavyo. Huku kwa great thinkers ingia kusoma mijadala tu ili kupanua uwezo wako wa fikra. Kukaa kimya katika jambo usilolielwa nayo ni HEKIMA>Chadema aka CCM- C hatuwataki tena mnatuyumbisha wanachama mara hatumtambui Kikwete na serikali yake mara mnamtambua huo ni uroho wa madaraka Big up Slaa and Zito kwa kutokwenda IKULU. Mkiendelea hivyo tunawapiga chini tunaungana na Jembe letu Lowasa ambalo linakuja kwa kasi na kukubalika na Rai wa Bongo waliochoshwa na utawala wa JK na Maandamano ya CDM. Lowasa jipanga kamanda CDM wanaanguka na wewe utakuwa kimbilio la watanzania tuko pamoja nawe kwa niaba ya UVCCM na BAVICHA