Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,278
- 4,683
7.inasemekana jamaa alitibiwa bila PF3, je hiyo imekaaje?
8.kama huyo scorpion wanasema jamaa ni mtoa macho mzoeefu mbna mpaka sasa hakuna wengne waliojitokeza kuwa walifanyiwa hivo
Sipati picha aibu watakaoipata walomtetea jamaa usiku na mchana siku watakapoambiwa jamaa ndo mkosaji,na mheshimiwa wetu wa faster faster sijui atatoka na gia gani katika hiyo aibu!!!,tusiwe wepesi kuhukumu jaman
Ni ajabu sana hukumu imeshatolewa wakati upepelezi unaendelea. Radios zetu na social media zinajua sana kuhukumu.