Is it right time to say the future of Tanzania is on the hands of NEC? Uchaguzi Mkuu ni kila baada ya miaka mitano, hivyo NEC ilikuwa na muda wa kutosha kujiandaa kuendesha zoezi la uhesabuji kura bila ya malalamiko yasiyokuwa ya lazima(without unnecessary complains). Pia NEC ilikuwa na muda wa kutosha kujifunza kwa matokeo ya uzembe uliofanywaga na wenzao huko Kenya na Zimbabwe miaka ya nyuma.