Caren
JF-Expert Member
- Feb 12, 2010
- 278
- 91
Ndugu wana JF nina swali na nitashukuru kama mtanipa majibu sawia maana najua wahusika watanishukuru kama nitawapa jibu sahihi maana mi nilipoelezwa na mmoja wao sikuwa na jibu. (Naomba niwe mwazi kuwa aliyenieleza ni mume kwa hiyo maelezo yako biased kiaina upande mmoja)
Nina marafiki wawili mtu na mkewe. (Mume ndo rafiki yangu sana maana tulisoma wote chuo. Mke siyo rafiki sana ila tunachat.) Wote ni wafanyakazi na wanafanya kazi nzuri tu na wanalipwa vizuri. Hawa watu wanachekesha. Kila siku hawaishi kugombana ingawa nahisi wanapendana sana.
Wanachongombania ukikisikiliza huwezi ukaamini kama ni watu wenye masters degree. Its not essential (in my opinion).
Central issue ya ugomvi wao ni fedha. Mama anataka fedha za mumewe zitumike kwenye shughuli za ndani kama kununua mboga, kitunguu, chumvi na udongo wa mkewe. Mume anagoma. Mume anasema yeye tayari anagharamia ujenzi wa nyumba kubwa ya vyumba vinne self contained, ananunua mafuta ya gari la mkewe kwenda kazini na vitu kama gesi, mchele na unga.
Mume anadai ili kuweka usawa hela ya mama itumike kununua chumvi, udongo n.k kwa kuwa mama alishakataa kuchangia kwenye miradi mikubwa kwa kisingizio mshahara wake ni mdogo na ana baba, mama na dada zake wawili (na watoto wao saba) wanaomtegemea yeye.
Mume anadai mkewe kushiriki katika kujenga familia yao ndogo japo kwa kuchangia kidogo ni muhimu ili kile kinachopatikana kiwe cha wote na mke anasema mume kukataa kununua chumvi, maziwa na mayai ni dalili ya ubahili wa kurithi.
Yeye (mke) anasema ndugu zake wakistabilise ataweza kutoa mchango mkubwa katika familia.
Hii ndiyo source ya maugomvi yao ya kitoto. (Sijui nyie mnasemaje).
Right now mke anatishia kuondoka home au kutafuta bwana wa kumuongezea kipato ili achangie home na mume naye ameweka kigingi anasema kama ndoa na iharibike lakini hatatoa hela ya kununua vitu vidogo wakati mkewe naye anapata salary.
Baada ya kuona siwaelewi wana ndugu hawa nikaona nichunguze family background zao.
Mume anatoka katika familia ya wastani lakini inajiweza. Baba na mama yake hawaishi pamoja. Mama anafanya kazi mkoa na anakuja once a month. (Story ni kuwa ugomvi wao ni namna fedha inavyotumiwa.
Mama anataka fedha itumike kwa wao kuishi kwa raha na baba anataka kuinvest kwenye assets kwa ajili ya watoto wao).
Mke anatoka kwenye family ya kawaida iliyoko mkoa. Baba na mama wanaishi pamoja kwa kuelewana. Ni wakulima. Tatizo ni dada zake mke. Wako watatu. Wote wamekimbia wanaume zao.
Wao na watoto wao saba wako pale home kwa baba yao. Hawataki kurudi kwa wanaume eti kwa sababu wanafanyishwa kazi sana na hawakuzoea hivyo.
Mzee hawezi kumudu kutunza family kubwa hiyo so inabidi mtoto wa kike msomi ndo alipie gharama za matunzo za watu 10 every month.
Maswali yangu:
Nikipata majibu hapa nitakuwa na wasaa mzuri wa kuokoa ndoa hii. (Nahisi nikimaliza kusuluhisha nitaisubmit hii family kama case study kwa ajili ya Thesis yangu ya Masters of Social Work).
Nina marafiki wawili mtu na mkewe. (Mume ndo rafiki yangu sana maana tulisoma wote chuo. Mke siyo rafiki sana ila tunachat.) Wote ni wafanyakazi na wanafanya kazi nzuri tu na wanalipwa vizuri. Hawa watu wanachekesha. Kila siku hawaishi kugombana ingawa nahisi wanapendana sana.
Wanachongombania ukikisikiliza huwezi ukaamini kama ni watu wenye masters degree. Its not essential (in my opinion).
Central issue ya ugomvi wao ni fedha. Mama anataka fedha za mumewe zitumike kwenye shughuli za ndani kama kununua mboga, kitunguu, chumvi na udongo wa mkewe. Mume anagoma. Mume anasema yeye tayari anagharamia ujenzi wa nyumba kubwa ya vyumba vinne self contained, ananunua mafuta ya gari la mkewe kwenda kazini na vitu kama gesi, mchele na unga.
Mume anadai ili kuweka usawa hela ya mama itumike kununua chumvi, udongo n.k kwa kuwa mama alishakataa kuchangia kwenye miradi mikubwa kwa kisingizio mshahara wake ni mdogo na ana baba, mama na dada zake wawili (na watoto wao saba) wanaomtegemea yeye.
Mume anadai mkewe kushiriki katika kujenga familia yao ndogo japo kwa kuchangia kidogo ni muhimu ili kile kinachopatikana kiwe cha wote na mke anasema mume kukataa kununua chumvi, maziwa na mayai ni dalili ya ubahili wa kurithi.
Yeye (mke) anasema ndugu zake wakistabilise ataweza kutoa mchango mkubwa katika familia.
Hii ndiyo source ya maugomvi yao ya kitoto. (Sijui nyie mnasemaje).
Right now mke anatishia kuondoka home au kutafuta bwana wa kumuongezea kipato ili achangie home na mume naye ameweka kigingi anasema kama ndoa na iharibike lakini hatatoa hela ya kununua vitu vidogo wakati mkewe naye anapata salary.
Baada ya kuona siwaelewi wana ndugu hawa nikaona nichunguze family background zao.
Mume anatoka katika familia ya wastani lakini inajiweza. Baba na mama yake hawaishi pamoja. Mama anafanya kazi mkoa na anakuja once a month. (Story ni kuwa ugomvi wao ni namna fedha inavyotumiwa.
Mama anataka fedha itumike kwa wao kuishi kwa raha na baba anataka kuinvest kwenye assets kwa ajili ya watoto wao).
Mke anatoka kwenye family ya kawaida iliyoko mkoa. Baba na mama wanaishi pamoja kwa kuelewana. Ni wakulima. Tatizo ni dada zake mke. Wako watatu. Wote wamekimbia wanaume zao.
Wao na watoto wao saba wako pale home kwa baba yao. Hawataki kurudi kwa wanaume eti kwa sababu wanafanyishwa kazi sana na hawakuzoea hivyo.
Mzee hawezi kumudu kutunza family kubwa hiyo so inabidi mtoto wa kike msomi ndo alipie gharama za matunzo za watu 10 every month.
Maswali yangu:
- Je, ni sahihi kwa mume kugoma kulipia nyanya na vitunguu ili abaki na matumizi makubwa tu?
- Je, ni sahihi kwa mke kugharamia familia yake ya mkoa at the expense ya kujenga familia yake mwenyewe?
- Je, hii familia itaweza kudumu katika ndoa maana mke ameshatishia kuondoka?
- Je, matatizo ya kifamilia yanarithishwa kati ya kizazi na kizazi.
Nikipata majibu hapa nitakuwa na wasaa mzuri wa kuokoa ndoa hii. (Nahisi nikimaliza kusuluhisha nitaisubmit hii family kama case study kwa ajili ya Thesis yangu ya Masters of Social Work).