Status
Not open for further replies.
This is the contention issue! sio ajira za serikalini.wachangiaji.wamepewa elimu ya kuajiriwa serikalini.ili wakazembee na kupiga hela na job security ya maisha! wakibadilisha kazi zikiwa za contract hutasikia hizi.kelele! serikali.ilisema inataka kukusanya.kodi sio kutoa huduma! jiongezeni WATANZANIA.

Inawezekana hilo lakini pia Corporate world ya kibabaishaji
mishahara kidoogo mno....uhuni mwiingi...ni kama unyonyaji
ndo maana serikalini inakuwa kimbilio
huwezi sema wafanyakazi wa kampuni kama voda na airtel ni wazembe
lakini wanacholipwa ni duni ...ndio maana hata wao wanakimbilia seikalini

serikalini imekuwa kazi ya kuonewa wivu
nchi zingine serikalini wanaenda failures na wale ambao sio smart enough ku join corporate...
 
Jipu la kuajiri kwa kigezo cha dini na kabila Lipo sana kwenye baadhi ya taasisi za serikali,ukienda TRA 80% ni kutoka kule na ukienda NSSF 90% ni dini Ile.

Mtoa mada ametaja na Benki, bila shaka ni CRDB, hii sio ukabila tu hata udini umo!
 
Kama kuna MTU alishawahi kukukosa ajira akaambiwa Na hiyo mwajiri sababu ya kukosa ni kuwa Ukabila Fulani au Dini Fulani akathibitishe. Mnakosa sifa za kuajiriwa mnasingizia Dini Na Ukabila.Kwa hiyo ukiwa Ukabila Fulani na sifa unazo usipewe kazi pale? Mtakufa kwa wivu na umbeya.George Bush Baba yake GBush Na Jeb Bush, ni familia moja Na wote wana sifa za kutawala USA. Sijapata kusikia mmarrkani alisema hii America si ya Bush's wanaangalia UWEZO Wa MTU. Huku bongo Ukabila Na Dini. Kwani si watanzania hao Na wanafanya kazi Tanzania! Acheni Vijiba vya roho mtakufa. Kubwa zima unamshauri Rais Utumbo.

Tumia akili dogo. Hivi kweli unaweza nyimwa kazi serikalini kisha ukaambiwa n kwa sababu ya dini au kabila lako!? Lazima utaambiwa sababu nyngne ili kuficha dhambi ya ubaguzi
 
Inawezekana hilo lakini pia Corporate world ya kibabaishaji
mishahara kidoogo mno....uhuni mwiingi...ni kama unyonyaji
ndo maana serikalini inakuwa kimbilio
huwezi sema wafanyakazi wa kampuni kama voda na airtel ni wazembe
lakini wanacholipwa ni duni ...ndio maana hata wao wanakimbilia seikalini

serikalini imekuwa kazi ya kuonewa wivu
nchi zingine serikalini wanaenda failures na wale ambao sio smart enough ku join corporate...

Tatizo ninaloliona kwa corperate ya bongo ni kuathirika sana kutokana na uzembe wa institutions za serikali.policy za serikali na institutions ni.nzuri,lakini utekelezaji wa majukumu yake umelala.ndo maana unaona mpaka mawaziri.wanalazimika kifanyakazi za watu na camera za media.Nchi inauweza wa kuweka minimum wage kwa private sector na ilishafanya hivyo.lakini utashangaa hakuna institutions supervision.angalia URAFIKI textile&EPZ wafanyakazi.wanalipwa below government minimum wage set standard.
 
ninyi wakati wenzenu wanakwenda shule mlibaki kucheza bao na kukaa vijiweni kunywa gahawa na kupiga umbea. kichwani hazipo, wakiajiriwa wenzenu mnalalamika udini, ukabila nk.. unakutana na mtoto mdogo anaijua dini kuliko hata alieianzisha lakini ukimuuliza moja na moja ni ngapi hajui, nani alaumiwe? fuatilieni historia wala hamtapata tabu kujua tatizo liko wapi, wenzetu walijenga mashule, vyuo nk wakawapeleka watoto wao kwenye hizo shule wakapata elimu, wengine wakajenga nyumba za ibaada na wenyewe wakawapeleka watoto wao huko wakapata elimu ya dini wakakosa ile elimu nyingine, uwiano wa kwenye ajira hapa hautakuwa sawa. kwenye kazi huwa wanaangalia unajua nini katika kazi na sio unamjuaje Mungu maana mwisho wa siku kinachoangaliwa ni profit na wala sio miujiza wala upako

mkishindwa kuelewa na hili you need to go back to basics
 
ninyi wakati wenzenu wanakwenda shule mlibaki kucheza bao na kukaa vijiweni kunywa gahawa na kupiga umbea. kichwani hazipo, wakiajiriwa wenzenu mnalalamika udini, ukabila nk.. unakutana na mtoto mdogo anaijua dini kuliko hata alieianzisha lakini ukimuuliza moja na moja ni ngapi hajui, nani alaumiwe? fuatilieni historia wala hamtapata tabu kujua tatizo liko wapi, wenzetu walijenga mashule, vyuo nk wakawapeleka watoto wao kwenye hizo shule wakapata elimu, wengine wakajenga nyumba za ibaada na wenyewe wakawapeleka watoto wao huko wakapata elimu ya dini wakakosa ile elimu nyingine, uwiano wa kwenye ajira hapa hautakuwa sawa. kwenye kazi huwa wanaangalia unajua nini katika kazi na sio unamjuaje Mungu maana mwisho wa siku kinachoangaliwa ni profit na wala sio miujiza wala upako

mkishindwa kuelewa na hili you need to go back to basics

we nguruwe toka humu usijeleta mashetani,eti wamesoma!!!mmeifikisha wap nchi hii zaidi ya kuiba kila kona.
 
Well said mkuu...huu wmbo akaimbe mwenyewe apa anazunguka sana mbuyu ila analenga makabila ya kaskazin I. E wachaga...wameru na wapare...jamaa asilolijua ni kua kwenye taasisi nyingi za elimu wamejaa wanafunzi wa kanda ya kaskazin cz watu wa kaskazin wamewekeza kwenye elimu na ukiangalia ata performance wanaongoza sasa unaanzaje kuwanyima kazi??kna Kimei...Nassari...Msuya etc

sijawahi soma na mtu wa kaskazin akanizid ufaulu darasani..uwezo wao mdogo sana,sijui kwa nini?!
 
Jipu la kuajiri kwa kigezo cha dini na kabila Lipo sana kwenye baadhi ya taasisi za serikali,ukienda TRA 80% ni kutoka kule na ukienda NSSF 90% ni dini Ile.


Ha ha ha dah bhaaasi.... hata mie naonaga ingawa sijafanya research ila naona tu
 
Huo wimbo wa UKABILA na UDINI kaimbe na familia yako. Kama hukidhi vigezo usitake ubebwe kwa ajili ya dini ama kabila lako.


Labda haujaelewa alichowasilisha au umeamua kuleta kiburi na kutonesha wana jamii hii wewe ni mtu wa aina gani KMANGA
 
Last edited by a moderator:
case by case,wala hakuna wasi wasi,unajua kazi ya tumbua majibu lazima watu wawe katika foleni,siku zinahesabika atayafikia tu usijali ndugu yangu.
 
Hapa kazi tu, mh. Rais ktk kampeini za uchaguzi alihaidi kumaliza kero za watumishi hasa madai ya muda mrefu, naomba wizara husika na halmashauri husika zitatue kero hii.
 
Kitendo Cha Magufuli Kuangalia Makabila Ndio Ukabila Wenyewe Atakua Ana U-practice, Vilevile Dini. Kitu Cha Msingi Ni Kua Na Fursa Nyingi Za Ajira, Ili Wenye Sifa Waajirike, Waache Kulalama Mitaani Na Kuzusha Hofu Na Distrust. Funny How! Wabongo Wanatabia Ya Kuipondea Kenya Sana Kua Ina Ukabila Kumbe Hapa Bongo Ndio Cancer Yenyewe, Ukiwa Kabila Fulani Hutakiwi Kua Prezidaa, Ukiwa Dini Fulani Usubiri Mpaka Zamu Yako Ije, Manake Ni Wazamu Kwa Zamu. Ukiwa Nje Ya Chamadola Hupewi Hata Ukuu Wa Chuo, Tuache Unafiki.
 
Hapa kazi tu, mh. Rais ktk kampeini za uchaguzi alihaidi kumaliza kero za watumishi hasa madai ya muda mrefu, naomba wizara husika na halmashauri husika zitatue kero hii.

Madai yapi? Funguka mkubwa, maana Magufuli hatakuelewa unataka kusema nini!
 
Tena mimi naanza na watumishi wa wilaya ya mkuranga mkoa wa pwani,hasa walimu wa shule za msingi na sekondari hado leo naandika ujumbe huu hatujalipwa areas zetu,tangu tupande daraja 2011 hatujalipwa areas zetu na mimi nikiwa mmoja wao.Tena mimi naanza na watumishi wa wilaya ya mkuranga mkoa wa pwani,hasa walimu wa shule za msingi na sekondari hado leo naandika ujumbe huu hatujalipwa areas zetu,tangu tupande daraja 2011 hatujalipwa areas zetu na mimi nikiwa mmoja wao.
 
Tena mimi naanza na watumishi wa wilaya ya mkuranga mkoa wa pwani,hasa walimu wa shule za msingi na sekondari hado leo naandika ujumbe huu hatujalipwa areas zetu,tangu tupande daraja 2011 hatujalipwa areas zetu na mimi nikiwa mmoja wao.Tena mimi naanza na watumishi wa wilaya ya mkuranga mkoa wa pwani,hasa walimu wa shule za msingi na sekondari hado leo naandika ujumbe huu hatujalipwa areas zetu,tangu tupande daraja 2011 hatujalipwa areas zetu na mimi nikiwa mmoja wao.
Imeji copy ikaji paste afu ikaji copy tena japo haijaji paste tena
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom