Search results

  1. RUTAJUMBUKIRWA

    JK, mchunguze DC wa Kyerwa Kitenga

    DC wa Kyerwa Kagera Luteni Kanali Benedict Kitenga ni dhalimu sana. anatumiwa na wenye pesa. juzijuzi hapa watu wanaotaka maeneo ya kuchungia mifugo walimtumia kufanya dhuluma kubwa kwenye kijiji cha kibingo. Aliamuru mgambo, wenyeviti wa vitongoji na majambazi wengine wafyeke migomba na kubomoa...
  2. RUTAJUMBUKIRWA

    African Union decorates RDF peacekeepers in Darfur

    Hali sasa ni shwari kati ya majirani, Tanzania na Rwanda, na waliokuwa wanachochea vita kama gazeti la Mtanzania wanaona haya sasa. Jeneral Ignas Paul Meela, mkuu wa jeshi la Umoja wa Mataifa Darfur amelipongeza jeshi la Rwanda kwa weledi wao. An RDF peacekeeper (L) is decorated during the...
  3. RUTAJUMBUKIRWA

    Vyombo vya habari vimewakimbiza wahamiaji, si Kikwete!

    Kwanza nimwombe radhi Kikwete, kwani ni miongoni mwa watu waliodhani kuwa kweli alitoa kauli kali dhidi ya wahamiaji wa Rwanda akiwaita haramu, na kusema baada ya wiki mbili operation kali itafuata. Sio kweli. Nilishangaa, kwani marais wamekuwa wakija Kagera miaka nenda rudi, wakipewa...
  4. RUTAJUMBUKIRWA

    Operation ya JK imeendeshwa kinyume

    Nyumba za wahamiaji (nachelea kutumia haram, binadamu hawezi kuwa haram) zimechmwa, mifugo inaibiwa na familia zinatenganishwa kule Kagera. Kigoma na Geita kimyaaa! Ukweli ni jk hakuagiza hivyo. Alisema: MIFUGO IONDOLEWE HIFADHINI, NG'OMBE WALIOINGIZWA WARUDISHWE WALIKOTOKA, WAHAMIAJI...
  5. RUTAJUMBUKIRWA

    Peter Serugamba: Jina halikuonyeshi we ni kabila gani

    Mch. Christopher Mtikila alimshambulia Peter Serukamba eti ni Mtutsi. Akasupport hoja yake kwa kusema eti ni Serugamba. Kwa mawazo ya Mtikila jina Serugamba linamfanya kuwa Mtutsi. Tumsamehe bule Mzee Mtikila, yeye ni M-Ludewa hajui chochote kuhusu mikoa ya magharibi mwa Tanzania. Kwanza niseme...
  6. RUTAJUMBUKIRWA

    Mkumbwa Ally excites anti-Kagame writers

    Mkumbwa Ally has been widely misquoted by anti-kagame propagandists, making war cries! Actually Mr Ally said that there was no reason for the two countries to go to war, talking to Tanzania Daima, and said JK only gave an advise which could be rejected or taken. Now anti-Rwanda Hutus are basking...
  7. RUTAJUMBUKIRWA

    Majibu ya JK kwa Kagame ni haya hapa

    Akiwa Japan, JK alistushwa sana na kauli ya waziri wa mambo ya nje wa Rwanda kumwita genocide sympathizer. Mara Yakaandikwa majibu na kuchapishwa kwenye official blog ya Tanzania, na kasha yakatolewa gazeti la serikali Daily News chini ya kichwa cha habari: Come on Rwanda: The guy wa I will hit...
  8. RUTAJUMBUKIRWA

    Hivi wanaompa Mtikila jukwaa wana nia gani?

    King Cobra alizoa waraka wa ahatari wa kibaguzi akaubwaga humu ndani, pwaaa! akamsaidia mtikila kupromote hate. Sasa Rwanda wanadhani Tanzania kumezuka anti-Tutsi movement wakati ni kazi ya lunatic mmoja. sasa Mtikila anatumiwa kuwashambulia Chadema. Mtikila ametumiwa na watu wengi sana...
  9. RUTAJUMBUKIRWA

    Eti Rwanda inafaidi maliasili ya Kongo!

    Katika waraka wake wa kibaguzi na chuki, gun for hire au attack dog Christopher Mtikila alisema kuwa museveni na kagame wanaiba maliasili kongo. na wa jf hapa wengi wanaamini hivo. Siku zote ukitaka uongo uwe ukweli, urudierudie utakuwa ukweli. hivi kweli kongo ikiwa na maliasili watu wake...
  10. RUTAJUMBUKIRWA

    Mtikila has extreme genocide ideology, says Kagame

    Kagame has said Mtikila has extreme genocide ideology, similar to what was promoted in Rwanda in 1960s. He said this at a press conference, adding that Mtikila published an article, calling Tutisi snakes, that they don't deserve to live, and showed great hate! The president also said that...
  11. RUTAJUMBUKIRWA

    kagame wrong in linking JK comments to Mtikila racism

    at a press conference in Kigali, Kagame spoke passionately about the level of hate and genocide ideology promoted recently Mtikila, and wondered whether Kikwete's comments had nothing to do with Mtikila extremely hate speech published by JF and wavuti. He also asked why no action had been taken...
  12. RUTAJUMBUKIRWA

    Kagame links JK's advice to Mtikila's hate speech

    Addressing editors this week in Kigali, president kagame said he was shocked by Kikwete's statement, more so as he gave it in the wake of the most venomous hate speech made my Chris Mtikila. He said: "There is a guy called Mtikila, he wrote terrible things, that are genocide promotion in...
  13. RUTAJUMBUKIRWA

    DC Lt-Col. Ndomba to CoS Lt-Gen Ndomba in ten years!

    Mkapa alimwacha akiwa na cheo cha Luteni Kanali na akiwa DC wa Ngara. Leo ana cheo cha Luteni Jenerali, yaani amevuka vyeo vya Kanali, Brigedia na Meja Jenerali Alikuwa DC sasa Chief of Staff, mtendaji mkuu wa jeshi. Ndomba ana kismatiiiii: baby:: third:
  14. RUTAJUMBUKIRWA

    How JK snubbed Kagame

    Balozi mpya wa Rwanda alikabidhi hati zake kwa Bernard Membe ambaye alikuwa amevalia shati nyeupi alafu nje, yaani barazani wizarani. Hii ilikuwa ni tofauti na utamaduni wa kidplomasia, ambapo balozi huwasilisha kwa mkuu wa nchi na kukagua gwaride...This is because JK hakutaka kusikia chochote...
  15. RUTAJUMBUKIRWA

    very important link

    this is an important link that sheds sme light on genocide. babukijana, wacha, naomba kama mko europe au sehemu yenye fast internet muangalie hii testimony kwenye youtube YouTube- Rwandan Genocide Survivor Tells Her Story
  16. RUTAJUMBUKIRWA

    Mandela: RSA somo kwa Rwanda?

    Wana JF, Jana nilisikiliza BBC kipindi kuhusu Nelson Mandela kuwasamehe his tormentors. South Africa ni kama uhasama umeisha licha ya Shapville massacres, kufungwa kwa Mandela and co. na assasinations na ubaguzi mwingi. Je, majirani zetu Rwanda wanaweza kutumia huu mfano? Ukweli kuhusu Rwanda...
  17. RUTAJUMBUKIRWA

    Who is superpower in EAC? TZ or Kenya?

    Wanajamii, Kila ukanda una nchi ambayo inachuliwa kama super power. Mfano S.Africa ni top kwa ukanda wa southern, Egypt north, nigeria West Africa na Angola Central Africa. Sasa ndani ya jumuiya ya Africa Mashariki nani zaid? Wanansema Kenya je ni kweli? na tutumie vigezo gani ku-grade nchi.
  18. RUTAJUMBUKIRWA

    Kwenye ubunge kuna nini?

    Inaonekana kilele cha mafanikio kwa kila Mbongo ni kugombea ubunge. Mwandishi wa habari akiwa maarufu badala ya kufikiria kwenda Al Jazeera, CNN, etc. anafikiria kutumia umaarufu kupata ubunge. Legal officer kama Ngeleja akipata mipesa, anakimbilia ubunge. Yasoda, ameonekana kwenye luninga mara...
  19. RUTAJUMBUKIRWA

    Wazinza kumbe si Watanzania

    Law Masha, waziri wa Mambo ya Ndani ni Mzinza, na utafiti was Wazungu unaonyesha Wazinza ni Watutsi. Mdau yetote aliyeko London aende maktaba ya Royal Geographical Society atafute kitabu kiitwachwo 'Journal of Discovery of River Nile' na asome walichokiandika explorers waliopita tabora, uzinza...
  20. RUTAJUMBUKIRWA

    Nyerere honoured by Rwanda

    A picture of mama nyerere appeared in New Times to receive medals from Kagame for helping their cause. Why did Nyerere help everyone? Kagame said: "Founding President of United Republic of Tanzania, committed Pan Africanist, Visionary Leader, Distinguished Freedom Fighter, Eminent Educator...
Back
Top Bottom