Kila ninaposafiri kwenda mikoani nakutana na hali hii ya uharibifu wa uoto wa asili katika maeneo mbalimbali. Kwanini hali hii inaendelea kutokea katika kipindi hiki ambapo kampeni za utunzaji mazingira zinafanyika kila kona ya nchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.