I ILLUNGU Member Oct 12, 2015 35 3 Dec 15, 2015 #1 Nampongeza RAIS dkt. Magufuli, naomba aanze na kilio cha watumishi ambao wanadai malimbikizo ya mishahara.
Nampongeza RAIS dkt. Magufuli, naomba aanze na kilio cha watumishi ambao wanadai malimbikizo ya mishahara.
M mugajwale Senior Member Feb 19, 2015 105 23 Dec 15, 2015 #2 Licha ya malimbikizo ya mishahara,kuna halmashauri nyingine nying watu hawapandish madaraja zaid ya miaka 6 wakurugenz
Licha ya malimbikizo ya mishahara,kuna halmashauri nyingine nying watu hawapandish madaraja zaid ya miaka 6 wakurugenz
M mugajwale Senior Member Feb 19, 2015 105 23 Dec 15, 2015 #3 Wapo maofisin na maafisa utumish,sheria ya miundo ya utumish ibadlishwe,mtu akitoka masomoni abadlishiwe muundo wa utumi
Wapo maofisin na maafisa utumish,sheria ya miundo ya utumish ibadlishwe,mtu akitoka masomoni abadlishiwe muundo wa utumi
I Ilongailunga JF-Expert Member Jan 18, 2012 1,388 895 Dec 15, 2015 #4 Unadhani hilo ni rahisi kama kafanya ziara za kushtukiza?
M mugajwale Senior Member Feb 19, 2015 105 23 Dec 15, 2015 #5 Unakuta mtu ameajiriwa kama afisa ugani au mwl ngazi ya cheti,amejiendleza mpk digree akirud anaendlea na chet miaka 15
Unakuta mtu ameajiriwa kama afisa ugani au mwl ngazi ya cheti,amejiendleza mpk digree akirud anaendlea na chet miaka 15
M mugajwale Senior Member Feb 19, 2015 105 23 Dec 15, 2015 #6 Sheria nyingne kandamizi ya kikoloni ni re-categorisation,kuhama idara kwenda idara,ni sheria mbovu,wahusika wanajua
Sheria nyingne kandamizi ya kikoloni ni re-categorisation,kuhama idara kwenda idara,ni sheria mbovu,wahusika wanajua
I ILLUNGU Member Oct 12, 2015 35 3 Dec 15, 2015 Thread starter #7 Ndg. Mugajwale, nimekupata, naomba wadau mnipe utaratibu wa kuhama idara / kada ya utumishi, mf. dokta kuwa mwalimu
Ndg. Mugajwale, nimekupata, naomba wadau mnipe utaratibu wa kuhama idara / kada ya utumishi, mf. dokta kuwa mwalimu