Kama asemayo Tarimba Abbas ni kweli basi hii nchi tunakwama pakubwa

Mkuu unaota. Kwanza unamwambia mtu asiyehusika. Pili dengue haiuwi kama kipindupindu! Hii ni fact ya kitibabu na siyo hizi bla bla za mitaani.
NENDA DARASANI KWANZA NDIPO UJE UBISHANE NA MIMI!!
1. Chorela is treated with specific Antibiotics
While Viral Diseases like Dengue, Ebola has no Cure it depend with your Immune system to fight against those Foreign bodies!!!
 
Pole kwa mzee wa kubahatisha

Ila mtoa mada umekosea ishu ya Mwele ilikua Zika sio Dengue
Zika na dengue mtu anayeambukiza ni huyo huyo, wanasiasa walipaswa kuchukua tahadhari.
 
NENDA DARASANI KWANZA NDIPO UJE UBISHANE NA MIMI!!
1. Chorela is treated with specific Antibiotics
While Viral Diseases like Dengue, Ebola has no Cure it depend with your Immune system to fight against those Foreing bodies!!!
Sasa haya uliyoandika yana uhusiano gani na tunachobishania? Hakuna uhusiano wowote na mada haikuwa hiyo. Umechomeka kitu ambacho sijabisha wala kuongelea! Nilichosema ni kuwa dengue haiko kwenye list ya magonjwa hatari... It is not a deadly disease.
 
Nimemsikiliza kwa umakini wakati akizungumza kwa uchungu kwamba kapoteza watoto wake wawili wakiume ndani ya miezi minne tu. Chanzo cha vifo vyote ni homa ya dengue.

Just imagine mtoto mmoja miaka 23 ambaye alikuwa rubani, mwingine miaka 26 huyu alikuwa fundi mechanics wa ndenge. Fikiria kama mzazi umesomesha watoto wako kwa kiwango hicho halafu ghafla homa ya Dengue inawachukua kutoka duniani how can u explain this?

Kama kumbukumbu zangu zipo sawa yule mtoto wa mzee Malechela aliyekuwa mkurugenzi wa Taasisi ya utafiti wa magonjwa nchini alitumbuliwa kwa kosa la kutangaza kwamba homa ya Dengue imeingia Tanzania. Sasa sijui mpaka sasa Serikali imeshakiri uwepo wa homa hiyo au labda bwana Abbas Talimba anatuongopea watanzania.

Anyway pole zangu kwa wafiwa kwa msiba mzito sana.
Sasa unachanganya mambo mawili kwa wakati mmoja,
Mosi kuwepo kwa dengue nchini,na serikali kukili,pamoja na kutumbuliwa Dr Malecela,baada ya kusema homa ya dengue,ipo nchini.pili kifo cha hao wadogo zetu.
Kama Dr Malecela asingetumbuliwa,Hao vijana wangekufa na dengue?je kutumbuliwa kwa Dr Malecela,na kwa serikali kutokukili mapema,uwepo wa dengue,ndio kumesababisha hivyo vifo?
Naibu waziri wa Afya,Dr Ndugulile,Mb,aliishatoa taarifa ya uwepo wa homa ya dengue,wewe inaelekea usikilizi vyombo vya habari,unashinda unabeti tu
 
Sasa unachanganya mambo mawili kwa wakati mmoja,
Mosi kuwepo kwa dengue nchini,na serikali kukili,pamoja na kutumbuliwa Dr Malecela,baada ya kusema homa ya dengue,ipo nchini.pili kifo cha hao wadogo zetu.
Kama Dr Malecela asingetumbuliwa,Hao vijana wangekufa na dengue?je kutumbuliwa kwa Dr Malecela,na kwa serikali kutokukili mapema,uwepo wa dengue,ndio kumesababisha hivyo vifo?
Naibu waziri wa Afya,Dr Ndugulile,Mb,aliishatoa taarifa ya uwepo wa homa ya dengue,wewe inaelekea usikilizi vyombo vya habari,unashinda unabeti tu
Watu mna ghuba nimesema kama kumbukumbu zangu ziko sawa mwela malechela alitumbuliwa kwa sababu za kusema dengue hipo sijasema ninawakika sasa matusi ya nini bro?
 
Kama kumbukumbu zangu zipo sawa yule mtoto wa mzee Malechela aliyekuwa mkurugenzi wa Taasisi ya utafiti wa magonjwa nchini alitumbuliwa kwa kosa la kutangaza kwamba homa ya Dengue imeingia Tanzania. Sasa sijui mpaka sasa Serikali imeshakiri uwepo wa homa hiyo au labda bwana Abbas Talimba anatuongopea watanzania.
Anyway pole zangu kwa wafiwa kwa msiba mzito sana.
Naomba nikusahihishe kidogo haikuwa homa ya DENGUE Bali ni ZIKA. Ila yote kwa yote Serikali yetu imekuwa ya kupambana na matokeo sio chanzo ndio maana kumekuwa miaka yote magonjwa ya mlipuko yaliyokosa chanjo na majanga ya asili hasa mafuriko yamekuwa yakijirudia
 
Back
Top Bottom