Kwanini gharama za kusafirisha maiti huwa ni kubwa sana, vipi gharama za kusafirisha maiti kwenye ndege nazo ni kubwa sana?

Hayo ya Mil 40 sijasema mimi..!! Ila Maiti na jeneza kuwa na Kilo 120 ndo nimeshangaa.. Kwanza mtu akifa kilo zinaongezeka..pili jeneza kilo zikipunguza sana 100 labda kama Maiti ya mtoto na jeneza la mtoto sio mtu mzima.
Mtu alikuwa na kilo 80 na akipatwa na umauti kilo zinaongezeka? Zinaongezeka kivipi? Ni mimeng'enyo ipi iliyosababisha huo muongezeko? Hebu lete sayansi iliyosababisha kuongezeka kwa kilo!
 
Nilishuhudia jamaa wanasafirisha mgonjwa mahututi kwenda Chamkoroma (Kongwa). Yule Mgonjwa kufika Gairo akafariki! Wale nduguze wakafanya "Maarifa" na boda boda mwili ukafika Kijijini!
 
Maiti inarudi kama mzigo na mzigo kwenye ndege unalipwa kwa kg na kila kilo ni hadi dollar 5 wengine wana taratibu zao za kusafirisha ndio maana unakuta zinafika hadi 40mil
5*2300=11500, na 40000000/11500 is ~ 3478 kg.
Ni maiti gani yenye tani tatu?
 
Abiria wa kawaida anaweza kusafiri kwa 50,000 lakini umbali huo huo kwa maiti ikawa milioni moja mpaka mbili au zaidi kidogo.

Hata kama maiti haina mkao wa kawaida wa binadamu basi angalau ingezidi mara 2 au 3 kwanini gharama zinakuwa juu sana?

Kwa mliowahi kusafirisha maiti kwenye ndege vipi nako gaharama zinaweza kuwa mara 10 ya nauli ya kawaida?
2M ni rahisi sana. Sasa maiti kuisafirisha kutoka ulaya utalipia zaidi ya 9M au zaidi ya hapo. Na ukitoa maiti kuipeleka Zanzibar au Zanzibar kuipeleka Dar kwakutumia boti za Baharesa ni bure kabisa pamoja na msindikizaji mmoja.
 
Hiyo maiti mkuu mnaipeleka ubungo na kuikatia siti yake alafu mnawaachia wapiga debe alafu na kule ikifika inapokelewa stand...au wewe mwenzetu ulikuwa unafikiria vipi??
 
Mtu alikuwa na kilo 80 na akipatwa na umauti kilo zinaongezeka? Zinaongezeka kivipi? Ni mimeng'enyo ipi iliyosababisha huo muongezeko? Hebu lete sayansi iliyosababisha kuongezeka kwa kilo!
Hapo katudanganya otherwise alete fact za kisayansi.
 
Hili swali lako mbona linajibika hata na mtoto anayesoma shule ya kata kule Mwamapalala kwa wasukuma mkuu,
au kuna maelezo ya kitofauti zaidi unayahitaji tofauti na majibu ya kawaida.
Unajuaje kama yeye hata shule ya kata hajapitia? Aisee
 
Abiria wa kawaida anaweza kusafiri kwa 50,000 lakini umbali huo huo kwa maiti ikawa milioni moja mpaka mbili au zaidi kidogo.

Hata kama maiti haina mkao wa kawaida wa binadamu basi angalau ingezidi mara 2 au 3 kwanini gharama zinakuwa juu sana?

Kwa mliowahi kusafirisha maiti kwenye ndege vipi nako gaharama zinaweza kuwa mara 10 ya nauli ya kawaida?
Cc CV XXX CVCc BnB SC CV VC f 1
 
Abiria wa kawaida anaweza kusafiri kwa 50,000 lakini umbali huo huo kwa maiti ikawa milioni moja mpaka mbili au zaidi kidogo.

Hata kama maiti haina mkao wa kawaida wa binadamu basi angalau ingezidi mara 2 au 3 kwanini gharama zinakuwa juu sana?

Kwa mliowahi kusafirisha maiti kwenye ndege vipi nako gaharama zinaweza kuwa mara 10 ya nauli ya kawaida?

Jaribuuuu uone
 
Hapo katudanganya otherwise alete fact za kisayansi.
Dead Weight ukifa mapafu hupoteza hewa hivyo ni sawa na mpira usiokuwa na upepo huwa mzito, ukiujaza upepo huwa mwepesi na mapafu yako kama blada ya mpira wa miguu.
Ninadikilea interesti mimi ni fundi welding.
 
Kwenye ndege wengi hatujui ila ukitusaidia tutajua andika wasia wako tukuzike wapi kisha katisha maisha yako na sisi tutachukua maiti yako mpaka eapoti ambako tutaambiwa nauli nasi tutakujibu gharama zake.
 
mmemjibu vizuri Sana!



maiti haiwezi kununuliwa siti Kama flat screen...

inataka Gari la Peke yake,

na ikitokea Basi likawa na abiria "mmoja" ambaye Ni marehemu Basi hapo abiria wote mlio ndani mnageuka na kuwa "waombolezaji"
 
Nadhani hii ni dhana tumejijengea. Mfano sisi vijijini tunatumia malori kusafirisha maiti ila la kushangaza bei ni kubwa sana. Mfano tulikuwa tunachukua lori wanafunzi kwenda kata nyingine kimichezo garama haifiki hata 200k na linawasubiri hadi mwisho wa mchezo ila ukilikodi gari lilelile safari ileile na linafika na kurudi watakuomba 500k. Tulishawahi toa maiti bugando mpaka kayenze kwa 200k kwa canter. Ila gari lile siku ya pili yake likaijia tikiti maji hapo kayemze kupeleka kilumba kwa 60k na mwenye tikiti walielewana wakiwa msibani pale. Sasa tuangalie gari linaenda kubeba tikiti tani 2 ila malipo ni chini mara tatu zaidi ya sisi tuliokuwa chini ya tani moja. Maana tuliluwa waombolezaji wanane tu
 
Back
Top Bottom