Pamoja na salamu kwa wana JF wote !
Naomba kama kuna mtu anafahamu dawa ya kutibu au kutuliza "FLATULENCE".
Kuna jamaa alinipa e-mail ya mtu mmoja ambae inasemekana anauza vitabu ambavyo vinaelekeza tiba ya hilo tatizo
nimejaribu kuwasiliana nae haonyeshi kutoa ushirikiano ( hanijibu), e-mail...
Wana JF,
Naomba mnisaidie kunijulisha jinsi gani nitapata matokeo ya kidato cha pili mwaka 2011, nasikia yametoka najitahidi kutafuta
ili niangalie matokeo ya mtoto wangu bado sijafanikiwa.
Kama kuna yeyote mwenye kujuwa yanapatikana kwenye web site ipi naomba anijulishe.
Natanguliza shukurani.
Habari zenu wana JF,
Hivi karibuni nilimshitaki mtu kwa kosa la kuiba mali niliyomkabidhi kuiuza dukani kwangu.
Baada ya kesi kuisha mahakama / Hakimu alimuhukumu mtuhumiwa kutumikia kifungo cha mwaka mmoja
nje ya gereza pamoja na kulipa pesa anazodaiwa kwa kulipia mahakamani kiasi...
Habari zenu wana JF.
Naomba mnisaidie.
Mimi nina mdogo wangu wa kike ambae anasoma kidato cha tatu, ameyakimbilia maisha hivyo amepata ujauzito.
Aliyempa ujauzito alipoona hali imekuwa ngumu kwake akamshawishi yule msichana wakaitoa ile mimba,
kwa bahati mbaya zilijitokeza 'complications' ikiwa...
Habari zenu wana JF.
Rafiki yangu anatuhumiwa katika kesi, jana baada ya kufika mahakamani na kusikilizwa kesi yake
kwa mlalamikaji kuleta shahidi Hakimu wakati anaahirisha kesi alimwambia mtuhumiwa siku
inayofuata atakapokwenda awakilishe UTETEZI WAKE, je ina maana gan ?.
Naomba msaada, kila ninapopanda katika basi au kukaa pamoja na watu zaidi ya watatu nahisi kubanwa
na haja kubwa(stool).
Nikienda chooni kakitoki kitu na nikiwa katika usafiri baada ya kushuka hali hiyo huwa inapotea. Nimekwenda hospitali hali hii hawaifahamu wananipa dawa za kuharisha tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.