Angalia hii

Mnyampaa

JF-Expert Member
Jan 17, 2011
244
58
asset.php
asset.php


Kila ninaposafiri kwenda mikoani nakutana na hali hii ya uharibifu wa uoto wa asili katika maeneo mbalimbali. Kwanini hali hii inaendelea kutokea katika kipindi hiki ambapo kampeni za utunzaji mazingira zinafanyika kila kona ya nchi.
 
Back
Top Bottom