Search results

  1. M

    ROTARY DAR MARATHON to support UDSM’s Library

    All Alumni, Staff, Students, Friends and Well Wishers of the University of Dar es Salaam are urged to participate in the 2013 Rotary Dar Marathon on Nyerere Day, Monday, 14 October. The events starts and ends at Police Officers’ Mess -- 21.1km marathon starts at 6am and 9km walk starts at 7am...
  2. M

    ROTARY DAR MARATHON to support UDSM’s Library · By UDSM Alumni

    All Alumni, Staff, Students, Friends and Well Wishers of the University of Dar es Salaam are urged to participate in the 2013 Rotary Dar Marathon on Nyerere Day, Monday, 14 October. The events starts and ends at Police Officers’ Mess -- 21.1km marathon starts at 6am and 9km walk starts at 7am...
  3. M

    Hivi Serikali mnataka Chuo Kikuu pawe Misri?

    Kwanini Serikali inakuwa nzito sana kusilikiliza mahitaji ya wasomi wetu wa baadae? Sasaivi ni siku ya ngapi tangu Chuo Kikuu waanze kuandamana, na bodi ya mikopo imekaa kimya, sasa mnataka wafanye nini ili mjue kwamba wako siriazi? Kwanini mnakuwa wazito ku-address mahitaji yao ndani ya...
  4. M

    Blandina Nyoni, You are tired, you deserve to be fired!

    UBUNGOUBUNGO tunaomba upunguze jazba kisha ujibu hoja ya Baba_Enock. Ukijibu kwa hasira sana, mtaishia kutukanana na kututoa nje ya mstari. Tafadhali eleza mambo kwa kinagaubaga kama alivyofanya MATAMBO na wengine hapo juu. Mama Nyoni ni kati ya watendaji wa serikali wanaoheshimika sana...
  5. M

    Muasisi wa CHADEMA atofautiana na Wabunge wa CHADEMA

    Soma hizi habari tatu kwa makini, kisha naomba maoni yako:- "Wabunge wa Chadema walikataa bungeni Pinda asiwe Waziri Mkuu na pia chama hicho hakimtambui Jakaya Kikwete kuwa ni Rais halali wa Tanzania. " (Source: HABARI LEO HabariLeo | Wabunge Chadema wasusa "SIKU mbili baada ya Mbunge wa...
  6. M

    Elections 2010 Webmaster na PRO wa NEC wawajibishwe

    Duh ndugu, hiyo habari ya legelege kuajiri legelege kama unao ushaidi wa kutosha basi taifa lishaingia doa. Manake wakati nasoma hii thread yako nimeshtuka hadi nikaskia nywele zinataka kusimama. Bila kusahau naomba turushie huo uchambuzi wa "successful incompetence" manake japo sijauona...
  7. M

    Elections 2010 Webmaster na PRO wa NEC wawajibishwe

    Inasikitisha sana kuona website ya tume ya uchaguzi inakosa matokeo rasmi ya uchaguzi licha ya maafisa mbalimbali wa tume hiyo kuyatangaza rasmi matokeo ya majimbo mbalimbali. Wakati nafungua tovuti hii nilitengemea kukuta ukurasa wa 'Live Results' matokeo yake nimekosa hata wa 'Yesterday...
  8. M

    Elections 2010 What do we learn from NEC?

    Tunajifunza nini kutoka NEC? Nchi jirani zinajifunza nini kutoka NEC? Dunia je?
  9. M

    Elections 2010 Mh. Sugui: Haki ya Mtu Haipotei na malaria haikubaliki

    Ushindi wa Mr. II unadhihirishia watanzania kuwa haki ya mtu haipotei na ikipotea ikatafutwa hupatikana. Hongera sana Sugu kwa kusaka haki yako hadi kimeeleweka. Walikupokonya kinjiwa sasa umepewa tembo mzima.
  10. M

    Elections 2010 Clouds mnajiandaaje kupokea ushindi wa Mr. II (Sugu) ?

    Clouds mnajiandaaje kupokea ushindi wa Mr. II (Sugu) ?
  11. M

    Elections 2010 Is it right time to say the future of Tanzania is on the hands of NEC?

    Is it right time to say the future of Tanzania is on the hands of NEC? Uchaguzi Mkuu ni kila baada ya miaka mitano, hivyo NEC ilikuwa na muda wa kutosha kujiandaa kuendesha zoezi la uhesabuji kura bila ya malalamiko yasiyokuwa ya lazima(without unnecessary complains). Pia NEC ilikuwa na muda wa...
  12. M

    Elections 2010 Halima Mdee waachie jimbo wenzio!

    Halima Mdee kama lengo ni kwenda bungeni tayari ushapata tiketi kwa viti maalumu. Tunaomba busara itumike, waachie wenzako jimbo. Wape nafasi wenzio.
  13. M

    "Bad officials are elected by good citizens who do not vote."

    "Bad officials are elected by good citizens who do not vote."
  14. M

    Elections 2010 I'm tired of hearing it said that democracy doesn't work

    I'm tired of hearing it said that democracy doesn't work. Of course it doesn't work. We are supposed to work it. - Alexander Woollcott
  15. M

    Elections 2010 Mwinyi-a truly statesman, Mkapa still a demagogue while JK a blindfolded politician

    Our political institutions work remarkably well. They are designed to clang against each other. The noise is democracy at work.
  16. M

    Prof. Lipumba vs Dr. Slaa kuhusu kushuka kwa bei ya saruji n.k

    Kiuchumi kushuka kwa bei za bidhaa mbalimbali kunawezekana, nadhani Lipumba akiwa kama mchumi analielewa hili vizuri sema tuu labda alipitiwa au alikuwa na maana ya tofauti au alikosa muda wa kulielezea kwa kinagaubaga pale alipohoji hoja ya Dr. Slaa kuhusu kushusha bei. Kiuchumi ni wazi kabisa...
  17. M

    Sababu za kutomwamini Prof.Lipumba

    Mimi naona yafuatayo, 1. Kuhusu kuponda vyama vingine. kweli hapa Prof alichemsha. Alipaswa kutumia muda zaidi kwenye kunadi sera za chama chake na sio kukosoa sera za vyama vingine. Suala la kukosoa vyama ni la mpiga kura sio la mgombea. Mpiga kura ndio anapaswa kuamua nani zaidi. Watanzania...
  18. M

    Usifuate Mkumbo katika kuchagua kiongozi

    Ni ujinga kumpigia kura mgombea wa chama fulani kwa vile umeona mahudhurio makubwa kwenye mkutano wake. Watu wanaenda kwenye mikutano ya siasa kwa malengo tofauti. Wengine wanaenda kumsanifu mgombea, wengine kumtega na maswali, wengine kukopi uhodari wake wa kutoa hotuba, wengine kwa ajili ya...
  19. M

    What Do you Think About this

    "Keep your fears to yourself but share your courage with others." -Robert Louis Stevenson
Back
Top Bottom