Mlioolewa mnawezaje kufanya haya?

Hii mada bado ipo???doh mlionitusi wooote,nimewalenga Pabaya... Itakuwa private parts nimewagonga doh mada za mke wangu kaninyima unyumba zinaongezeka kila siku hamjui kucheza na saikolojia ya wanawake,tunapenda, wengi kuonewa huruma,kusaidiwa na kujaliwa.. Mkifua na kupika mnasaidia sex life yenu eboh
....NA pia kuna wanawake wanafiki humu sijawahi kuona,,, hivi kuna mwanamke asiyependa kusikia kutoka kwa bebi wake akisema bebi leo tufue wote nguo au bebi leo pumzika nitapika ....hivi hujiskii kuwa na mapendo na mume wa hivi?... Au mnajishaua tu hapo kati mjionyeshe mna adabu sana au mna maadili, wengine mnatafuta PM tu nyie
 
Mimi ikatokea nikaolewa nitaplay part yangu kama mwanamke ntafanya shughuli zote...akiamua kuja kunisaidia pia nitashukuru, Buut mtoa uzi nakushauri tafuta mzungu...maana wao ndio wanafundishwa kuwahudumia wake zao hivyo tangu wakiwa wadogo...la sivyo kibongo bongo hutopata mwanaume atakayekuvumilia
utakuwa tayari kuolewa lini....mara nyingi mliojiandaa sana kujenga mji huwa ndio mnachezewa sana..
 
utakuwa tayari kuolewa lini....mara nyingi mliojiandaa sana kujenga mji huwa ndio mnachezewa sana..
Mkuu sijajiandaa ila hayo ni maoni tu nimetoa...kama nifikiriavyo mimi, nani anataka kufungiwa ndani sasa hivi?! aku mie..i am not even close to something called "desperately looking for marriage" bado namalizia ku experience ujana wangu kidogo.
 
Umeongea vizur dada. Mwanaume huwez kumpangia zamu ya kupikia hata ya kufua km haajamua kutoka moyon mwake. Km umechoka mbembeleze na mazingira yawe yanaonyesha kuwa umechoka.
Sis wanaume huwa wavumilivu sana na ikitokea hiyo ishu ya kusaidiana huwa ni mara moja moja sana tena mazingira yawe yanaruhusu.
Mm natoka kazin saa 2 usiku ww saa 10 jion nakukuta bado haujapika eti zamu yangu. Nitavumilia wiki tu na siombe nikatoka nje nikakuta nafanyiwa service zote tena ukimpata anayejua kujali. Ndio nahamia huko huko kbsa nachukua kilicho changu nahama mazima kbsa. Nimekuoa kupika nipike mm mwenyew, nifua, na nipige deki si bora niishi peke yangu
Sikatai kumsaidia kaz mke wangu ila kunamazingira mfano anaumwa, kachelewa kutoka kazin, kanisan, sokon, kachoka , upo period, una mimba au nimechelewa kuamka hapo nitandika ila nimekuacha kitandan halaf unaniambia zam yako kutandika. Lbd sio mm n.k ila sio mm natoka kazn saa 3 usiku ww saa 10 jion na haumwi hapo sahau.
Hata km tuna mahousegirl 10 nimarufuku kuingia chumban kwangu kufanya usafi.mke wangu atawajibika kwa usafi wa chumban. Boxer na soks nitafua mm mwenyew.
Kuna wanawake wengine kila kitu kamwachia housegirl mtoto akiumwa housegirl unafikir kitatokea nn hapo zaid ya kupinduliwa na housegirl halaf unaanza kulalamika.
ni sawa bro. lakini kupika na kufua nguo ni kazi ya house girl na mke sio house girl hata hivi sijaoa ila bado nafua na ninapika na vyombo najioshea tena sivai nguo ambayo sijanyoosha kwa hiyo kupika weka house girl nguo pelekea dobi mawazo pelekea ushauri nasaha wakushauri ila maleengo ya maisha na usimamizi wa familia jikabidhi kwa mke...
 
Mkuu sijajiandaa ila hayo ni maoni tu nimetoa...kama nifikiriavyo mimi, nani anataka kufungiwa ndani sasa hivi?! aku mie..i am not even close to something called "desperately looking for marriage" bado namalizia ku experience ujana wangu kidogo.
dah nimefurahi...cku moja nilikuwa napotia fb ya x wangu coz password yake ninayo...rafiki yake mmoja akajibu'cjaolewa bado kwani wote ninao wapata ni mabo ila mwaka ujao natafuta wa kunimimba basi nitulie tu...nawe labda unasubiri hiyo
 
Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D

Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza.
Wewe mwanamke dictator
 
dah nimefurahi...cku moja nilikuwa napotia fb ya x wangu coz password yake ninayo...rafiki yake mmoja akajibu'cjaolewa bado kwani wote ninao wapata ni mabo ila mwaka ujao natafuta wa kunimimba basi nitulie tu...nawe labda unasubiri hiyo
Sweetpie mume ndio huyu
 
ni sawa bro. lakini kupika na kufua nguo ni kazi ya house girl na mke sio house girl hata hivi sijaoa ila bado nafua na ninapika na vyombo najioshea tena sivai nguo ambayo sijanyoosha kwa hiyo kupika weka house girl nguo pelekea dobi.ila ni mawazo yangu..
Nilikua namaanisha huyo ndio mume sweetpie
 
  • Thanks
Reactions: lup
Hivi inakuja naturally kumpikia mumeo, kufua nguo zake kutandika kitanda chenu?! Au huwa mnajilazimisha.... :-D:-D :-D

Mie nitafanya hivo vyote mume wangu akiwa disabled, kinyume na hapo sidhani kama nitaweza.
Acha upumbavu, unampikia halaf ww unaenda kula kwenu au kwa mama ntilie? Unamfulia? Kwani yeye anapotafuta hela ya kula, kodi anakutafutia wewe au anatafuta ili maiaha yenu yasonge? Na kama unaona kuolewa ni utumwa kaa uendeleee kujipiga madole, mikaroti na matango. Kumfulia kumfulia mumeo si adhabu wala utumwa ni mapenz kama unavyosema mwanamke lazima atunzwe na mwanaume anatakiwa kutunzwa pia na kutunzwa kwake ndo kama huko kufuliwa, kupikiwa chakula bora ambacho kitamfanya awe na afya njema awe na uwezo wa kukushughulikia hayo ndo mapenzii, kama unataka akununulie mavazi, akupeleke saluni akupe hela ya kuwatunza mashot kwenye shughuli halaf ww kumfulia nguo iwe utumwa endelea kusgua benchi
 
Wengine sijui mnarukupukaga wapi na lugha ZENU za mtaani, kwangu siangalii watu Mia walio andika matusi humu, naangalia yule mmoja au wawili walioamua kubadilika na Kuanza kusaidiana na wake zao na maisha yakawa mazuri... Wengine tutaonana paradise
 
Hujapenda wewe.
Mwanamke akipenda, sijui nguvu zinatoka wapi. Kufua, kupika, kusafisha nyumba, Na hata kudekeza mwenza vinakuja automatikale. Halafu akiona anakuwa appreciated ndio kama kamwagiwa petrol. Haichoshi hata kuhudumia ndugu za mume na marafiki zao.

Ukiona unaanza kuona mzigo hata kumfulia mwenza teitei ujue mapenzi hakuna hapo. Kama hayafai kufufua Bora uanze kuchukua ndogondogo (hatua)
 
Hujapenda wewe.
Mwanamke akipenda, sijui nguvu zinatoka wapi. Kufua, kupika, kusafisha nyumba, Na hata kudekeza mwenza vinakuja automatikale. Halafu akiona anakuwa appreciated ndio kama kamwagiwa petrol. Haichoshi hata kuhudumia ndugu za mume na marafiki zao.

Ukiona unaanza kuona mzigo hata kumfulia mwenza teitei ujue mapenzi hakuna hapo. Kama hayafai kufufua Bora uanze kuchukua ndogondogo (hatua)
EXACTLY , Hata mimi historia imenifundisha mwanaume anayekupenda anavunja all acceptable norms just to please you. Utaenda kwake miguu juu jikoni yeye anakaangiza .

me nisipohudumiwa Naona sipendwiiii.

halafu mapenzi yangu Kama ya wanaume ya kibongo tu, I'd rather just spend money on you to prove my love, mambo ya house chores bwana sio kabisa.

Wengine uvivu uko kwenye damu Jamani. Ilikuwa tuzaliwe watoto WA malkia, bahati mbaya saaana.

huyo atakayepima mapenzi yangu kwa kazi za nyumbani ninazofanya nitaanza kumshuku.

taking care of your loved one is a good thing.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom