Aliyetolewa macho yawezekana yeye ndiye mkosaji

Scorpion atafutiwe wakili mzuri. Wale wanaoamini scorpion alikuwa sahihi wahamasishane wachangishe ili hela ipatikane atafutwe wakili wa kumtetea. Nahisi mtobolewa macho ni kiongozi wa wezi maana fikiria kuna mzungu alikufa baada ya kuibiwa mkoba na wezi kama mtobolewa macho. Na inauma sana wewe kama ulishaibiwa maana vibaka wa dar wanakera.
Tatizo fikra mnawaza utumbo SAA zote
 
Mtolewa Macho Kama Serikali Ikipitisha Kura Ya Siri Makonda Lazima Ataumbuka, Jamaa Inasemekana Alikuwa Kiongozi Mkuu Wa Vibaka Na Waporaji Huko Bonde La Mto Msimbazi/Vingunguti Na Tabata
Halafu alikuwa botherman wa ukweee
 
7.inasemekana jamaa alitibiwa bila PF3, je hiyo imekaaje?

8.kama huyo scorpion wanasema jamaa ni mtoa macho mzoeefu mbna mpaka sasa hakuna wengne waliojitokeza kuwa walifanyiwa hivo

Sipati picha aibu watakaoipata walomtetea jamaa usiku na mchana siku watakapoambiwa jamaa ndo mkosaji,na mheshimiwa wetu wa faster faster sijui atatoka na gia gani katika hiyo aibu!!!,tusiwe wepesi kuhukumu jaman
Huu ni mchezo kama mwl fenk msigwa,kila tutafika tu mwisho ya izi sanaa, na media itabaki kwa kutoa taarifa tu
 
Mkuu,

Nadhani hujaelewa uzi nachelea kusema umekurupuka. Hakuna anae halalisha unyama na huenda ni USHETANI wa Bwana Scorpion lakini Dhima ya Uzi ni kufahamu jeeeee, huenda Bwana said ndie alieamsha hasira za Bw Scorpion.

Wanasema in any action there is reaction sasa ukila ujue utaenda chooni.
Sasa sijui nani anakurupuka hapa kati ya mimi na wewe...
 
Kwahiyo kama ndio hivyo sheria inaruhusu atolewe macho?
Si bure mleta uzi na nyie mnaosapot mtakuwa mnapigwa miti na scorpion......kwanini huyo scorpion hakwenda kushtak akamtoboa mwenzie macho shenzzzzz
 
SCORPION afutiwa shitaka la unyang’anyi: Mahakama ya Wilaya ya Ilala leo imemfutia shtaka la unyang’anyi kwa kutumia silaha linalomkabili mshtakiwa Salumu Njwete ‘Scorpion’ baada ya upande wa mashtaka kuomba shtaka hilo liondolewe mahakamani kwa sababu hawana nia ya kuendelea na kesi hiyo. Hata hivyo kuna taarifa huenda akabadilishiwa mashtaka na hadi sasa bado yuko rumande.[HASHTAG]#MwananchiLeo[/HASHTAG]
jamaa wanaelekea kuumbuka kwa kukukia wasiyoyajua...akna mh wa faster faster
 
7.inasemekana jamaa alitibiwa bila PF3, je hiyo imekaaje?

8.kama huyo scorpion wanasema jamaa ni mtoa macho mzoeefu mbna mpaka sasa hakuna wengne waliojitokeza kuwa walifanyiwa hivo

Sipati picha aibu watakaoipata walomtetea jamaa usiku na mchana siku watakapoambiwa jamaa ndo mkosaji,na mheshimiwa wetu wa faster faster sijui atatoka na gia gani katika hiyo aibu!!!,tusiwe wepesi kuhukumu jaman
Unapo amua ku changia jambo kwanza lielewe,huyo jamaa alie tolewa macho alipigwa visu na baada ya kutolewa macho,alipoteza fahamu na alipo zinduka alikuwa ameshapelekwa buguruni polisi kwa ajili ya kufungua mashitaka na kupata pf3 na hilo swala la kusema alimjuaje huyo mtu kuwa anaitwa scorpion ni kwamba watu wa Samaria wema pale buguruni ndio waliosema na kumtaja huyo scorpion, na kwa taarifa yako scorpion ana kesi kibao za unyang'anyi lkn polisi walikuwa hawamshiki tu kwa sababu zao wenyewe,na kujua kuwa scorpion ni fedhuli,Dada Gea Habibu alikwenda buguruni na kuwahoji vijana tofauti na walisema na kudhibitisha jamaa ndio maisha yake,akikuona na akaisi una viela atakunyang'anya tena bila mtu yeyote kutia neno,sasa msilete stori za kutetea majizi.
 
1476866483840.jpg
Hayawi hayawi Leo yamekuwa...kesi kushnei
 
Mkuu,

Nadhani hujaelewa uzi nachelea kusema umekurupuka. Hakuna anae halalisha unyama na huenda ni USHETANI wa Bwana Scorpion lakini Dhima ya Uzi ni kufahamu jeeeee, huenda Bwana said ndie alieamsha hasira za Bw Scorpion.

Wanasema in any action there is reaction sasa ukila ujue utaenda chooni.
Na kama bwana Saidi aliamsha hasira za scorpion ina maana scorpion alihizinishwa atoboe macho watu kwa kushindwa kuhimili hasira yake inamaana sisi wengine atuna hasira tuanze na wewe umepata hasira Mara ngapi na umefanya madhara ya hasira zako Mara ngapi .scorpion ni mkatili na mtemi wa kitaa
 
Unapo amua ku changia jambo kwanza lielewe,huyo jamaa alie tolewa macho alipigwa visu na baada ya kutolewa macho,alipoteza fahamu na alipo zinduka alikuwa ameshapelekwa buguruni polisi kwa ajili ya kufungua mashitaka na kupata pf3 na hilo swala la kusema alimjuaje huyo mtu kuwa anaitwa scorpion ni kwamba watu wa Samaria wema pale buguruni ndio waliosema na kumtaja huyo scorpion, na kwa taarifa yako scorpion ana kesi kibao za unyang'anyi lkn polisi walikuwa hawamshiki tu kwa sababu zao wenyewe,na kujua kuwa scorpion ni fedhuli,Dada Gea Habibu alikwenda buguruni na kuwahoji vijana tofauti na walisema na kudhibitisha jamaa ndio maisha yake,akikuona na akaisi una viela atakunyang'anya tena bila mtu yeyote kutia neno,sasa msilete stori za kutetea majizi.
wakimsimamisha mahakamani kwa ushahidi huo lazima ashinde kesi?? ,mambo ya kusema kuwa aliambiwa na wasamalia wema kuwa huyo ni scorpion ndio aliyekufanyia hivyo naona sio sahihi sana je ikiwa waliye mtajia walikuwa na uhasama na scorpion??
 
SCORPION afutiwa shitaka la unyang’anyi: Mahakama ya Wilaya ya Ilala leo imemfutia shtaka la unyang’anyi kwa kutumia silaha linalomkabili mshtakiwa Salumu Njwete ‘Scorpion’ baada ya upande wa mashtaka kuomba shtaka hilo liondolewe mahakamani kwa sababu hawana nia ya kuendelea na kesi hiyo. Hata hivyo kuna taarifa huenda akabadilishiwa mashtaka na hadi sasa bado yuko rumande.[HASHTAG]#MwananchiLeo[/HASHTAG]
jamaa wanaelekea kuumbuka kwa kukukia wasiyoyajua...akna mh wa faster faster
inaweza ikawa mbaya zaidi kwake?? hili hata sio jambo jema upande mwingine ww unaweza ukaona jamaa anapata nafuu kumbe ni bora akabaki na hili shtaka lilikuwa nafuu kwake kuliko hilo atakalofunguliwa nalo sasa hivi?? unaweza ukaona anafunguliwa kesi ya mada
 
Stories zenu hakuna anayetaka ...

Kama Jamaa ni mkosaji hatutaki pia kujua

Tunachojua hapa ni KUMJERUI vibaya kiasi cha kutaka kumtoa roho..

sheria INA ruhusu kila Mtu kutuhumiwa na kutuhumu .

Nikushauri mtoa Uzi ukasaidie Polisi umtetee SCORPION hatuwezi jua maslah yake kwako huku hakuna mahakama ..kapande Mahakamni plz

Inakuuma sana mtu kushtakiwa kwa kumtoa macho mwenzio ila haikuumi mwenzako kutolewa macho

Ndo watanzania mliobaki ..mnajitia ujuaji tu ..Kasimame mahakamani utete hili ..inawezekana UKAMTOA SCORPION
Mkuu ukisikia ujinga,upuuz na upumbav kiwango cha LAMI ndo huo!!!.
 
Hata Kama alikuwa mwenye makosa ila adhabu ya kumtoa mwenzie macho Hapana kabisa
 
Mh . Mwigulu Nchemba atume vijana wake walichunguze kwa kina hili swala. Scorpion ashitakiwe kwa makosa yake lakini kama Said nae alikuwa jambazi basi naye ashitakiwe kwa maovu yake
 
Back
Top Bottom