Kuna thread hapa inataka utaje vitu vya enzi za zamani ambavyo unadhani vijana hawakuviona ila wamesikia tu. Yametajwa mambo mengi ya mavazi, usafiri, mambo ya kijamii n.k. Basically reminiscing about the past. Naona wengi wana kumbukumbu za kufurahisha kuhusu enzi hizo.
Nikiwa nasoma hizo...
Nilienda duka moja hapa DSM (jina nalihifadhi). Nikachagua nilivyotaka, nikauliza bei. Nikaambiwa bei inategemea kama nataka risiti ya TRA au risiti "ya kawaida". Nikauliza tofauti ya bei ya risiti ya TRA na hiyo nyingine. Muuzaji akapiga hesabu ktk calculator akanionyesha jumla ya risiti ya TRA...
10 things to learn from Japan
1.THE CALM
Not a single visual of chest-beating or wild grief. Sorrow itself has been elevated.
2. THE DIGNITY
Disciplined queues for water and groceries. Not a rough word or a crude gesture.
3. THE ABILITY
The incredible architects, for instance. Buildings...
Wanajamvi,
Kwa anayejua namna ya kuonana na huyu mzee au contacts zake nisaidieni tafadhali. Nitasubiri PM pia coz contacts are rather confidential.
Ni suala genuine, utani uwekwe pembeni pls.
Majuzi nimesoma kidogo habari za huyu mwandishi wa vitabu. Ni mwanamke Mnyarwanda ambaye alipata mikasa mikubwa wakati wa genocide. Ameandika vitabu vitatu kuelezea maisha yake katika kipindi hicho.
Kwa mliovisoma vitabu vyake, what is your experience? Can you recommend her books?
Mwanasoka wa siku nyingi aliyewahi kuchezea vilabu vya Simba na Yanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Lugalo.
Source: FULL SHANGWE
RIP Bambaga.
Three senior Fifa officials who will vote on the 2018 and 2022 World Cup bids took bribes in the 1990s, according to the BBC's Panorama.
Nicolas Leoz, Issa Hayatou and Ricardo Teixeira took the money from a sport marketing firm awarded lucrative World Cup rights, the programme...
A very interesting bestseller book.
Kwa mliokisoma kitabu hiki; unakubaliana na principles zilizoainishwa na Kiyosaki (especially to the African economic context)? Je, umeshaapply principles hizo na kufanikiwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.