Nataka kufuga kuku wa kisasa wa nyama wakati huo nafuga kuku wa kienyeji, je inawezekana?, hakuna magonjwa ya kuambukizana, wazoefu na wataalam naomba mwongozo
Hapa kazi tu, mh. Rais ktk kampeini za uchaguzi alihaidi kumaliza kero za watumishi hasa madai ya muda mrefu, naomba wizara husika na halmashauri husika zitatue kero hii.
MKUU ubarikiwe, naomba wana JF wengine mnijuze walipo mafundi nguli wa external hard disk / computer na maduka ya vifaa / spea original za external disk / computer jijini DSM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.