Swagger is alive
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 559
- 466
Mwajuma
Jamila au latifa hayo mengine ni nadra sanakati ya hayo moja langu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
kumbe zuri eeeh
Dah mkuu kumbe una kibendi hongera sana.Habari wakuu
Siki chache zijazo (mwezi huu wa kwanza) natarajia kupata mtoto wa kike, mtoto huyu atakuwa ni wapili katika familia yetu akitanguliwa na wa kwanza wa kiume.
Nimeona ni vema kuwashirikisha katika furaha hii member wenzangu mnisaidie kuchagua jina zuri.
Nitafurahi kama jina litakua la [HASHTAG]#kiislamu[/HASHTAG] ikiwezekana nikapata na maana yake itapendeza sana
Karibuni
Kama ndugu yake Tifah tulivomjua kabla ya kutotolewaSa umejuaje kama ni wakike mlishamchek??!