Du poleni sana. Nimewahi kukutana na kesi kama hiyo. Bima hawalipi kabla. Mlalamikaji atalipia gharama ndo anaprocess refund na Bima. Kwa kesi yangu ofisi ililipia gharama zote za mtoto. Maana ajali ilitokea kijijini na familia ya mtoto walikuwa ktkt hali duni. Nadhani waliosababisha ajali...
Hivi mtu anasafiri mpaka huko ulitegemea nn. Ulitaka akwambie nakuja mbeya kuzini? By implication mtu unayemwita mpenzi wako hawezi kuja mbeya halafu ukamletea mapozi, imekula kwako hiyo. Ungemwambia kabisa sex ni mpaka ndoa au mpaka mtakapoongea, sijui ulitaka muongee nn sasa, wanaume wa siku...
Jamani! Wao wamejikusanya ndugu wanajadili ishu ya kifamilia,tena bila shaka walijitenga pembeni kwenye meza yao,we unayaleta huku!si sawa kabisa!ungekuwa wewe umefanyiwa hivyo ungejisikiaje?
Nyumba ya ng'ombe kwa jirani. Usiku around sa 2 siku hiyo umeme ulikayika. Ile naanza mgegedo mzee mwenye nyumba kaingia na kibatali kaanza kukamua ng'ombe. Hakuweza kutuona tulikiwa kwenye kona ya chumba kwenye kigiza tukiwa tumeingia kwenye mzigo wa nyasi. Ilibidi tusubiri mpaka mzee amalize...
Capentry. Vijana wengi wanaikimbia. Pana ombwe ktk hiyo fani especially watoto wa kike. Ni fursa ujenzi unaendelea na hautarajii kukoma. Viwanda vya furniture vimeanzishwa vingi ajira nje nje. Pia ni rahisi kujiajiri especially akiwa fundi mzuri anayeaminika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.