Imewahi kunipata nadhani Dr Restart yuko sahihi moja wapo ya sababu ni ngono isiyo salama kwangu havikuwa na maumivu yoyote vilipotea vyenyewe baada ya karibu miaka miwili ila nakushauri uende hospitali pia uache kuruka ukuta
Wafanyakazi wa mitandao wanahusika kwa zaidi ya asilimia 90 kwasababu hata ukipoteza SIM card na hukuwa na kitambulisho ukahitaji fedha iliyokuwepo kwenye SIM yako unapata ilimradi uwape posho pia ukisjili laini mpya uwakala mara nyingi unapigiwa simu kupewa maelekezo ambayo yanakuongoza kutapeliwa
Write your reply...Loh sitaki kuamini kwamba nimekwama kwenye foleni ya kuisubiria hii riwaya. umenikumbusha "Nitakupata tu" Mungu ampunguzie adhabu ya kaburi Ibrahim Masimba
kilichomponza no utumaji taarifa mfululizo huko Israel ambapo wakuu wa usalama Syria waligundua muingiliano wa mawasiliano usio wa kawaida hivyo wakafuatilia yankotokea ndipo walipo mnyaka kitu pekee familia yake ilichoambulia kutoka Syria in SAA ya mkononi
Naomba nikusahihishe kidogo haikuwa homa ya DENGUE Bali ni ZIKA. Ila yote kwa yote Serikali yetu imekuwa ya kupambana na matokeo sio chanzo ndio maana kumekuwa miaka yote magonjwa ya mlipuko yaliyokosa chanjo na majanga ya asili hasa mafuriko yamekuwa yakijirudia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.