Mahakama Kuu ya Tanzania leo mchana (17.09.2014) imetupilia mbali mapingamizi 4 (Preliminary Objections) yaliyowekwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) katika kesi ya kupinga kuendelea kwa mchakato wa Bunge la Katiba iliyofunguliwa na Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (Tanganyika Law...
Wadau,
Nimeona watu wengi katika hii subforum ya Ujasiriamali wanaulizia namna ya kupata mikopo ya kuendesha biashara zao (hasa isiyohitaji kuweka dhamana).
Baada ya kuona wengi hawapati majibu sahihi nimeona nami nichangie kwa kuwaambia kuhusu mikopo ya vikundi pale Benki ya Wanawake (TWB)...
Wadau kwa mara nyingine tena Benki ya Wanawake (TWB) inawatangazia nafasi za kazi.
Waweza tuma kwa Posta ila pia waweza kupeleka pale mapokezi kwao. Strictly kazi hizi ni kwa watu walio experienced. Usitoe rushwa wala kuloby kwa kazi hizi. Benki hii ni ya wanyonge na kazi zaenda kwa haki...
Nimepewa taarifa na shuhuda kuwa Rais Mwinyi amefuata nyanyo za Rais Mkapa kwa kutinga mahakama ya Kisutu kutoa ushahidi.
Kwa mujibu wa mtoa habari Rais Mwinyi bado yuko Kisutu maana motorcade yake bado inaonekana. Aliye karibu ajongee pale na kutujuza. Hii imefanywa kwa siri na haijatangazwa...
Wadau,
Nimeatach nafasi ya kazi katika Tanzania Women's Bank Public Limited Company. Kazi hii haina refa wala Godfather. Ni wewe na qualifications zako tu. Lobbying of any kind kwa watu walioko TWB surely itakukosesha kazi.
Wadau,
Kuna hiki kilimo cha drip irrigation amabcho kinatumia maji kidogo sana. Nani anaweza kunipa taarifa ya wapi nitaweza kuipata? Najua Mgombezi katika programu yake ya "Niwezeshe" ameiweka katika bajeti yake.
Wadau,
Changamkieni hii position kwa wale wanaoqualify. Muhimu kuzingatia highlight kwenye expirience. Hiyo ndio criterai yao kubwa.
Nawatakia applications njema.
Caren.
POSITIONS ADVERTISEMENT
Tanzania Womens Bank Ltd (TWB) is a bank established under the Company Act No. 212 of 2002 for...
Wadau kuna kazi ya System Administator katika Benki ya Tanzania Womens Bank. Nimeatach job description. Adress ya application ni:
Human Resources Officer
Tanzania Women's Bank Limited
P.O. Box 72604
Dar es Salaaam.
Kwa matokeo ya haraka apply online kupitia: abugeraha@womensbank.co.tz
Deadline...
Wadau kuna kazi ya System Administator katika Benki ya Tanzania Womens Bank. Nimeatach job description. Adress ya application ni:
Human Resources Officer
Tanzania Women's Bank Limited
P.O. Box 72604
Dar es Salaaam.
Kwa matokeo ya haraka apply online kupitia: abugeraha@womensbank.co.tz
Deadline...
Ndugu wadau wa kazi,
Kuna kazi za kutosha Benki ya Wanawake. Wenye qualifications zao waombe. Link ya job description ni hii hapa:TWB
TWBs most valued asset is our team and as we grow from strength to strength in the market we operate in, we need to establish a strong foundation. We believe...
Jamani wandugu,
Toka juzi hapa ofisini kwangu ndege za kijeshi za Luteni Jenerali Shimbo zinapita angani kwa kasi. Je, zina uhusiano wowote na matokeo ya uchaguzi? Je, zinataka kuthibitisha kuwa jeshi liko makini?
Nimeongea na watu wa TISS kujua kama kulikuwa na scheduled military exercises...
Wandungu,
Jana nilikuwa natazama TV nikaona Jaji Makame anataka kutangaza matokeo ya Jimbo la Ubungo halafu alipogundua kuwa ni yale yaliyochakachuliwa akaacha maana Slaa alishinda (na alipeleka ushahidi wa barua asubuhi) lakini yaliyoko tume inaonekana JK kashinda.
Sasa Tume imetangaza...
Niko kwenye kochi nimetulia nawaangalia wagombea ubunge wa jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CHADEMA Philip Mogendi na Juliuus Mtatiro wa CUF na mgombea jimbo la Ubungo wakijadili mada ya keki ya Taifa. Hawa vijana kwa kweli wamejiandaa kuchukua majimbo yao. Wanajua mambo kwa kweli.
Wadau,
Kuna kazi zimetangazwa Tanganyika Law Society. Jaribu bahati yako.Mshahara wao si mbaya sana.
See Attachment for details.
Kwa wale mnaotumia internet zaidi badala ya posta mnaweza kutuma CV zenu katika email yao.
Email ni info@tls.or.tz
Ndugu wana JF nina swali na nitashukuru kama mtanipa majibu sawia maana najua wahusika watanishukuru kama nitawapa jibu sahihi maana mi nilipoelezwa na mmoja wao sikuwa na jibu. (Naomba niwe mwazi kuwa aliyenieleza ni mume kwa hiyo maelezo yako biased kiaina upande mmoja)
Nina marafiki wawili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.