Hahahaahha....
Kufahamu picha zo Bofro sometime unahitahi uwe na akili, CTRL + Z maana yake ni UNDO kwenye ICT
Katika hilo tukio inakuwa haiwezekani kabisa, Asante sana Bofrooooooooooooo
Wadau nilienda Hydary plaza kupima macho,nikapewa miwani ya kusomea, Baada ya wiki miwani ilianguka na kioo
kikachomoka....nikaja kugundua kumbe ni plastic wameweka na sio kioo???
Hivi miwani ya kusomea wanaweka plastic na sio kioo???? Na kwa nini isiwe kioo??
Na kwa hapa Dar wapi ni Best...
Wadau hivi mimi huwa nasikiliza times fm kwenye pc yangu kwa streaming.....Hivi nauliza hivi kwa muda wa saa moja
inaweza kukata megabyte ngapi? natumia sasatel........
Na kwenye Huduma ya Blackberry naweza kuwa na radio streaming??
Wandugu mimi huwa naangalia movie ktk BB curve 8520, sasa nikitaka kuforword kidogo au kubackword kidogo, huwa
sioni hiyo option, huwa inaforword mpaka mwisho au ku anza mwanzo kabisa....naomba msaada wenu nifanye nini
ili niweze kuforwd au ku backword kidogo
mkuu sawa ni flv iwe ina play kwenye wmp......inanajibu hivi:..............
Windows Media Player cannot play the file. The Player might not support the file type or might not support the codec that was used to compress the file.
mkuu sawa ni flv iwe ina play kwenye wmp......inanajibu hivi:..............
Windows Media Player cannot play the file. The Player might not support the file type or might not support the codec that was used to compress the file.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.