RUTAJUMBUKIRWA
Senior Member
- May 3, 2009
- 185
- 89
Inaonekana kilele cha mafanikio kwa kila Mbongo ni kugombea ubunge. Mwandishi wa habari akiwa maarufu badala ya kufikiria kwenda Al Jazeera, CNN, etc. anafikiria kutumia umaarufu kupata ubunge. Legal officer kama Ngeleja akipata mipesa, anakimbilia ubunge. Yasoda, ameonekana kwenye luninga mara kadhaa sasa anataka kutumia hako ka-umaarufu kwenda kugombea ubunge. Mfanyakazi wa serikali akivuna fedha ya kutosha ya rushwa, huyoooo ubunge.
Kuna nini? Je, ubunge ndo mafanikio ya juu kabisa?
Wadau mnasemaje.
Kuna nini? Je, ubunge ndo mafanikio ya juu kabisa?
Wadau mnasemaje.