Kuna kipindi nilikuwa nasumbuliwa Sana na hiyo malaria kila baada ya miezi miwili au m3 inarudi, lakn badae nikatumia dawa moja ya kihindi/kienyeji inaitwa Zandu!, sasa huu ni mwaka wa 7 sijawahi umwa tena! Hivyo itafute mkuu..pia waliowahi kuitumia maoni yenu kuihusu, au waliowahi kuisikia...
SHUKRANI, kuna dawa nyingine ya maleria ya mitishamba zaidi ya /mbadala ya ZANDU?
Wana JF, nasumbuliwa na maleria ya mara kwa mara, nina 95 kgs, natumia artmether inj. au quinine inj.3 namalizia ALU
Wana JF, nashukuru, sina typhoid wala UTI, maleria ikipona badaada ya mwezi naumwa tena, wataalam nisaidie
Dawa ya asili ya maleria ya ZANDU inapatikana eneo la posta kariakoo ktk duka la dawa za kisuna la Abdulswamad.
Zandu ni dawa nzuri ya maleria, dsm fika kariakoo posta uliza duka la dawa za kisuna la Abdulswamad,
Duu...!!!
Kuna Dawa Inaitwa Mshana Ni Ya Wahaya Ile Hta Pata Marelia Tna
Mimi ninayo Dawa ya kukutibu malaria ikaondoka kabisa mwilini mwako ukihitaji nitafute kwa kubonyeza hapa.MawasilianoWana JF, nasumbuliwa na maleria ya mara kwa mara, nina 95 kgs, natumia artmether inj. au quinine inj.3 namalizia ALU
Mkuu ulipata dawa? Naomba mrejesho malaria inanizinguaWana JF, nasumbuliwa na maleria ya mara kwa mara, nina 95 kgs, natumia artmether inj. au quinine inj.3 namalizia ALU
Ndugu kuna dawa moja kiboko hii ni vitunguu swaumu. Fanya hv. Uwe unatafuna au hata kumeza bila kutafuna vipeche viwili vya kitunguu swaume kutwa mara tatu kwa siku 10. Yaani asbh2 mchana 2 na jioni2 fanya hivyo kwa siku 10. Hapo nenda kapime uone kama unakuta mdudu wa malaria.Wana JF, nasumbuliwa na maleria ya mara kwa mara, nina 95 kgs, natumia artmether inj. au quinine inj.3 namalizia ALU