CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,257
- 12,877
dah, me hata sitaki kukumbuka aisee. kuna vitu viwili huwa vinaniuma sana.
1. mzazi mwenzangu aliyemtelekeza mwanangu, si kwamba hana pesa (anafanyaka kaz kwenye concern world wide) namshukuru Mungu maisha yanasonga. mwanangu anasoma int.schools, naishi maisha ya kawaida ya kuweza kubadilisha mboga.
2. ndugu zetu kututelekeza hasa baada ya baba kufariki. jamani Acheni Mungu aitwe Mungu. saiv wanafarakana hakuna mfano. . . na hawaamini nimefikaje hapa nilipo tena kazi nzuri bt ni kwa juhud binafsi!
1. mzazi mwenzangu aliyemtelekeza mwanangu, si kwamba hana pesa (anafanyaka kaz kwenye concern world wide) namshukuru Mungu maisha yanasonga. mwanangu anasoma int.schools, naishi maisha ya kawaida ya kuweza kubadilisha mboga.
2. ndugu zetu kututelekeza hasa baada ya baba kufariki. jamani Acheni Mungu aitwe Mungu. saiv wanafarakana hakuna mfano. . . na hawaamini nimefikaje hapa nilipo tena kazi nzuri bt ni kwa juhud binafsi!