Search results

  1. Mnyampaa

    Kitabu Kipya: Practical geography for East Africa

    Wanafunzi na walimu wa GEOGRAPHY (A - level) Jipatieni kitabu kipya cha Practical Geography kilichosheheni topics zote za Practical Geography: Statistics, Research, Chain, Compass, Plain Table Surveying na Levelling; Map Reading na Photograph Interpretation. Kitabu kimeandaliwa na Mtaalam wa...
  2. Mnyampaa

    Kwa wale wa geography: Jipatie kitabu kipya practical geography for east africa

    Wanafunzi na walimu wa GEOGRAPHY (A & O level) Jiwezeshe katika somo kwa kitabu kipya cha Practical Geography kilichosheheni topics zote za Practical Geography: Statistics, Research, Chain, Compass, Plain Table Surveying na Levelling; Map Reading na Photograph Interpretation. Kitabu kimeandaliwa...
  3. Mnyampaa

    Hili likikutokea ufanye nini?

    Huu ni mkasa wa kweli umemtokea ndugu yangu Nilikutana na binti mmoja ambaye alikuwa akiishi kwa shemeji yake (mume wa dada yake) ambaye alikuwa rafiki yangu wa karibu sana. Nikampenda sana binti huyu na tukawa na uhusiano wa karibu kwa muda mrefu. Baada ya kuona tabia njema ya binti huyu...
  4. Mnyampaa

    Wanaharakati wa tanzania ni hatari kwa usalama wa nchi

    Kutokana na mchango wao katika kushawishi na kushabikia mgomo wa madaktari na kuushawishi umma kuamini kuwa vurugu na migomo ndio njia pekee ya kudai maslahi nadiriki kusema kundi hili la jamii ni hatari kama vikundi vya kigaidi. Nielewavyo mimi vikundi hivi vinapaswa kuishia kutoa elimu na...
  5. Mnyampaa

    Nyalandu amhujumu Kagasheki

    Linasomeka gazeti la Jamhuri katika kichwa chake cha habari Juni26, 2012, likufuatia kichwa cha habari kinachofanana na toleo lililopita. Hivi Kuna ukweli juu ya hili au ni fitna za kisiasa kwani maelezo ya ndani ya habari hii hayaonyeshi wazi juu ya usaliti huu isipokuwa sakata la TANAPA na...
  6. Mnyampaa

    Kama wewe mchaga usifungue sred hii

    Story hii ni joke ya ukweli. Mchaga walikuwa wakipiga story za mademu na msambaa. Ikaenda hivi: Msambaa: We mangi skiza, jana nlikuwa na demu angu si nkampiga denda mpaka akalegea afu nkashikashika nyeti zake mpaka akakojoa aisee... Mchaga: Aise Mgosi we ni **** kweli... Unapeleka mkono huko...
  7. Mnyampaa

    Kauli hizi za viongozi wetu vipi?

    Kwa kawaida kiongozi akitoa kauli au tamko jamii inafahamu kuwa anamaanisha. Hii ni kutokana na imani yetu kwamba kiongozi anapozungumza anakuwa well informed na kauli yake inatokana na taarifa sahihi. Kwa utafiti mdogo nilioufanya unaonyesha kuwa kwa Tanzania suala hili ni kinyume chake kwa...
  8. Mnyampaa

    Vyombo vyetu vya habari ni hatari kwa amani yetu!

    Ndugu wana JF, Ni falsafa yangu inanituma kuamini kuwa ipo siku hali ya UTULIVU katika nchi hii itakwisha kutokana na dalili ninazoziona na mwisho AMANI tuliyonayo kutoweka. Kwa mtazamo wangu hali hii yaweza kutokea kutokana na mchango mkubwa wa vyombo vya habari katika kushabikia FUJO...
  9. Mnyampaa

    Mwanamke na tohara, mwanaume je?

    Mwanamke hufanyiwa tohara kwa ajili ya kupunguza hamu ya kufanya tendo la ndoa, kwa wanaume hufanyiwa tohara kwa ajili ya nini?
  10. Mnyampaa

    Angalia hii

    Kila ninaposafiri kwenda mikoani nakutana na hali hii ya uharibifu wa uoto wa asili katika maeneo mbalimbali. Kwanini hali hii inaendelea kutokea katika kipindi hiki ambapo kampeni za utunzaji mazingira zinafanyika kila kona ya nchi.
  11. Mnyampaa

    Wabunge kulipa ada

    Wana JF nifungueni katika hili. Wabunge kulipia ada wanafunzi ni PUBLIC RESPONSIBILITY ya mbunge au ni RUSHWA kwa wapiga kura. Ninaelewa kuna mfuko wa kusomesha wasiojiweza katika Halmashauri ingawa sifahamu unavyoendeshwa. Kwa hili naona lina utata. Kama ni sehemu ya wajibu, na wazazi wafanye nini?
  12. Mnyampaa

    Ndiye ajaye

    Walio wake watampokea bali wasio wake watamkimbia!!!!
Back
Top Bottom