The Inquisitive
Senior Member
- Oct 27, 2010
- 177
- 29
Kuna thread hapa inataka utaje vitu vya enzi za zamani ambavyo unadhani vijana hawakuviona ila wamesikia tu. Yametajwa mambo mengi ya mavazi, usafiri, mambo ya kijamii n.k. Basically reminiscing about the past. Naona wengi wana kumbukumbu za kufurahisha kuhusu enzi hizo.
Nikiwa nasoma hizo comments nimejiuliza, miaka >30 ijayo likiulizwa swali kama hili vitatajwa vitu gani? Mtakaokuwa watu wazima/wazee wakati huo mtasimulia nini kwa wajukuu?
Mimi kati ya nitakayosimulia: enzi hizo tulikuwa na blog iliitwa Jamiiforums ilikuwa moto wa kuotea mbali, hata serikali ilikuwa inaigwaya...
Nikiwa nasoma hizo comments nimejiuliza, miaka >30 ijayo likiulizwa swali kama hili vitatajwa vitu gani? Mtakaokuwa watu wazima/wazee wakati huo mtasimulia nini kwa wajukuu?
Mimi kati ya nitakayosimulia: enzi hizo tulikuwa na blog iliitwa Jamiiforums ilikuwa moto wa kuotea mbali, hata serikali ilikuwa inaigwaya...