iyo kitmot nimekunywa supu badooookkunywa castle lager 3 na kitimito nusu kila siku
naomba nikulete biliSupu ya kongoro uwe una gonga na laga. Safari laga. Baada ya miezi 3 lete mrejesho
chama kivipiKula chama
Ndiyo maana niliuliza anapesa?kkunywa castle lager 3 na kitimito nusu kila siku
Mungu mkubwa hata mi sikati tamaa,uliridhika vipPole na mie nakumbuka 2014 nilikondaa mpaka nikatoka visoap dish kwenye shingo kama model ( best zangu wakawa wananitania nikieka maji yanaeza yasimwagike mpaka jioni hahaha)
Ila imepita kipindi ninenepa baada ya kuridhika kidogo
nami ndio maaana nikaomba unikope 1000 nikaitoe photocopy wamenishauri nikiwa na pesa ntanenepa,so iwant to imagine by real fakeNdiyo maana niliuliza anapesa?
Nilikuwa nafanya vitu vivyofanya kuwa na raha, furaha na kula kile nachotaka pia nilikuwa nakaa na marafikiMungu mkubwa hata mi sikati tamaa,uliridhika vip
kwetu tunatumia jiko la kuni,mashavu ya kupuliza moto sina. imagin sina nyama,sina upepo piafanya shopping ya chakula, pika ukishakula lala kuhifadh nguvu. Kwa wiki moja utupe mrejesho.
mi mchaga bila pesa siridhikiNilikuwa nafanya vitu vivyofanya kuwa na raha, furaha na kula kile nachotaka pia nilikuwa nakaa na marafiki
Basi tafuta kazi au biashara itayokupa mpunga mrefu uikoshe nafsi yakomi mchaga bila pesa siridhiki
ngoja nikatafute kazi kwa mtaaBasi tafuta kazi au biashara itayokupa mpunga mrefu uikoshe nafsi yako
Yah, ramadhani inasaidia sana. Na me pia hupungua. Lkn ikimaliza tu, kama nataka sifa vile. Siwezi kuji control kabisaUkimaliza kufunga Ramadhani endelea na discipline ile inangawa unarelax kidogo, nimegundua mfungo ni mwanzo mzuri wa kukontrol kula kula.
kwani sai una kilo ngapiYah, ramadhani inasaidia sana. Na me pia hupungua. Lkn ikimaliza tu, kama nataka sifa vile. Siwezi kuji control kabisa
78, nyingi sna kwangu.kwani sai una kilo ngapi
78, nyingi sna kwangu.[/QUOTE kimbia fanya kidogo kidogo kigodo, kula mti unaitwa mdaa mizizi ake inastopisha mwili kukua
kapime unamatatzo ya kiafyaiyo kitmot nimekunywa supu badoooo