Kiukweli inakera sana kuona watu wanacheza sebene na miziki ya ovyo na wachungaji wanaona huu ni ujinga mkubwa sana na wao pia wanaangalia tu sadaka zao ila maadili hawafundushi mm wananikera viongozi wa dini
Nyie watanzania wote mnaempinga makonda ni manyumbu watupu na mangadu kabisa hamnazo yaani nchi imeliwa na wapuuzi wachache bado mtu anawawajibisha mnamkosoa kumbe hili ni taifa la watu wpumbavu watupu amna shukrani kabisa mungu, makonda piga kazi wanyooshe tu
Mtoa Mada umejikanyaga Kwanzaa Mimi mwenyewe nishawai kutumia Dawa ya meno ambayo alinitengenezea ndodi na sijawai umwa jino tena Ila tuwatanzania wengi ni wavivu wa kufikiria na kufatilia ikiwemo kutozingatia masharti
Ivi ni nani mwenye kosa mendaji au mtendewa Kwa maana mtendewa tmeona alichofanyiwa na kama ilikuwa ni mhalifu he ni kwann apigwe na MTU mmoja badala ya wananchi wote? Kosa analo alomtoa macho uyu jamaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.